maukijunior
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 234
- 364
Mkuu,, unaweza unafanya yooote hayo,,, lakni watu wakasukuma mbolea,,, Hawa wanawake wa kuwaangalia tu,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Huhuuu, haya rafiki bana ntajitahidi nisinenepee kumbe kuna safari hivosi vita ni utamu lakini inategemea na masafa ya kukamilisha huo utamu badala ya kuishia njiani.
Huhuuu, haya rafiki bana ntajitahidi nisinenepee kumbe kuna safari hivo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahaha, ee bwana kuna mzee mmoja huko kwetu kwenye makabila ya wafugaji alijifanya Romantic, akawa anamsaidia mke wake kugandisha maziwa kutengeneza samli kupitia kibuyu, kwa jamii yetu hiyo imezoeleka kuwa ni kazi ya mke.. ila mume hufanya kumsave mkewe.. ee bwana hio siku Mume alitembelewa na wageni wake.. wakawa wamekaa nje.. Mara Mke anafika Nje na kumwambai "Njoo gandisha maziwa au umesahau kazi yako??" imagine aibu alopata mwamba mbele ya wazee wenzake!Umume bwege huwa unaanza hivi hivi mdogo mdogo
Habari wakuu,
Msinielewe vibaya na hiyo heading,nimekaa nimefikiria sana kuhusu kuboresha maenzi na hawa wanawake,kwa uzoefu wangu mdogo nilionao nimegundua kuna vitu vinapuuzwa ila vikifanywa,mwanamke anafurahi kwakua inakua very romantic,nakupa mfano,binafsi nilikua napenda sana misosi mitamu so nikajifunza kupika vyakula mbalimbali,hivyo ninapokua na mpenzi napenda kumpikia na kumuandalia kila kitu on the table,hiki kitendo huwa naona kabisa mwanamke anafurahia sana,na kuna vitu vingi vimezoeleka mwanaume ndo afanyiwe ila ukifanya kinyume na ukamfanyia mwanamke anafurahi,mfano ukimfulia anafurahi,badala ya yeye kubeba vitu vyako ukambebea mkoba anafurahi,badala ya yeye kukufunga kama za viatu mfunge yeye kiatu chake inakua romantic ndomana unaona vipicha vya mwanaume kumfunga kamba za viatu mwanamke vinazagaa sana kwasababu it looks ROMANTIC.
-Anko Jei
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkuu kwani kama mnapendana kuwa consistency utashindwaje? Ni jambo dogo tu labda uhamishie kujali kwa mwingine ndipo mambo yataharibika.Hayo yote ni mambo mazuri kumfanyia mwanamke ila ndugu yangu mwanamke akizoe hayo kimbembe ni pale hutakiwi kubadilisha mienendo ni consistence
Husband material in making dont wory usitie shaka ndiyo nawasaidia sasa ili muishi kwa rahaHahaaa, unatuharibia husband's material ujuee. Msimfatishe maneno yake
Sent using Jamii Forums mobile app
You see bro ofcourse i had a point kumzoesha hujenga tabia. Tunawapenda ila kuna mambo hapana aiseAhahaha, ee bwana kuna mzee mmoja huko kwetu kwenye makabila ya wafugaji alijifanya Romantic, akawa anamsaidia mke wake kugandisha maziwa kutengeneza samli kupitia kibuyu, kwa jamii yetu hiyo imezoeleka kuwa ni kazi ya mke.. ila mume hufanya kumsave mkewe.. ee bwana hio siku Mume alitembelewa na wageni wake.. wakawa wamekaa nje.. Mara Mke anafika Nje na kumwambai "Njoo gandisha maziwa au umesahau kazi yako??" imagine aibu alopata mwamba mbele ya wazee wenzake!
Don't be too Romantic!
Ukishakua consistently unataka kujua kitatokea nini hahaha usiombe aisee tegemea karaha, tabu, dharau, kejeli masimango na kutumia mdomo wake vibaya hakika mtagombana sana mkishafikia hukoSasa mkuu kwani kama mnapendana kuwa consistency utashindwaje? Ni jambo dogo tu labda uhamishie kujali kwa mwingine ndipo mambo yataharibika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapenda dudu wewe... Halafu asilimia kubwa ya wadada wanaopenda mgegedo huwa mara nyingi ndoa zao hudumu sana, maana unampa mumeo kitu roho inapenda na hapo mume atakupenda mnoMimi kwa upande "unitie" hadi iwake moto ndio raha yangu, mengine sina shida nayo, mkoba wangu nitabeba mwenyewe hata kupika nitapika tu
hii ni nzuri ila shida inaweza kuja pale utakapoanza kuwa very consistent kwenye haya majukumu......i mean utapokuwa very consistently inconsistent!Habari wakuu,
Msinielewe vibaya na hiyo heading,nimekaa nimefikiria sana kuhusu kuboresha maenzi na hawa wanawake,kwa uzoefu wangu mdogo nilionao nimegundua kuna vitu vinapuuzwa ila vikifanywa,mwanamke anafurahi kwakua inakua very romantic,nakupa mfano,binafsi nilikua napenda sana misosi mitamu so nikajifunza kupika vyakula mbalimbali,hivyo ninapokua na mpenzi napenda kumpikia na kumuandalia kila kitu on the table,hiki kitendo huwa naona kabisa mwanamke anafurahia sana,na kuna vitu vingi vimezoeleka mwanaume ndo afanyiwe ila ukifanya kinyume na ukamfanyia mwanamke anafurahi,mfano ukimfulia anafurahi,badala ya yeye kubeba vitu vyako ukambebea mkoba anafurahi,badala ya yeye kukufunga kama za viatu mfunge yeye kiatu chake inakua romantic ndomana unaona vipicha vya mwanaume kumfunga kamba za viatu mwanamke vinazagaa sana kwasababu it looks ROMANTIC.
-Anko Jei
Sent using Jamii Forums mobile app
dah kitambo sana sijakuonaHivyo ni vitu vya kufanya kwa kushtukiza asizoee yani wala asijue muda unotaka kufanya