Mwanaume Muoaji ana sifa zifuatazo...

Mwanaume Muoaji ana sifa zifuatazo...

Hapa ndio wabongo wengi wanafeli hasa akina Dada ambao hamjaolewa

Ukinichukia Sawa ukiniita old school Sawa maana hapa Nina Miaka 63, nawasaidia Kupunguza malalamiko ya wanaume

Kihalali kabisa na hata ukiuliza walioolewa wenye ndoa za Amani watakwambia kuwa:

Mwanaume MUOAJI, anaetafuta MKE hawezi kukufanyia haya yafuatayo:
1. Kukupiga denda hadharani

2. Kukukumbatia hadharani

3. Kukushika ziwa au Chuchu hadharani

4. Kukushika wowowo hadharani

5.Kuzini na wewe kabla hajakuoa

6. Mahusiano yenu yatakuwa ya muda mfupi Sana, sio zaidi ya Miezi 3

7. Hatokuonyesha Mali zake au fahari ya vitu vya kuonekana kwako kabla hajakuoa

8. Hatokuita usiku usiku sijui mkatembee atahakikisha mitoko yenu ni mchana, penye watu wengi na mwisho kukaa nae itakuwa SAA 12 jioni

Sasa kama wewe bwana ulienae hafanyi haya, ujue unamsindikiza tu kipindi hiki cha Covid19 au unamsindikiza kumpata MKE wake Halali[emoji85]

Mwenye sikio na asikie, nipo hapa namalizia maombi ya siku 3 ya kuombea Taifa letu dhidi ya CORONA [emoji120]

Mnakaribishwa wanaume kuchangia pia huenda kuna Mengi nimesahau
Utakua msabato wewe walai haha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa ndio wabongo wengi wanafeli hasa akina Dada ambao hamjaolewa

Ukinichukia Sawa ukiniita old school Sawa maana hapa Nina Miaka 63, nawasaidia Kupunguza malalamiko ya wanaume

Kihalali kabisa na hata ukiuliza walioolewa wenye ndoa za Amani watakwambia kuwa:

Mwanaume MUOAJI, anaetafuta MKE hawezi kukufanyia haya yafuatayo:
1. Kukupiga denda hadharani

2. Kukukumbatia hadharani

3. Kukushika ziwa au Chuchu hadharani

4. Kukushika wowowo hadharani

5.Kuzini na wewe kabla hajakuoa

6. Mahusiano yenu yatakuwa ya muda mfupi Sana, sio zaidi ya Miezi 3

7. Hatokuonyesha Mali zake au fahari ya vitu vya kuonekana kwako kabla hajakuoa

8. Hatokuita usiku usiku sijui mkatembee atahakikisha mitoko yenu ni mchana, penye watu wengi na mwisho kukaa nae itakuwa SAA 12 jioni

Sasa kama wewe bwana ulienae hafanyi haya, ujue unamsindikiza tu kipindi hiki cha Covid19 au unamsindikiza kumpata MKE wake Halali[emoji85]

Mwenye sikio na asikie, nipo hapa namalizia maombi ya siku 3 ya kuombea Taifa letu dhidi ya CORONA [emoji120]

Mnakaribishwa wanaume kuchangia pia huenda kuna Mengi nimesahau

Hiyo namba 5 hapana lazima aonje kama ina chumvi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hapa ndio wabongo wengi wanafeli hasa akina Dada ambao hamjaolewa

Ukinichukia Sawa ukiniita old school Sawa maana hapa Nina Miaka 63, nawasaidia Kupunguza malalamiko ya wanaume

Kihalali kabisa na hata ukiuliza walioolewa wenye ndoa za Amani watakwambia kuwa:

Mwanaume MUOAJI, anaetafuta MKE hawezi kukufanyia haya yafuatayo:
1. Kukupiga denda hadharani

2. Kukukumbatia hadharani

3. Kukushika ziwa au Chuchu hadharani

4. Kukushika wowowo hadharani

5.Kuzini na wewe kabla hajakuoa

6. Mahusiano yenu yatakuwa ya muda mfupi Sana, sio zaidi ya Miezi 3

7. Hatokuonyesha Mali zake au fahari ya vitu vya kuonekana kwako kabla hajakuoa

8. Hatokuita usiku usiku sijui mkatembee atahakikisha mitoko yenu ni mchana, penye watu wengi na mwisho kukaa nae itakuwa SAA 12 jioni

