wise boi
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 363
- 795
Utatokea ugonjwa mwingine🤣Corona ikiisha je?!🏃🏃🏃🏃🏃
Utatokea ugonjwa mwingine🤣Corona ikiisha je?!🏃🏃🏃🏃🏃
Tutakuwa tushakula pilau kama 1000 hiviUtatokea ugonjwa mwingine🤣
Unapewa kichapo kama umetoroka karantini ukibana miguuHatutoi tunabana miguu💪
Hiyo point ya 2 Jioni app bro naomba tueleze Jioni inaisha SAA 1 usiku
SA we unamaanisha Jioni gan🏃🏃🏃🏃
Kibonge unashabikia wanawake kushikwa chuchu na chura hadharani?! Unashabikia udhalilishaji?Hayo uliyoyaandika hapo hujakosea..ila ni ngumu kufanywa kwa vitendo kwa hii dunia ya Sasa.
Wapi nimeshabikia nawewe..wanawake wenyewe wanafurahia kufanyiwa ivyo..ingawa haijakaa poa hata kidogo.Kibonge unashabikia wanawake kushikwa chuchu na chura hadharani?! Unadhabikia udhalilishaji?
We unataka kupeperusha vipepeo!!
Kiru [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Na ndege muoaji je??[emoji125][emoji125]