King Sae
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 2,837
- 5,348
Apo kwenye nayaweza hasa kwa vitendo ndo shida,na sio akutiaye nguvu.Yes nayaweza katika yeye anitiaye nguvu (sasa hapo kwenye kutiwa nguvu sasa😆)
Apo kwenye nayaweza hasa kwa vitendo ndo shida,na sio akutiaye nguvu.Yes nayaweza katika yeye anitiaye nguvu (sasa hapo kwenye kutiwa nguvu sasa😆)
1:UsimsalitiHabari.
Uzi huo unajieleza nipendi mbinu za kuishi na mwanaume mwenye wivu na pia ni jinsi gani utamfanyia mwanaume wako ili azidi kukupenda?
SawaaIshi nae kistaarabu. Ili akupende zaidi mheshimu na ujiheshimu (heshimianeni)
najaribu kujibu hiyo 👆
mpe papuchi bila masharti.
Usimuombe pesa(aka mizinga)simu isiharibike ghafla,nywele zisifumuke ghafla,usidaiwe kid ya nyumba ghafla..na mengine yafananayo na hayo.
Inasemekana lakini
Point taken1:Usimsaliti
2:Tengeneza mazingira akuamini sana
3:Mjali
Siku moja nlikua naongea na simu isiku afu yeye akapiga kama mara mbili hivi bado nlikua natumika alikasirika sana yani sanaa ila nilikua naongea na rafiki ang😩😩😩wanaume wenye wivu hupenda mwanamke muwazi asietengeneza mazingira tata kwenye mahusiano/ndoa, mweke wazi jambo lolote unalohisi usipomwambia then akalijua litaleta utata na kupelekea ugomvi
Hanipigi ila ananuna mnoWivu ni kawaida.
Ila wivu wa hadi kuja kuomba humu ushauri inamaanisha wivu wake umevuka mipaka, kama ameanza na kukupiga na wewe unaona tatizo lipo kwako na unahitaji kujirekebisha ili muwe sawa hiyo inamaanisha jamaa ni manipulator na gas lighter mzuri pia.
Yaani anaweza akakosea yeye kisha akakuhamishia lawama wewe na wewe ukaomba msamaha.
Huo siyo uhusiano hata kidogo.
Naona umeachiwa sasa..haya hujambo.Huo wivu ,umefikia hatua gan??
Kundi A..
1-Anashika simu yako ila haongei zaidi ya kujikoosha kama Mtanzania aliyekua anajisaidia chooo che pazia tu kisha akasikia mtu anakuja choon!!
2--Kila mara anashika simu yako na anakuuliza maswali ,mara hii namba yanan?? Mbona imekupigia sanaa??nani amekuambia Mambo???
3--Anashika, anakuuliza na anakupa kipondo kama mbwa koko ???
Kundi B
1--Ana kupa muda wa kutoka na Kurudi nyumban
2--Unatoka kwaajili ya kazi ila kila muda anakupigia simu na video
3--Unatoka ila ole wako akukite umesimama njian na Jamaa
4---Hutoki kabisaa yaan nakazi kakuachisha
5--Hutoki yaan hata kwa mashost huendi, hata kwa ndugu huendi. Yaaan hadi kwa wazazi wako kapiga pini.
Suluhisho
1--Kama anadalili moja ya kundi A na hana hata moja ya kundi B au anayo Moja .,.,.... Ongea naye kiutu uzima.
2--Kama anazo mbili za Kundi A na moja ya kundi B..... Anza kua makini
3--kama anazaidi ya mbili za kundi A nambili za kundi B....... Anza harakati za kuachana na huyo Mbwa , Nikwamba yeye anagonga wa wengine. Ila hataki kugongewa, kwa mantiki iyo kuna siku MTAJIPA KESI.
Kumbeee 😆😆😆Sio inasemekana huo ndio ukweli wenyewe
Kumbeee
Chokorii unajua NAKUPENDA bado..
Tuache utani na masihara pembeni.
Mwanaume ukimheshimu,vitu vingi tutafaidi kutoka kwao
Mimi nilisikia sehemu wakisema so sikuwa na uhakika😅😅Kwa hiyo wewe unaigiza kama hujui vile
Muwahi mapema. Umwambie ww unawifu wa kupindukia . Ngoma itakua droo. Akimwaga ugali ww mwaga mboga !!! Atalazimika kukuheshimu mapenzi yenyu yatakua mubasharaHabari.
Uzi huo unajieleza nipendi mbinu za kuishi na mwanaume mwenye wivu na pia ni jinsi gani utamfanyia mwanaume wako ili azidi kukupenda?
Maskini hukatagi tamaa loh...sa itakuwajeChokorii unajua NAKUPENDA bado..
😂😂😂😂😂najaribu kujibu hiyo 👆
mpe papuchi bila masharti.
Usimuombe pesa(aka mizinga)simu isiharibike ghafla,nywele zisifumuke ghafla,usidaiwe kid ya nyumba ghafla..na mengine yafananayo na hayo.
Inasemekana lakini
Muwahi mapema. Umwambie ww unawifu wa kupindukia . Ngoma itakua droo. Akimwaga ugali ww mwaga mboga !!! Atalazimika kukuheshimu mapenzi yenyu yatakua mubasharHabari.
Uzi huo unajieleza nipendi mbinu za kuishi na mwanaume mwenye wivu na pia ni jinsi gani utamfanyia mwanaume wako ili azidi kukupenda?
Twende makutano tuyalalize aisei..!Maskini hukatagi tamaa loh...sa itakuwaje