Mwanaume mtaalamu jikoni

Hivi kuoa na kuolewa ni LAZIMA eeeeh?
Ni lazima ndiyo! Yaani kuuliza swali hili ni kama kuuliza " Vumbi stoo ! " hivi unafahamu biologically binadamu awe wa kike ambae yuko below 50 aged na still yet hv menstruation circle (yale mambo ya NASA) Na Mwanaume below 80 wakikaa 56 days w/out ejaculation wanapata side effects ? That effects e.g Kuchekacheka hovyo bila sababu maalumu imchekeshayo! Au kununa bila sababu. e.c.t
 
hobby za kike ni za kike tu
iwe kusuka, kuvaa hereni,

kike ni kike na kiume ni kiume tu

....usibadilishe somo haina maana mtu kama haoni tatizo la Mwanaume kuingia jikoni basi pia hataona tatizo la Ushoga. Hayo ni mambo ambayo hayana uhusiano wowote na wala hayawezi kuwa na uhusiano hata siku moja.
 
hobby za kike ni za kike tu
iwe kusuka, kuvaa hereni,

kike ni kike na kiume ni kiume tu


hahahahahah lol! na kula nayo ni hobby ya Wanaume au Wanawake!? Dah! achana na mawazo yaliyopitwa na wakati!!!! Eti njemba iogope kuingia jikoni kwa sababu ni hobby ya Wanawake!!!! lol!...
 
kuna swali nimekuuliza hujanijibu
aliyekuambia wewe unavaa suruali ni nani?

Tunakula wote anapika mwanamke
tunakuwa wazazi wote anazaa mwanamke
tunaishi wote anayejenga nyumba mwanamme

kama kuna misfit ndipo gender nyingine inachukua jukumu la mwenzie


hahahahahah lol! na kula nayo ni hobby ya Wanaume au Wanawake!? Dah! achana na mawazo yaliyopitwa na wakati!!!! Eti njemba iogope kuingia jikoni kmwa sababu ni hobby ya Wanawake!!!! lol!...
 
Mkuu, kijuujuu ninakubaliana na mawazo yako kwani huu ndio ukweli.
Cha ajabu, tuangalie kwenye malezi ya Kiafrika na ya "Wakoloni wetu".
Afrika: Watoto mara nyingi huwa wanashiriki kikamilifu katika mgawano wa kazi na inapobidi hata mvulana anaingia jikoni kuwapikia wadogo zake ikiwa wazazi wamedharurika. Lakini kijana huyu huyu, akiwa mjane kujipikia mwenyewe ni "uhitaji". Siku akioa tu akiingia jikoni atasemwa majina yote yliyokwisha tajwa.

Kwa wakoloni wetu: Mtoto ana haki, na haki zake ni pamoja na kutowahesshimu wazazi, seuze kufanyakazi za nyumba. Kuna baadhi ya wazazi (mama zao) wanalipalilia hili. Niliwahi kumsikia mama akisema "mwanawe mwanamume hatandiki hata kitanda kwani yeye si cameroun". Lakini mvulana huyu huyu akishakuoa anasaidia kikamilifu katika kazi za nyumba wala haitwi jina lolote.

Mema tuyafate mabaya tuyawache: Hapo nyekundu, hivi kuna ubaya wowote ikiwa hao akina mama waliokuja kupiga umbea (ikiwa unaliruhusu hilo nyumbani mwako) kwa nini wasiende sebuleni wakuwachie jikoni upike? Au umbea haunogi hadi iwe jikoni?
Kwa nini kazi nyengine kama vile kuvalisha nepi, kuwakogesha watoto, kuwabeba wanapolia mume anaruhusiwa? Jikoni kuna nini?
 


....Kwani weye huvai suruali? naona unajaribu kutoka nje ya mada. Mjadala huu hauhusu kuvaa suruali au kutovaa suruali. Wanawake na Wanaume wote wanavaa Suruali. Dunia ya leo hakuna kazi ambayo ni ya Mwanamke tu au Mwanaume tu. Tumeona na kusikia Wanawake ambao ni maengineers, doctors, pilots etc. Hivyo ndani ya mahusiano pia kama wahusika hawaoni tatizo Mwanaume ndani ya nyumba kuingia jikoni basi society ambayo bado iko nyuma sana kwenda na wakati haina haki yoyote ya kushangaashangaa. Hakuna kitabu chochote kile hapa duniani hata vile vitabu vitakatifu vilivyosema kwamba kuingia jikoni au kubadilisha diaper mtoto, kumsafisha na kumlisha ni kazi ambayo Mwanaume hastahili kabisa kuifanya. Fungua macho ujue kwamba tuko 2011 na siyo 1947 huo mgawanyo wa kazi unaotaka kuusema hauko kabisa.

SAYONARA

 
....usibadilishe somo haina maana mtu kama haoni tatizo la Mwanaume kuingia jikoni basi pia hataona tatizo la Ushoga. Hayo ni mambo ambayo hayana uhusiano wowote na wala hayawezi kuwa na uhusiano hata siku moja.

Binafsi nimeshangaa sana hayo mawili kuwekwa pamoja.Sioni wala sitarajii kuona uhusiano kati ya hayo mambo kwakweli.
 

Wee binti, naona unakokwenda sio kwenyewe KIAFRIKA!
 
@bak
mbona wewe huvai gauni?
Nani kakuambia usiave gauni?

Naona imekuwa ngumu sana kuukumbatia mbuyu kwenye hiko swali

Hata mwanamke kuvaa suruali ni umagharibi tu, naye kakumbwa kama walivyokumbwa wanamme na upishi

imeandikwa ' amelaaniwa mwanamke avaaye mavazi ya kiume...'
 
kwani ukipika mwanaume akipika ndio hawi tena kichwa cha familia?
 
ambaye anaingia jikoni akiwa hajaoa huitwa h.a.n.i.t.h.i, kwa nini haoi

hakuna exkuzi ya mwanamme kuingia jikoni

Maana ya hanith.i ni mtu ambaye hapigi Machine (Machine yake kwishney),sasa inamaana watu wote ambao hawajaoa hawapigi machine!!!!!Mbona we Dada unatoka nje ya Uzi sasa
 
kwani ukipika mwanaume akipika ndio hawi tena kichwa cha familia?

Kichwa cha familia atapikaje bana,ni sawa na rais wa nchi afanye kazi ya sekretari wake!
 
Sasa chakusikitisha hapo ni kipi?
No wonder hata watoto hawajui ukaribu wa baba zao kisa majirani watasema.

mi
mi naona ni ushamba na hao wanaopika hotelini na wanafamilia zao kwahiyo hotel imewalisha limbwata? wacheni mifumo dume akiugua mkeo huwezi kupika sio? ata chai utamuomba jirani akupikie kisa usiitwe -----? NI USHAMBA TUU
 
hobby za kike ni za kike tu
iwe kusuka, kuvaa hereni,

kike ni kike na kiume ni kiume tu
Hahahahahaha Kongosho bana..nimekumiss Konnie, heri ya mwaka mpya.
Judgement ushaoa wewe?! Maana ulisema kuoa/kuolewa ni LAZIMA.
BAK. kongosho siku hizi kabadili mtizamo bana. Alisumbua sana kwenye hii mada.

Heri ya mwaka mpya JFers.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…