Mwanaume mzima unashika shika........!

Mwanaume mzima unashika shika........!

Mmm pole sana ninavyowajua mnavyopendana na kushikamana mwenzako huyo! Sasa mkuu labda kuna kitu alikuwa hataki uone kwenye bag, au kwenye laptop alikuwa huwa ana chat na washikaji ...... ndio ukubwa huo kaka yatakwisha tu. ni upepo utapita
 
Mark my word :hakuna haki sawa kati ya mwanamke na mwanaume never and it will never be.mwanamke kwa jinsi mungu alivotuumba tupo chini ya miguu ya waume zetu.

Wazazi wako walipoteza muda mwingi kweli kukupa malezi, believe me hutatetereka katika maisha yako ya ndoa. Unajua ndoa nyingi zinavurugu kutokana na wanawake kutaka na kuwa wanaume na kutoa maamuzi ya wanaume. Kinachoshangaza sasa kuna vita ya wanaume nao kugombania kuwa wanawake ktk ndoa. Always wape wanao elimu hii kwani hata leo na kesho watakukumbuka na kuitumia ktk maisha yao.
 
mmmh ni hayo tu au kuna mengine umetuficha?kwani laptop ina privacy gani mpk mtu awake namna hiyo tena mkeo?kuna vitu hujatueleza bana.
 
ukweli ndo huu...dizaini kuna kitu anaficha ficha maaana kwa akili ya kawaida haukuna mantiki yeye anaendesha gari halafu ndo akuwashie hiyo pc...halafu kwa nin unamuachia aendeshe yeye? hilo ni swala jingine..point ni hii ungemwambia privacy iimekwisha tangu alipoolewa kama anataka privacy angebaki nyumbani kwao na mwambie unao ubavu wa kufanya chochote kile kwake si simu wala laptop..asijikute wakishua wkt alikua hajui hata kuiwasha hiyo laptop..halafu unakausha..eeennnhh namna hiyo mwanamke ukimchuklia poa lazma akupande kichwani...asije akakudhalilisha mbele za watu...
 
eeeehhh msacha imekuwaje tena

aaaah leka kapsa! cha...

Wanawake wa siku hizi bana..mh! bado sana aisee...labda nikifika 40 ivi...

Ebu cheki huyu afu kuna watu wanakuja kumwambia eti alikosea na yeye.
KWELIIII!???? Mume....isn't it logical laptop yako ikiisha charge ni haki na adili kutumia ya mkewe...sasa maana ya kuwa mwili mmoja ni nini basi!?? chumbani pekee??
Eti, kenjiwia mleu...
Mume HAOMBI kitu kwa mkewe ANATOA TAARIFA TU..sasa hapo mnaposema huyu kakosea ndo mm nnapoona sitaweza kuoa ntamshindwa huyo binti atakayetaka niombe kutumia laptop yake, au simu when yangu imeisha charge!!!!
 
Hahahahahahaahah! We chapamba unamdanganya mwenzio , umchape kwani kawa mwanao, au mtoto, jambo hili si kubwa sanaa, ingawa limemfadhaisha kijana juzi, wanaweza wakaongea na yakaisha,bila ya kupigana .

Ila mm nakuomba Kijana Juzi , usiwe na haraka ya kujua kwa nn amesema hayo maneno kwako ikiwa wewe ni mumewe ,a unafahamu kila kitu. Cha muhimu muite kwa utaratibu muulize alikuwa na maana gani kukwambia hivyo, baada ya kusikiliza utetezi wake, anza kufanya uchunguzi wa kimya kimya ili ufahamu kama kweli ni msafi na anaheshimu ndoa yenu.Hapo utapata ukweli uliofichika ndani ya Hiyo Laptop.

Mimi ni signature yako imenikosha. Tafadhali nikumbushe kidogo hiyo ni Orchestre Makassy au Toma Toma?
Dah !! Wakongwe.



 
Tunaheshimiana sana!!! Ndo mana nilihamaki ngumi ikawa inanyanyuka inarudi!!! Hatujawahi kukoseana heshima kama hivi naona wengi wanasema anajaribu kupima atafanywaje ili aboreshe kiburi ama apunguze kiburi!! Sasa kitakwisha chotee

Huyo mkeo hakueshimu mpaka anakuwakia hivyo? mimi ninavyoelewa mkishaoana mnakuwa wamoja sasa mwenzetu privacy inatoka wapi? Privacy huja kwa maelewano na maridhiano lakini sio yakuwa amriwa tena na mkeo aliyepashwa kukuheshimu mbali ya hapo ukiangalia mazingira ya tukio sio ya kuwa ulikuwa unampekua lakini lilikuwa suala la urgency.
Ni vizuri kukaa na mkeo mpendwa na kumuonya juu ya tabia yake, kwani kaonyesha kujishuku as if kuna kitu anaficha............its better you find out what it is.
 
