Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
ππππππ₯π₯π₯π₯πͺπͺπͺπ·π·π·
Hujawajua wanawake vzur ww,unaweza kufanya yote na ukapigwa chin tu!iko iv,mwanamke ukimfanyia ivo ujue utaendelea kufanya ivo to the rest of your life...siku ukiacha atalalamika kwa nn humfanyii tena ivo,ww wkt unafanya kama kunogesha penz yy ataona ni wajibu wako kufanya hivyo!kiujumlaa mwanaume usitake kuzoeleka na aina flan ya habit kwa mkeo,yaan usitabirikeeInawezekana ila nadhani usipoweka balance kama mwanaume ndo inaaweza leta ubwege endapo atakupanda kichwani
Sent using Jamii Forums mobile app