Waisrael walivyofanyiwa ulipinga ?Mie ni mkatoliki,nimefundishwa kuheshimu dini za wengine,na hili linalofanyika Palestina,mie ninapinga kbs,halifai halifai na halikubaliki kbs, wapalestina wanafanyiwa undamaged na uhalifu mkubwa ambao binadamu hastahili kbs kufanyiwa.