Sasa kama wewe bwana ulienae hafanyi haya, ujue unamsindikiza tu kipindi hiki cha Covid19 au unamsindikiza kumpata MKE wake Halali[emoji85]

Mwenye sikio na asikie, nipo hapa namalizia maombi ya siku 3 ya kuombea Taifa letu dhidi ya CORONA [emoji120]

Mnakaribishwa wanaume kuchangia pia huenda kuna Mengi nimesahau





Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hapa ndio wabongo wengi wanafeli hasa akina Dada ambao hamjaolewa

Ukinichukia Sawa ukiniita old school Sawa maana hapa Nina Miaka 63, nawasaidia Kupunguza malalamiko ya wanaume

Kihalali kabisa na hata ukiuliza walioolewa wenye ndoa za Amani watakwambia kuwa:

Mwanaume MUOAJI, anaetafuta MKE hawezi kukufanyia haya yafuatayo:
1. Kukupiga denda hadharani

2. Kukukumbatia hadharani

3. Kukushika ziwa au Chuchu hadharani

4. Kukushika wowowo hadharani

5.Kuzini na wewe kabla hajakuoa

6. Mahusiano yenu yatakuwa ya muda mfupi Sana, sio zaidi ya Miezi 3

7. Hatokuonyesha Mali zake au fahari ya vitu vya kuonekana kwako kabla hajakuoa

8. Hatokuita usiku usiku sijui mkatembee atahakikisha mitoko yenu ni mchana, penye watu wengi na mwisho kukaa nae itakuwa SAA 12 jioni

Sasa kama wewe bwana ulienae hafanyi haya, ujue unamsindikiza tu kipindi hiki cha Covid19 au unamsindikiza kumpata MKE wake Halali[emoji85]

Mwenye sikio na asikie, nipo hapa namalizia maombi ya siku 3 ya kuombea Taifa letu dhidi ya CORONA [emoji120]

Mnakaribishwa wanaume kuchangia pia huenda kuna Mengi nimesahau
Ndo mliyokubaliana haya?[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waoajai hawana sifa ila waoaji wanaoa tu, ndo maana wahuni,walevi,Malaya,majambazimashekhe na wachungaji wote wanaoa.
Wanaume ambao so waoaji no mapadri tu
 
waoaji hawana sifa ndo maana wenye kazi wasio na kazi, wahuni,vibaka,wezi,majambazi ,Malaya ,mashekhe na wachungaji wote wanaoa tuu.
Wasiooa ni mapadri tu kwa sababu hawana sifa za kuoa na hao ndo tunawaita sio waoaji
 
Usinisingizie wewe unaichafua id yangu mi kijana mpole na mtulivu sema kwenye maneno ya kuandika kama hivi ndio sio mtulivu😜
Hizo mambo sifanyagi hadharani nautambua wasaa na wakati wa mambo husika hata hivyo mi sio mzinzi tendo lenyewe nilishafanyaga Mara moja tu toka nizaliwe zilizobaki zote mbwembwe tu 😂😅😅
Kwahiyo we NI Bikra?!🙄
 
Money kweli ww unajua mke wangu alikuwa du wa ukweli yani du nikwambie nn bwna wakati namtokea kipindi kile mkwele mipango poa mtoto full baibui Ana haibu mfano hakuna mm mlevi kosa kuniambia anapenda wine bwana weee nilikuwa nikipata vitu vyangu namchukulia Ile michupa kaza sweety.ss kumbe yy alikuwa anapenda akiniona nikiwa nishaondoa aibu full [emoji8] kiss[emoji8] kiss mtoto Ana chura akivua lile baibui bwana weee bac full mi [emoji8] [emoji8] [emoji8] mpk akifungua mlango chura ya ukweli namwambia2 okota pesa zngu nilikuwa nadondosha makusudi mzee mpk kule full mi [emoji8] [emoji8] [emoji8] mwenyewe alitangaza nioe nikamaliza tu mazima mpk leo mwendo ule ule full mi [emoji8]

Sent using Jamii Forums mobile app
Du
Kwahiyo hujamuoa?!🙄
 
Back
Top Bottom