Mwanaume usije thubutu kutembea na mke wa mtu

Kuna Mdada ni mteja wangu mkubwa katika biashara Yangu,Yupo vizuri kimaisha,Kama mwanaume nilijikuta nikimtamani mana ni mtu na nusu Ila kabla ya kumtongoza nilikuwa Namuuliza kama Ana mume Cuz Mimi sipendi kabisa mambo za mke wa mtu,Kheri Awe demu wa mtu Ila Akiwa ni mke wa mtu hata kama simfahamu mumewe basi Simuhitaji katika maisha yangu,Basi buana akanijibu hana mume Ila Alikuwa na mpenzi tu Ila wameachana basi Nikarusha nyavu bahati nzuri Samaki nikampata..!!

Tumekaa katika Mahusiano kama mwezi ivi Full Romance Huku tukitoka Chakula cha usiku Ila hatukuwahi kufanya mapenzi Sababu ya kutofanya mapenzi Siijui kwanini Nashangaa nilikuwa mzito tu kuomba mechi licha ya kuwa mdada mzuri sana Yani nilikuwa sijui kwanini nakuwa mzito sana..

Maendeleo kwenye biashara yangu ni mazuri sana Ameendelea kuja kwenye biashara yangu na kuniungisha mzigo mkubwa na kuniletea Connection Za watu mbali mbali Hakika biashara yangu Imepamba moto kuhusu wateja Alhamdulilh…!!

Sasa wiki kadhaa nyuma alivoona kimya simgusii swala La Kwenye Kunyanduana akaniambia ananihitaji tukapige show Nikakubali na nikampa Matakwa yangu kuwa lazima tupime afya na tukaenda kupima tukajikuta wote tupo salama,Kilichobaki ni kwenda Kunyanduana..!!

Jumatatu iliopita Tukiwa Kwenye gari yake(Mimi ndio nilikuwa dereva )Tunaelekea hotel kukiwasha Tukafika sehemu Akaniambia nimsubiri nusu Saa Akashuka then mimi nikawa nimetulia kwenye gari,Dakika kadhaa Dirisha la upande wangu likagongwa Nikashuka kioo nikamuona jamaa mmoja ivi simfahamu Ila akawa Ananishangaa Akaanza kuniambia kuwa amenifananisha Mana hii gari ya mtu furani na plate number ndio ivo ivo so anashangaa kuniona mie,Nikamjibu mimi dereva tu Akaanza kuniambia dah Huyu mumewe alikuwa hataki kabisa mke wake aendeshwe imekuwaje ameruhusu..!!Duh mimi nikastuka nikamuuliza kwani ameolewa jamaa akaniambia yeah,Huyu jamaa ni wale kama machawa akanifungikia mengi sana na akaniambia kama Huyu demu ndio kaniajiri bila mumewe kujua basi niache hio kazi chap dah ilinipiga usoni hii kitu,Tukaongea mambo kadhaa akaniomba 10k nikampa akasepa..

Demu alivorudi kwakuwa nilikuwa wa mto nikamuuliza kuhusu Ndoa na kwanini amenidanganya na demu akafunguka kuwa ananipenda ndio mana amenidanganya full kunionesha picha za harusi Aisee ilinipiga Usoni,Nikamwambia hii safari tutaenda siku ingine now sipo sawa..!!

Zikapita siku kama 3 ivi mawasiliano ya kawaida tu Ila nilianza kumpotezea ila sitaki kumchana kuwa sikutaki kabisaa kwasababu ni mteja mkubwa na amenipa connection so nawaza nikimtema makavu live nitapoteza mteja na wateja..

Katika biashara yangu hana hata 10 yake wala hajawahi nipa hela niongezee katika biashara Labda baadhi ya vitu vya geto Amenisaidia kiufupi alivokuja kwenye maisha yangu Amebadilisha Kidogo maisha yangu hasa kwa hawa wateja alioniletea..!!

mimi na mke wa mtu Ni vitu viwili tofautii Nishaambiwa na baba angu Kheri Nikate uume wangu kuliko kulala na mke wa mtu…wazee wa busara ile kauli ya MKE WA MTU SUMU huwa naishi nayo sana moyoni…

Huyu demu age yake 31 ivi Now ananisumbua sana Nawaza nimchane nione itakuwaje au niendelee kumpotezea Tu ili nisipoteze mteja na wale watu alionionganishia au niaje niaje..!!


'Jumatatu iliopita Tukiwa Kwenye gari yake(Mimi ndio nilikuwa dereva '

Angalia hii Tabia sio ya kiume, hatugusi kitu ya mwanamke neither kaolewa no singles.
 
Kuna Mdada ni mteja wangu mkubwa katika biashara Yangu,Yupo vizuri kimaisha,Kama mwanaume nilijikuta nikimtamani mana ni mtu na nusu Ila kabla ya kumtongoza nilikuwa Namuuliza kama Ana mume Cuz Mimi sipendi kabisa mambo za mke wa mtu,Kheri Awe demu wa mtu Ila Akiwa ni mke wa mtu hata kama simfahamu mumewe basi Simuhitaji katika maisha yangu,Basi buana akanijibu hana mume Ila Alikuwa na mpenzi tu Ila wameachana basi Nikarusha nyavu bahati nzuri Samaki nikampata..!!

Tumekaa katika Mahusiano kama mwezi ivi Full Romance Huku tukitoka Chakula cha usiku Ila hatukuwahi kufanya mapenzi Sababu ya kutofanya mapenzi Siijui kwanini Nashangaa nilikuwa mzito tu kuomba mechi licha ya kuwa mdada mzuri sana Yani nilikuwa sijui kwanini nakuwa mzito sana..

Maendeleo kwenye biashara yangu ni mazuri sana Ameendelea kuja kwenye biashara yangu na kuniungisha mzigo mkubwa na kuniletea Connection Za watu mbali mbali Hakika biashara yangu Imepamba moto kuhusu wateja Alhamdulilh…!!

Sasa wiki kadhaa nyuma alivoona kimya simgusii swala La Kwenye Kunyanduana akaniambia ananihitaji tukapige show Nikakubali na nikampa Matakwa yangu kuwa lazima tupime afya na tukaenda kupima tukajikuta wote tupo salama,Kilichobaki ni kwenda Kunyanduana..!!

Jumatatu iliopita Tukiwa Kwenye gari yake(Mimi ndio nilikuwa dereva )Tunaelekea hotel kukiwasha Tukafika sehemu Akaniambia nimsubiri nusu Saa Akashuka then mimi nikawa nimetulia kwenye gari,Dakika kadhaa Dirisha la upande wangu likagongwa Nikashuka kioo nikamuona jamaa mmoja ivi simfahamu Ila akawa Ananishangaa Akaanza kuniambia kuwa amenifananisha Mana hii gari ya mtu furani na plate number ndio ivo ivo so anashangaa kuniona mie,Nikamjibu mimi dereva tu Akaanza kuniambia dah Huyu mumewe alikuwa hataki kabisa mke wake aendeshwe imekuwaje ameruhusu..!!Duh mimi nikastuka nikamuuliza kwani ameolewa jamaa akaniambia yeah,Huyu jamaa ni wale kama machawa akanifungikia mengi sana na akaniambia kama Huyu demu ndio kaniajiri bila mumewe kujua basi niache hio kazi chap dah ilinipiga usoni hii kitu,Tukaongea mambo kadhaa akaniomba 10k nikampa akasepa..

Demu alivorudi kwakuwa nilikuwa wa mto nikamuuliza kuhusu Ndoa na kwanini amenidanganya na demu akafunguka kuwa ananipenda ndio mana amenidanganya full kunionesha picha za harusi Aisee ilinipiga Usoni,Nikamwambia hii safari tutaenda siku ingine now sipo sawa..!!

Zikapita siku kama 3 ivi mawasiliano ya kawaida tu Ila nilianza kumpotezea ila sitaki kumchana kuwa sikutaki kabisaa kwasababu ni mteja mkubwa na amenipa connection so nawaza nikimtema makavu live nitapoteza mteja na wateja..

Katika biashara yangu hana hata 10 yake wala hajawahi nipa hela niongezee katika biashara Labda baadhi ya vitu vya geto Amenisaidia kiufupi alivokuja kwenye maisha yangu Amebadilisha Kidogo maisha yangu hasa kwa hawa wateja alioniletea..!!

mimi na mke wa mtu Ni vitu viwili tofautii Nishaambiwa na baba angu Kheri Nikate uume wangu kuliko kulala na mke wa mtu…wazee wa busara ile kauli ya MKE WA MTU SUMU huwa naishi nayo sana moyoni…

Huyu demu age yake 31 ivi Now ananisumbua sana Nawaza nimchane nione itakuwaje au niendelee kumpotezea Tu ili nisipoteze mteja na wale watu alionionganishia au niaje niaje..!!
Huenda kashasoma huu uzi, hakukuwa na haja ya kuweka picha za charting.

