Mwanaume ni yupi hapa??

Mwanaume ni yupi hapa??

Eeh! Ndio umeiona leo NN? I just admire his politics.

Kusema kweli nimeoina siku nyingi sana na nimekuwa intrigued ni kwa nini umeiweka. Ila nilikuwa sijapata wakati muafaka tu wa kukuuliza. Jamaa ni dakika tano mbele!
 
We NN; what is wrong with my profile? Isije ikawa wame reveal my true ID. Kuna nini kwenye profile yangu? Maana nabwabwaja humu kwa kuwa am unknown.

Katika my real life I rarely speak with people.

Huyu mdada bana…hebu jaribu kwenda kwenye profile yake uone hata kama unaweza kumwomba urafiki…lol
 
We NN; what is wrong with my profile. Isije ikawa wame reveal my true ID. Kuna nini kwenye profile yangu? Maana nabwabwaja humu kwa kuwa am unknown.

Kuna siku moja ulinivutia sana na mchango wako nikasema huyu lazima nimwombe urafiki. Kuja kwenye profile yako..hola! Sikuona jinsi ya kukuomba huo urafiki. Sasa sijui ni mimi ushamba wangu au labda ni ndivyo ulivyoziweka settings zako.

Impression niliyoondoka nayo ni kwamba labda haupo hapa kuchekeana chekeana na kuzoeana na watu.
 
I don't even know that I have power to refuse friend requests. Labda ni JF setting. Sina tatizo la kuwa na blind friends. Sijuhi kama niko right kutumia hiyo terminology, nime borrow from blind dating.


Kuna siku moja ulinivutia sana na mchango wako nikasema huyu lazima nimwombe urafiki. Kuja kwenye profile yako..hola! Sikuona jinsi ya kukuomba huo urafiki. Sasa sijui ni mimi ushamba wangu au labda ni ndivyo ulivyoziweka settings zako.

Impression niliyoondoka nayo ni kwamba labda haupo hapa kuchekeana chekeana na kuzoeana na watu.
 
Kuna siku moja ulinivutia sana na mchango wako nikasema huyu lazima nimwombe urafiki. Kuja kwenye profile yako..hola! Sikuona jinsi ya kukuomba huo urafiki. Sasa sijui ni mimi ushamba wangu au labda ni ndivyo ulivyoziweka settings zako.

Impression niliyoondoka nayo ni kwamba labda haupo hapa kuchekeana chekeana na kuzoeana na watu.

lol...kwani we uko hapa kuchekeana na kuzoeana na watu??lol

ha haaaa

nyumba kubwa nijibu swali hilo.are u a socialist?????/
 
mwanaume ni yule anayeoa mke anayempenda, na akahakikisha kamtuliza hata kama alikuwa kicheche, hajasoma akamsomesha, na wakajenga wote familia imara na bora; ni yule anayejali future na kuchukulia past kama challenge ya maisha, na kujifunza kutokana na makosa yake na ya mwenzie.
Kweli kabisa mapenzi huwa hayaangalii kabisa,hizi wifey material zinawatokea puani wengi sana, matokeo yake wanaume wanakuwa wanatoka sana nje ya ndoa zao
 
I believe marriage is just convenience no love involved and.....eeer it works perfect for me.
 
Am neither a socialist nor neo-liberalist; I don't even believe in democracy. nafagilia politics that work. Jamaa amewafanyia mambo mengi masikini wa nchini kwake. Na ni kidume, hayumbishwi na Westerners.

are you a socialist.?....but trust me hiyo avatar hata mtu kukutongoza anajishauri lol
 
Mimi kwenye swali la mapenzi na ndoa ninabakia na kauli hizi ambazo zimejenga mizizi katika jamii:
1. Mapenzi kipofu/Anayependa haoni/Kipendacho moyo.
Mtu akipenda kweli anaziba macho na kutia pamba masikio. Anakuwa hasikii, haoni. Anakosa muda wa kuijadili nafsi yake. Kilicho na nguvu hapa ni mapenzi na wala sio sababu nyengine kama jamii au familia. Hili la mwisho linauma (kutengana na familia yako) lakini ndivyo ilivyo.

2. Ndoa hufungwa mbinguni.
Si mara zote na si wote wameoa/wameolewa na wale hasa waliowataka. Popote utakapoangukia, ikiwa hakuna sababu za msingi kugeuka nyuma, inakubidi udumu katika ndoa.

Kwa kujibu swali lako Boss, kwa kuunganisha na hizo points mbili za juu, nitaoa yule ninayempenda.
 
