Mwanaume mzima unashika shika........!

Mwanaume mzima unashika shika........!

yaan leo umenambia kitu alichoniambia my dad miaka 12 hivi iliyopita...hapo kwenye bold/blue hapo...
he said, ina maana mungu ana upendeleo na kuchukua wababa tu na kuacha kina mama?sikuelewa coz by that time i was too young for that...
sasa nielewe vizuri:wanaume wengi niwana mioyo mepesi sana ,wengi hawapendi kero na matatizo ya hapa na pale.ugomvi ,kusemwa kutukanwa ,kuudhiwa na kero nyingi tu zitokanazo na wakezo wanawake wengi wakiudhika huishia kulia kwa sauti na makelele mengi then mzigo moyoni umeisha yasio na msingi mwanaumre rijali aleyefunzwa hali ikabisa anaishia kuugulia ndani kwandani wakati moyo wake ukiwa unadondosha matone ya damu siku hadi siku,hii ni presha anaitengenesha ,msongo wa mawazo yaani kwanini huyu mwanamke anifanyie hivi,shinikizo la damu na magonjw mengi yanayochangiwa na hili,na ndio sababu kwenye misiba utasikia mwache alie fundo limtoke !!hilifundo kwa wanawake linatoka kwa mwanaume anayeudhiwa never yanajikusanya humo na mwisho anapata maradhi anaiaga dunia.
my intake:
waangalie wanaume madictator ambao mwanamke ni nothing kwao miaka yao ya kuishi inasogea kuliko wanaume wanyonge na wapole na wenye kujali usawa na kuwasikiliza wakezao..hahahaha sijasema muwe mdictator ila kuweni makini sana kuishi na wake zenu jamani usimpe hata 60%ya maisha yako
 
iyo laptop ina zaidi ya uo mkoba kuna kitu ambacho alikuwa anakificha so ana waswas unaweza kujua ndo maana kawa mbogo jaribu kumfanyia uchunguzi wa hali ya juu c mke wko utajua tu. There is sm thng going on.

Nalo hili neno.
 
mra..tema omuntu mra!...mkeo ana lake jambo! fanya u-FBI utajua ukweli. ukiona mke anakuwa na behavior chafu na maneno makali kama hayo kwa mumewe ujue ana-date na mwanamme mwingine huko nje!
 
Umenena kweli!..

Mmmh,lakini kuna wanawake wanapanda kichwani mwanaume inabidi utafute njia ya kujiepusha ukileta udikteta utaozea

keko.

Sisi wanawake ni selfish sana sana ,mfano rahisi utakuta wote mnafanya kazi ila hela itakayotumika ni ya mume tuuu kwa kila kitu home ya kwako niyakuvaa tu soooo selfish .huyo dada ana jambo la ziada lakukuambia juu ya kauli yake .mimilait ningezaliwa mwanaume nsingeruhusu kuchezewa namna hiyo muna thamani kubwa sie viumbe dhaifu na wadogo sana kwenu.mwite kwa sauti mwambie kaa pale explain kila neno ulilolitoa siku ile alaaah unammezea mate ya nini hataki mwambie akapumzike kwao.na at last usipumbazike kingono akiri hayo maneno yake .mwanaume bila udicteta haya matoto ya kike hayaendi,,ni bora kufuga mabata 10 kuliko mwanamke 1.huwa namwambia mume wangu mwanaume lazima uongee kwa sauti ijulikane nibaba ameongea la sivyo hata watoto watakupanda kichwani!!we bana bana pua atakuaibihs hivohivo mbele za watu.
 
Kimsingi inaashiria lipo tatizo/siri ambayo mkeo hataki ujue. Wakati mwingine ni jinsi ulivyomzoesha au lile penzi la wakati wa uchumba limeisha amenza kujisahau na anaona mume ni kitu cha kawaida tu. Nakupongeza kwa kutochukua uamuzi wa haraka maana jambo hili linahitaji uchunguzi wa kina ili uweze kujua tatizo na ulitatue. Nasisitiza jitahidi ujue tatizo maana ukikosea bila kujua tatizo basi ataendelea maana anajua hujafumbua fumbo lake. Ukijua ukweli hata akikataa usoni kwako nafsi itamuhukumu na atajirudi kama nanakupenda kweli.

wakati mwingine anaweza kuwa ni 007 'licence to kill' na hataki ujue !
 
Umenena kweli!..

Mmmh,lakini kuna wanawake wanapanda kichwani mwanaume inabidi utafute njia ya kujiepusha ukileta udikteta utaozea

keko.
hapo ni sawa nakukiogopa kivuli chako sasa:haya yote ni kwamwanaume wanaoziheshimu ndoa zao ,sio wasaliti wagomvi wenye kuleta mitafarakan kwenye familia ,ila kama ndio unamtesa mkeo nikikuta hueshimiwi mi sioni ajabu wewe kudharauliwa .so that if you havent any dought to your family and wife man should play his pary as A FATHER na kama mume
 
Da pole mwanawane! Inawezekena umefunikwa kwenye chungu, yaani eti''Mwanaume zima unashikashika mikoba ya wanawake we vipi??'' Halafu anakuuliza swali we vipi? Nawe mzee kimyaaaaa. Au mzee una mwezi haujamru kia nini ndio maana anakuuliza we vipi?,
skia; mkeo hana cha kukuficha katika ndoa,yeye ni mali yako hata huo mkoba wake, Je? Amefichanini we usijue ? Au kuna jamaa anamrukia anaogopa we utajua. Next time kaza ki-bess. Akizingua mtishie kumpa makofi. Naamini hatorudia tena atakua na heshima.
 
Sisi wanawake ni selfish sana sana ,mfano rahisi utakuta wote mnafanya kazi ila hela itakayotumika ni ya mume tuuu kwa kila kitu home ya kwako niyakuvaa tu soooo selfish .huyo dada ana jambo la ziada lakukuambia juu ya kauli yake .mimilait ningezaliwa mwanaume nsingeruhusu kuchezewa namna hiyo muna thamani kubwa sie viumbe dhaifu na wadogo sana kwenu.mwite kwa sauti mwambie kaa pale explain kila neno ulilolitoa siku ile alaaah unammezea mate ya nini hataki mwambie akapumzike kwao.na at last usipumbazike kingono akiri hayo maneno yake .mwanaume bila udicteta haya matoto ya kike hayaendi,,ni bora kufuga mabata 10 kuliko mwanamke 1.huwa namwambia mume wangu mwanaume lazima uongee kwa sauti ijulikane nibaba ameongea la sivyo hata watoto watakupanda kichwani!!we bana bana pua atakuaibihs hivohivo mbele za watu.
we mtt wa kike umeongea point hadi raha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom