Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,129
- 7,450
mkuu mushi kuna siku ilikuwa jumapili , nlienda kumsalimia , kipenzi changu kwao , mida ya saa nne alikuwa ameanza kufua basi kidume nkamwambia wacha nikusaidie nkafua nguo kama 5 hv, nkamnawisha na miguu sasa hivi karibu kila siku anaulizia lini tena na me nduki sionekani najifanya mr majukumuTatizo la wanawake.....ukianza ndo wanakuachia hivyoooo inakuwa ndo ratiba yako
Sent using Jamii Forums mobile app