Mwanaume mzima unashika shika........!

Mwanaume mzima unashika shika........!

.......mwanaume zima unashika shika mikoba ya wanawake!! we vipi??? Yalikuwa ni maneno yaliyonichoma barabara moyo wangu tena kutoka kwa mwanamke ninayempenda kuliko wote, yaani mke wangu!!!

Ilikuwa hivi, ametoka kazini akanipitia mimi kazini kwangu tukawa tunajirudisha home taratiibu na stori mwanana za kutaniana hivi na vile bora tumekutana tunaopendana!!!

Ugomvi ulianzia nilipopokea simu ya mfanyakazi mwenzangu akinitaarifu kuwa report niliyotuma, attachment haikwenda ambayo ndiyo report yenyewe!!! So nitume tena na kwa haraka sana coz makao makuu wanaisubiri jioni hiyo hiyo!!! Niliwasha laptop yangu nikakuta ina umeme kidogo sana nilichofanya ni kuibeba kwenye flash na nikalazimika kumuomba mke wangu laptop yake ili niitumie kwa muda huo!!!

Ye wife anatumia mini laptop ambayo inaingia kwenye mkoba wake anaoweka na vitu vingine vya kike, kiukweli sikusubiri jibu lolote toka kwake nikafungua mkoba wake na kutoa min laptop yake nikaiwasha na kuanza kutumia, kumbe mwenzangu muda wote huo hakuniona ila alinielewa kuwa nahitaji laptop yake!!!

Aliposimamisha gari na kunigeukia akakuta natumia tayari, daah!!! Yalimtoka maneno ambayo sijawahi kuyasikia kinywani mwake tangu namfahamu (moja wapo ni hayo niliyotumia kama title aya ya kwanza)!! Alikasirika mwanamke mpaka nikashangaa, sikumjibu kitu kwani nilituma niliyoyatuma nikazima laptop yake nikamrudishia!!!

Katika kudadisi kwangu niligundua yafuatayo;
1. Alikasirika sababu nimefungua mkoba wake, Je wana JF mimi kama mume mtu siruhusiwi kugusa mkoba wa mke wangu na kuufungua??
2. Alikasirika mimi kuwasha laptop yake kwa madai kwamba ile ni kitu binafsi kama ilivyo simu so nilipaswa kusubiri aniwashie!! Wana JF laptop pia ni restricted kwa mume/mke???

Kifupi mie sijaongea nae kitu mpaka sasa coz mihasira mingi na nimejikuta nina mengi yanazunguka kichwani nataka kwanza nitulie ili nilianzisha tuelewane vizuri!!!

Ila bado najiuliza nilikuwa sahihi ama nimekosea??? Wana JF mnaonaje hili????

Nawasilisha

Hizi ni siri zenu. Si jambo jema kuziweka hadharani. Fikiria kama mkeo ni mwana JF, atajisikia vipi akisoma hapa?
 
samahani kuna mtu ametumia id yako na kuchakachua maoni na ushauri akijidai ni wewe ninaekufahamu...ni hayo tu mpendwa
hahahaahhah unanifahamuje mkuu huo ndio uhalisia jamani kha
 
Ulichokifanya umekosea na alichokifanya mkeo amekosea pia, wote mmekosea.
Kivipi?

*Japokuwa ni mke wako na una uhuru nae na vitu vyake, lakini inategemea desturi na utamaduni wa kuishi mliojijengea nyinyi wenyewe. Kumbuka mikoba ya kina mama inabeba vitu vingi tena vingine ni siri(Urembo, Pedi, Nguo, Dawa nk) kwa mwanamke mwenyewe tu, hivyo sio busara sana kuifungua pasipo ridhaa ya mwanamke mwenyewe unless mmeshajenga utamaduni huo!!

*Mkeo pia amefanya makosa sana kwa kuonyesha ukali na hasira kwa jambo ambalo hajaridhia kwanza kufanywa na mume wake, hivyo imepelekea wewe kuhisi vibaya.
 
wanawake wa kibongo hawaendi bila kichapo,mambo ya kizungu waachieni wazungu wenyewe,hapo ningekuwa mimi ni kichapo mpaka angesema ni kwa nn ananambia hivo,kuwa mwanamme huyo ni mali yako.wewe ni kichwa cha familia na wewe ni baba,huyo mkeo ni moja ya mali zako.kwa hiyo hata vitu anavomiliki ni mali yako pia,kwa hiyo kukwambia unashika shika mikoba ya wanawake ni kukutusi,MPE KICHAPO ILI SIKU NYINGINE AWE NA ADABU..
 
Pole mkuu. Kifupi mkeo hakupaswa kukujibu hivyo coz ulimwomba au niseme ulimtaarifu.

Pili.. Kusema kwamba unaruhusiwa au huruhusiwi kufungua laptop yake au mkoba hiyo inategemea na makubaliano yenu nyie au utaratibu ambao huwa mnatumia kwenye ishu za namna hiyo.

To me hilo karipio lingenifungua akili kabisaaaa .. Ndo ningeanza safari ya kumchunguza what's happening

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
if this what u have said comes from ua heart,if u mean it,then your husband/boyfriend is lucky


Sisi wanawake ni selfish sana sana ,mfano rahisi utakuta wote mnafanya kazi ila hela itakayotumika ni ya mume tuuu kwa kila kitu home ya kwako niyakuvaa tu soooo selfish .huyo dada ana jambo la ziada lakukuambia juu ya kauli yake .mimilait ningezaliwa mwanaume nsingeruhusu kuchezewa namna hiyo muna thamani kubwa sie viumbe dhaifu na wadogo sana kwenu.mwite kwa sauti mwambie kaa pale explain kila neno ulilolitoa siku ile alaaah unammezea mate ya nini hataki mwambie akapumzike kwao.na at last usipumbazike kingono akiri hayo maneno yake .mwanaume bila udicteta haya matoto ya kike hayaendi,,ni bora kufuga mabata 10 kuliko mwanamke 1.huwa namwambia mume wangu mwanaume lazima uongee kwa sauti ijulikane nibaba ameongea la sivyo hata watoto watakupanda kichwani!!we bana bana pua atakuaibihs hivohivo mbele za watu.
 
Duh naoa mwaka huu jamani mbona mnanitia presha..

Kusema kweli mimi hiyo laptop ningeivunja kuonesha nimekasirika, na ambacho ningekifanya asingesahau maishani mwote...
 
Be careful kuna mwenzio alikuta Ky jelly kwenye mkoba wakati hawajawahi tumia sasa jiulize inatumika wapi na kwa nani ?
 
Sisi wanawake ni selfish sana sana ,mfano rahisi utakuta wote mnafanya kazi ila hela itakayotumika ni ya mume tuuu kwa kila kitu home ya kwako niyakuvaa tu soooo selfish .huyo dada ana jambo la ziada lakukuambia juu ya kauli yake .mimilait ningezaliwa mwanaume nsingeruhusu kuchezewa namna hiyo muna thamani kubwa sie viumbe dhaifu na wadogo sana kwenu.mwite kwa sauti mwambie kaa pale explain kila neno ulilolitoa siku ile alaaah unammezea mate ya nini hataki mwambie akapumzike kwao.na at last usipumbazike kingono akiri hayo maneno yake .mwanaume bila udicteta haya matoto ya kike hayaendi,,ni bora kufuga mabata 10 kuliko mwanamke 1.huwa namwambia mume wangu mwanaume lazima uongee kwa sauti ijulikane nibaba ameongea la sivyo hata watoto watakupanda kichwani!!we bana bana pua atakuaibihs hivohivo mbele za watu.
sijakufahamu vizuri wewe ni she au he?
 
ulikuwa unahesabu nini chupi au chenji alizo nazo kwenye mkoba?
 
Hizi ni siri zenu. Si jambo jema kuziweka hadharani. Fikiria kama mkeo ni mwana JF, atajisikia vipi akisoma hapa?
kuna siri mbele ya kudhalilishwa viumbe hawa ni hatari sana anaweza kukua kwa pressure ukiangalia hivi hivi,

 
Huyo anatunza siri nzito za bosi wake kazini. Angalia sana.
 
Mkuu chukua hatua mapema zungumza nae kuhusu alivyokutibua, halafu mpate suluhisho. Kama mke na mume mnaaminiana ya nini kujidai eti simu & co ni vitu private? otherwise there is something behind not good. Mkuu pamoja na mazungumzo lakini inabidi upige mkwara wa maana lazima kidume ajulikane in the house.
 
Usijekuta kuna hirizi kwenye pochi yake....si unajua hawa viumbe tuliambiwa tuishi nao kwa akili!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom