mdizi 2021
Member
- May 4, 2021
- 55
- 52
kweli kabisa kabisaUkiishi na mwanamke ndiyo utajua.
Mwanamke ni ngumu kuendana na kasi ya kutaka ngono na mwanaume. Mwanaume ana high libido kuliko mwanamke.
Mwanaume ana hasira atasex. Ana furaha atasex. Ana huzuni atasex. Ana mawazo atasex. Hana mawazo atasex. Amechoka atasex, hajachoka atasex.
Mwanamke yeye atasex under some circumstances tu.
Ndiyo maana walio kwenye ndoa wanaongoza kupiga puchu kuliko wasio kwenye ndoa.
Anayebisha awe anaishi na mtu pia.