Wewe ni He?
Hatuhitaji tukupige maana makundi yote kwenye jamii yana haki zao
no matter wawe wa ajabu kiasi gani
noted and stay blessed...........Ni kweli
nobody is perfect
lakini kuna tofauti ya kengeza na chongo
anyway, kila imani its by choice
Thanks, the message was directed to Dc as he promised kwamba wanaume wanaopika wanatakiwa watandikwe bakora
pal, its a clash of civilization/culture or even understanding and beliefs... iit is also becoming a "clash in terms of uelewa na misimamo", kupika ni kitu ingine, ni art ya pekeehehehe Kongosho siongelei kuishi ulaya au nje ya Tanzania, naongelea mazingira. Kuna sehem unakuwa hauna mjomba wala shangazi na hakuna mama ntilie ya kuponea kwa bei za kizembe plus majukumu kibao sasa mida imefika wewe utasubiri waifu arejee akupikie? Hao wazungu wengi wao wamesukumwa na mazingira kama sisi tulivyosukumwa na mazingira.
Not to forget ni ajira pia, Si unampata Jamie Oliver (dume flani) "The naked chef" mzembe anakusanya hela mbaya sana samtaim anapata mwaliko wa kumpikia mpaka queen.pal, its a clash of civilization/culture or even understanding and beliefs... iit is also becoming a "clash in terms of uelewa na misimamo", kupika ni kitu ingine, ni art ya pekee
@xpaster
on every rule/principle kuna exceptions
sometimes we call them limitations
mwanamme kupewa lidandansi na kubaki home ni sawa
na hutokea
lakini ndani ya time t
anatakiwa awe amepata suluhisho
apate kitu kingine cha kufanya
hivi ukiwa ceo, na kampuni ikakumbwa misukosuko utaiacha ife eti sababu yalitokea matatizo?
Ni wajibu wako kuiokoa na kuhakikisha inasavaivu
same aplies kwa baba wa familia
lazima awe kichwa cha familia
hasa kwenye kuresolve matatizo
Not to forget ni ajira pia, Si unampata Jamie Oliver (dume flani) "The naked chef" mzembe anakusanya hela mbaya sana samtaim anapata mwaliko wa kumpikia mpaka queen.
Wolfgang Johannes Puck (born Wolfgang Johannes Topfschnig; July 8, 1949) is an Austrian-American celebrity chef, restaurateur, businessman and occasional actor. Wolfgang Puck restaurants, catering services, cookbooks and licensed products are run by Wolfgang Puck Companies, with three divisions. He has been titled as "The Greatest Chef In The World"
Source:Wolfgang Puck - Wikipedia, the free encyclopedia
...aisee wewe ropoka tu bana, usijali kuitwa majina...halafu hii tabia ya kujitegemea kila kitu ndiyo inayoinizidisha na kiburi cha kutotafuta msaidizi wa maisha....
labda siku nikitamani chapati, kidogoo nalegeza kamba ya nani atanifaa...Oopss
MTM fagilia sana hizo service apartments kamanda, hats off bro...tangu nigundue raha zake
sifagilii tena mambo ya vyumba.
Na huwa wakiingia jikoni wanajua kupika hawa lol..
Binafsi nipo too selective linapokuja suala la chakula na ndio maana nikapenda kupika....sioni kama ni jambo la ajabu kwa mwanaume kupika....
Na kumpika is a such a romantic idea....
I cook n i cook a lot...