Mwanaume Muoaji ana sifa zifuatazo...

Mwanaume Muoaji ana sifa zifuatazo...

Umenena vyema kabisa...

Ila kwa zama hizi ambayo tuna tatizo la binadamu wabishi sana...

Mwanaume usipojiongeza kumfanyia hayo mwanamke wako siyo kwa wote lakini utaonekana ndivyo sivyo... haswa hiyo ya kula tunda...

Utagewa kwa kila namna...


Cc: mahondaw
 
We unataka kupeperusha vipepeo!!
Lkn nachojua wanaume hatushindwi maana hakuna mkate mgumu mbele ya chai😉

Ila hapo la 5 Ni kweli hatuzini nao bali tunafanya mapenzi😜
Kuzini ni kule mpaka kuvunja chaga!, kutoboa kondomu!,kufanya kwa pupa sawa na kubaka😂😜

Ila swala la kupima lazima tupime Kama yaliyomo yamo🤫
Ndoroooboe 🏃🏃🏃🏃🏃
 
Hiyo umekaririshwa hakuna mfumo maalum wa kumtambua mwanaume muowaji wengine mpaka tukolee ndio tunatangaza nia
Wewe sio muoaji endelea kugema samaki baharini
Ukitaka kuoa tutakusaidia
 
Umenena vyema kabisa...

Ila kwa zama hizi ambayo tuna tatizo la binadamu wabishi sana...

Mwanaume usipojiongeza kumfanyia hayo mwanamke wako siyo kwa wote lakini utaonekana ndivyo sivyo... haswa hiyo ya kula tunda...

Utagewa kwa kila namna...


Cc: mahondaw
🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Naona mdogowangu umemaliza kuliombea taifa umekuja na upako
 
Jasili huwa haachi asili halafu namba huwa hazidanganyi.
Mbona mnailalamikia Sana namba 5?!
Nyie mnataka kutoboa mabinti wa watu alafu nyie mitini muwaache walie??
Woi, MSHINDWE Kwa jina la Yesu
 
Back
Top Bottom