Mimi kwenye swali la mapenzi na ndoa ninabakia na kauli hizi ambazo zimejenga mizizi katika jamii:
1. Mapenzi kipofu/Anayependa haoni/Kipendacho moyo.
Mtu akipenda kweli anaziba macho na kutia pamba masikio. Anakuwa hasikii, haoni. Anakosa muda wa kuijadili nafsi yake. Kilicho na nguvu hapa ni mapenzi na wala sio sababu nyengine kama jamii au familia. Hili la mwisho linauma (kutengana na familia yako) lakini ndivyo ilivyo.

2. Ndoa hufungwa mbinguni.
Si mara zote na si wote wameoa/wameolewa na wale hasa waliowataka. Popote utakapoangukia, ikiwa hakuna sababu za msingi kugeuka nyuma, inakubidi udumu katika ndoa.

Kwa kujibu swali lako Boss, kwa kuunganisha na hizo points mbili za juu, nitaoa yule ninayempenda.
Nimependa maoni yako sana, maana muda wa kuangalia jamii siku hizi umeshakwisha aisee, maana at the end of the day mnajifungia wawili, sipati picha kila siku asubuhi maisha yako yote unaamka pembeni ya mtu ambaye humpendi, maana hata utamwona kama jini vile
 
BOSS, kipenda roho banaaaa.......
Boss hivi hujui katika kiungo kidanganyifu moyo ndio unaongoza kwenye swala lakuoa tabia inamata sana, kuna kaka naye alikua na tatizo kaa lako anaambiwa mwanamke malaya hasikii anadai kipenda roho kaoa yaani vikao tuu vya harusi
huyo binti katembea na watu kadhaa wanahusika kwenye
kamati ya harusi yake bado walivyooana mwanaume hana amani mwanamke hajatulia mwishowe wakaachana baada miezi kadhaa ya ndoa kua makini kijana kuoa sio mchezo. Halafu kama wewe ungekuta mamako anasemekana malaya ungefurahi? Kwanini utake watoto wako waje wasemwe hivyo? Uanaume ni
kuangalia mtu atakae kutunzia heshima katika maisha yako
 
Am neither a socialist nor neo-liberalist; I don't even believe in democracy. nafagilia politics that work. Jamaa amewafanyia mambo mengi masikini wa nchini kwake. Na ni kidume, hayumbishwi na Westerners.

but hizo policy zake zita fail....tazama cuba inavyo colapse
 
I don't know much about Cuba; wana mafuta? Chavez ana mafuta na anapo pa kuyauza kwani ni best na China; hence amewashika pabaya wamarekani. Ame nationalize uchimbaji wa mafuta na hawajamfanya kitu. Kuna mama yuko ubalozini wa Nchi yake hapa nilipo; anatoka tabaka la juu; anasema wazazi wake hawampendi Chavez kwani upper class walikuwa wanafaidika sana kabla hajaingia madarakani.

Lakini anasema hata wazazi wake ambao wame retire sasa hivi wanamkubali kwani malipo yao ya uzeeni wanapata bila kwere kwani amekata mianya ya ufisadi ela inaonekana.

but hizo policy zake zita fail....tazama cuba inavyo colapse
 
I don't know much about Cuba; wana mafuta? Chavez ana mafuta na anapo pa kuyauza kwani ni best na China; hence amewashika pabaya wamarekani. Ame nationalize uchimbaji wa mafuta na hawajamfanya kitu. Kuna mama yuko ubalozini wa Nchi yake hapa nilipo; anatoka tabaka la juu; anasema wazazi wake hawampendi Chavez kwani upper class walikuwa wanafaidika sana kabla hajaingia madarakani.

Lakini anasema hata wazazi wake ambao wame retire sasa hivi wanamkubali kwani malipo yao ya uzeeni wanapata bila kwere kwani amekata mianya ya ufisadi ela inaonekana.

Nyumba kubwa sorry out of topic...uliwahi kuishi wapi dar?
una msamiati wa maeneo fulani hivi lol
 
Mimi mtoto wa mujini; hamna neno nso lijua hata yale ya kwa mfuga mbwa. Sitakwambia nilipoishi (utoto wangu) but nilikuwa kwenye nyumba iliyo isolated (si uswahilini) kiasi kwamba hata mama akituchapa jirani hawezi sikia kelele.

Nyumba kubwa sorry out of topic...uliwahi kuishi wapi dar?
una msamiati wa maeneo fulani hivi lol
 
mi naona afate tu moyo wake mana yy ndio anaenda kuishi naye sio jamii na ndio mana watu wnaaoa wenye heshima then ndio kazi kutoka nje kutafuta sasa kipenda roho mwisho ndio kutuletea thread hapa za ss kukusaidia kuchagua ubaki wapi kwa mke au mmasai
 
Back
Top Bottom