Muhimu: Kataa uzinzi.
 
Mpotezee hivyo hivyo mzee ........komaa na neutral mzee mwendo wa fake promise tu katapunguza tu kiherehere kataachia nanga t...

akomae na mume wake huko asikuletee balaa Bure mwamba ...
 
Utakuja kukamatwa na hujatembea nae. Amua moja, tembea nae au achana nae. Kutumiama sms za mapenzi na mke wa mtu zinabaki hapo kama ushahidi ila hufanyi naye mapenzi hiyo ni akili ya kijinga kuliko anayetembea na mke wa mtu.
 
Mpotezee hivyo hivyo mzee ........komaa na neutral mzee mwendo wa fake promise tu katapunguza tu kiherehere kataachia nanga t...
Kuliko hivi bora atembee nae kabisa. Mke wa mtu amua moja, fanya nae ngono au achana nae, sio unaplay around, ukidakwa haitajalisha kuwa hujawahi kumla, kwanza hutoaminika kwamba hujatembea nae.
 
Utakuja kukamatwa na hujatembea nae. Amua moja, tembea nae au achana nae. Kutumiama sms za mapenzi na mke wa mtu zinabaki hapo kama ushahidi ila hufanyi naye mapenzi hiyo ni akili ya kijinga kuliko anayetembea na mke wa mtu.
Vyakula vya Wahuni hivyo Wahuni wanatembea na code ni marufuku kuchat kawaida na mke wa mtu usithubutu (hata WhatsApp sio Salama kwako maana ni kawaida inaacha Namba kwa hio ukichat nae WhatsApp haupo Salama WhatsApp sio mtandao wa Siri), chat nae kwenye social media tu mfano secret chat za telegram hii haiachi Namba ndio njia Salama zaidi kwako, ukimaliza unapiga self destruct (code ya Wahuni) usipige simu kawaida usithubutu hata siku 1 subiri apige yeye kwenye call za social media (telegram call ndio fungakazi haiachi Namba) usiongee wewe subiri aongee yeye yaan yeye siku zote ndio inabidi aanze yeye wewe unamaliza mchezo mfano atakupa maelezo Jamaa lini yupo lini hayupo usijitangulize mbele na hisia zako ishi na ishia km KOBE full kujihami na mwendo wa KINYONGA km anapiga Gwalide
 
Vyakula vya Wahuni hivyo Wahuni wanatembea na code marufuku kuchat kawaida na mke wa mtu usithubutu, chat nae kwenye social media tu mfano secret chat za telegram ukimaliza unapiga self destruct (code ya Wahuni) usipige simu kawaida subiri apige yeye kwenye call za social media (telegram ndio fungakazi haiachi Namba) usiongee subiri aongee yaan yeye siku zote inabidi aanze yeye wewe unamaliza mchezo usijitangulize na hisia zako ishi na ishia km KOBE full kujihami
Na kweli inabidi uwe mhuni na mjanja, Sio unachat sms za mapenzi na mke wa mtu ila humli.
 
Na kweli inabidi uwe mhuni na mjanja, Sio unachat sms za mapenzi na mke wa mtu ila humli.
Hao wanaliwa na Wahuni TU, km wewe SIO Muhuni huwezi Kula mke wa MTU

Nyama ya Bata sio kila mtu anaila wengine Bata anavyocheza na maji machafu basi nyama yake wanagoma Kula Ila Wahuni wanakukunjia fresh kabisa Bata analiwa safi kabisa km Bata hajanywa maji ya CHOONI tangu anatotolewa vile
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
"La msingi ushauri wangu kwanza usimle. Suala la pili mtafute mume wake mchane mueleze azma yako ya kutotaka kumchapia mke wake lakini upande mwingine athari unazohofia kupata kibiashara kwa kuendelea kumkataa kisha muombe mfanye mpango iwe kama jamaa anawafumania. Namna hiyo ni rahisi kusitisha hadithi ya kukutaka bila kuathiri suala la biashara."

Yaan wewe ndio unataka kumtafutia jamaa majanga, amtafute mume wake serious! 🤔
Anamjaza,mwache ajae tu.
 
Back
Top Bottom