Alaaaaah!!! Kakosea choo ujueee!!!! Kuna comment zilinipa hasira jana usiku mweee!!!


wanajua sana na wanawake wengi wanaelewa ,wanawake wako so curious tofauti wanaume, kitu cha kwanza mwanamke akikutana na mwanaume yeye hutafuta kuyajua madhaifu yake tu ili aweze kuishi nawe kupitia madhaifu yako na pale ndipo anapokutawala kirahs tofauti na wanaume husoma mke /gf anapenda nini what ever ili akuridhishe sasa nafikiri umejifunza kitu hapa .this is the way women are ni watu wa kupima sana maji na mguu na akikupata kama huyo bwana hapo juu na ndio kitakuwa chanzo cha kifo chake .jiulize ni kwanini wanaume asilimia kubwa hutangulia kufa kabla ya wake zao kma sio ajali? jibu rahisi sana (hapa sizungumzii gf/bf)
 
Duh!!! Kumbe

kaka pole sana mimi yalishawahi kunikuta hayo,ilikuwa simu naniliomba kuitumia yakwangu iliishapesa kabla sijaruhusiwa mimi nikaichukua maana ilikuwa mezani na yeye alikuwa uani,alipotoka akakuta naongea nayo aliwaka mtoto wa watu akasema siku akiona nimeishika simu yake anaivunjavunja na kuitumbukiza chooni,sasa mimi ni wale vichwa maji kwanza niliamua kuipekuwa na kukuta sms ameandikiwa na mtu simjui no tu,inasema hivi mama fulani kanieleza yaani huku saa hizi nani....inataka kupasua ch.......p,nikasema alaakumbe hiki ndo kinachosababisha yote haya nilichokifanya ni kuivunja vunja ile simu na kuiflash chooni na kipigo juu,hivyo kaka si bure kuna kitu hapo chunguza
 
Nilihofia ajali coz alikuwa anadrive!!! Vinginevyo kingenuka bana!!!

Mkuu hasira na ujasiri unauachaga nyumbani nini? ingekuwa mm, kwanza hiyo LAPTOP naivunja ili ajue nimechukia, halafu lazima angekula vibao vya kutosha!
 
Tupo Pamoja, ndiyo safari niliyoianza sasa!!!

Pole mkuu. Kifupi mkeo hakupaswa kukujibu hivyo coz ulimwomba au niseme ulimtaarifu.

Pili.. Kusema kwamba unaruhusiwa au huruhusiwi kufungua laptop yake au mkoba hiyo inategemea na makubaliano yenu nyie au utaratibu ambao huwa mnatumia kwenye ishu za namna hiyo.

To me hilo karipio lingenifungua akili kabisaaaa .. Ndo ningeanza safari ya kumchunguza what's happening

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Nimependa unavyojitambua!!! Point noted madam!!!

Sisi wanawake ni selfish sana sana ,mfano rahisi utakuta wote mnafanya kazi ila hela itakayotumika ni ya mume tuuu kwa kila kitu home ya kwako niyakuvaa tu soooo selfish .huyo dada ana jambo la ziada lakukuambia juu ya kauli yake .mimilait ningezaliwa mwanaume nsingeruhusu kuchezewa namna hiyo muna thamani kubwa sie viumbe dhaifu na wadogo sana kwenu.mwite kwa sauti mwambie kaa pale explain kila neno ulilolitoa siku ile alaaah unammezea mate ya nini hataki mwambie akapumzike kwao.na at last usipumbazike kingono akiri hayo maneno yake .mwanaume bila udicteta haya matoto ya kike hayaendi,,ni bora kufuga mabata 10 kuliko mwanamke 1.huwa namwambia mume wangu mwanaume lazima uongee kwa sauti ijulikane nibaba ameongea la sivyo hata watoto watakupanda kichwani!!we bana bana pua atakuaibihs hivohivo mbele za watu.
 
Ila mi ningependa huyo mama awemo humu ndani!, na yawezekana yumo!ila kwa vile jf ni we na roho yako!
 
Only that, hakuna jingine Purple!!! Kabla ya hapo tulikuwa tunataniana, tunacheka huku safari ikiendelea!!

mmmh ni hayo tu au kuna mengine umetuficha?kwani laptop ina privacy gani mpk mtu awake namna hiyo tena mkeo?kuna vitu hujatueleza bana.
 
Na wewe mwanaume jiangalie mara mbili.....tusimlaumu mke tuu...mkeo ancheza kulingana na beat zako!!yaelekea na ww ni mtoto mayai!!!Kama una uwezo wa kumvua nguo seuze laptop??you must be kidding!!
 
Hajawahi kukuchabanga makofi au kukukwida kweli?
Aisee,au ana sauti nzito zaidi yako hivyo hujisikia raha kukuungurumia?
Pole sana,mkanye na mueleze makosa yake.Hapaswi kuwa hivyo,ni hatari kwa ndoa yake!:shut-mouth:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom