Ni lazima ndiyo! Yaani kuuliza swali hili ni kama kuuliza " Vumbi stoo ! " hivi unafahamu biologically binadamu awe wa kike ambae yuko below 50 aged na still yet hv menstruation circle (yale mambo ya NASA) Na Mwanaume below 80 wakikaa 56 days w/out ejaculation wanapata side effects ? That effects e.g Kuchekacheka hovyo bila sababu maalumu imchekeshayo! Au kununa bila sababu. e.c.tHivi kuoa na kuolewa ni LAZIMA eeeeh?
....usibadilishe somo haina maana mtu kama haoni tatizo la Mwanaume kuingia jikoni basi pia hataona tatizo la Ushoga. Hayo ni mambo ambayo hayana uhusiano wowote na wala hayawezi kuwa na uhusiano hata siku moja.
hobby za kike ni za kike tu
iwe kusuka, kuvaa hereni,
kike ni kike na kiume ni kiume tu
aliyekuambia wewe uvae suruali ni nani?
Asumming wewe ni He
kwa nini usivae gauni
hahahahahah lol! na kula nayo ni hobby ya Wanaume au Wanawake!? Dah! achana na mawazo yaliyopitwa na wakati!!!! Eti njemba iogope kuingia jikoni kmwa sababu ni hobby ya Wanawake!!!! lol!...
Mkuu, kijuujuu ninakubaliana na mawazo yako kwani huu ndio ukweli.Unajua mstaafu, mimi katika huu mjadala nadhani pande zote mbili wako right as far as tradition na mazingira is concerned plus mtu binafsi mwenyewe anavyolichukulia hili suala. Tukubali au tukatae jamii inayotuzunguka ina athari kubwa katika lifestyle yetu ingawa this doesn't mean kwamba msimamo wa jamii uko right (hapa ndipo inapoingia mantiki yangu ya clash of civilisation)
Maisha ya nyumbani Afrika: Ni kweli ni ngumu kuingia jikoni kwa mwanamme kwa maisha ya nyumbani yalivyo hii ni kutokana na high social interaction iliopo afrika tafauti na kwa wenzetu, Mara nyingi kiafrika haichukuliwi kwamba jiko ni sehemu ya kupikia tu lakini pia mara nyingi inachukuliwa ni sehemu ya kijiwe cha kupigia soga kwa kinamama. Majirani wa kike, ndugu wa kike n.k wote wakifika nyumbani wanaweka kambi jikoni. Mazingira haya yanaweka ugumu kwa mwanaume kukaa jikoni na pia yanampatia picha mbaya kwa wageni wa kike ambao wanalichukulia eneo hilo ni kama eneo la kupeana michapo ya kimbea ya mitaani.
Maisha ya kwa wakoloni wetu: Hawa jamaa life system yao ni very poor kwenye social interaction, kuonana yao labda pub weekend na kwenye special ocassion kama krismass e.t.c. Sasa unakuta they are free to govern their house the way they want it na hakuna interference na watu wa nje, plus ni njia moja kwao kuonesha how much they care kwa wenza wao not to forget hawa jamaa wako serious kwenye uwajibikaji wa kusimamia maisha yao ya kila siku sasa unakuta mama na baba wote wanapindwa vibaya tena pengine swing shift, sasa hapo mstaafu ukisema usubiri jamaa arudi kipindo ndio upikiwe hehehe labda usubirie katiba mpya.
Sasa hapa mimi naendelea kusema tena tu mtabishana mpaka alfajiri lakini madamu ni swala la imani na utamaduni basi nakuhakikishieni hamtofikia muafaka
kuna swali nimekuuliza hujanijibu
aliyekuambia wewe unavaa suruali ni nani?
Tunakula wote anapika mwanamke
tunakuwa wazazi wote anazaa mwanamke
tunaishi wote anayejenga nyumba mwanamme
kama kuna misfit ndipo gender nyingine inachukua jukumu la mwenzie
....usibadilishe somo haina maana mtu kama haoni tatizo la Mwanaume kuingia jikoni basi pia hataona tatizo la Ushoga. Hayo ni mambo ambayo hayana uhusiano wowote na wala hayawezi kuwa na uhusiano hata siku moja.
I got a question for you guys,
Katika mazingira yetu ya kibongo bongo bado hakikubaliki sana kwa mwanaume kuingia jikoni na kupika, haswa na wanaume wengine. Akifanya hivyo basi ataitwa majina kibao na yatasemwa mengi juu yake mf.mume bwége,kakaliwa, kalishwa limbwata, sio mwanaume kamili n.k.
Sasa swali langu ni kama hayo hapo juu yanamhusu mwanaume ambae anaishi na mwanamke , vipi yule asieishi na mwanamke(mpenzi/mke)?Pengine anaweza akawa anaishi na ndugu, dada wa kazi au hata mwenyewe.Huyu tumwite nani? Maana kama kukaliwa kakaliwa na nani?Limbwata kapewa na nani?Ubwége kavishwa na nani?Uanaume kavuliwa na nani?
Nadhani ni muda sasa tuanze kukubali wanayofanya wengine na kuwaacha wajihukumu wenyewe.Kama wewe hutaki/huwezi hamna haja ya kumwita anaefanya majina ya ajabu.Baki tu ukishangaa!!
kwani ukipika mwanaume akipika ndio hawi tena kichwa cha familia?@xpaster
on every rule/principle kuna exceptions
sometimes we call them limitations
mwanamme kupewa lidandansi na kubaki home ni sawa
na hutokea
lakini ndani ya time t
anatakiwa awe amepata suluhisho
apate kitu kingine cha kufanya
hivi ukiwa ceo, na kampuni ikakumbwa misukosuko utaiacha ife eti sababu yalitokea matatizo?
Ni wajibu wako kuiokoa na kuhakikisha inasavaivu
same aplies kwa baba wa familia
lazima awe kichwa cha familia
hasa kwenye kuresolve matatizo
ambaye anaingia jikoni akiwa hajaoa huitwa h.a.n.i.t.h.i, kwa nini haoi
hakuna exkuzi ya mwanamme kuingia jikoni
kwani ukipika mwanaume akipika ndio hawi tena kichwa cha familia?
kwani ukipika mwanaume akipika ndio hawi tena kichwa cha familia?
Sasa chakusikitisha hapo ni kipi?
No wonder hata watoto hawajui ukaribu wa baba zao kisa majirani watasema.
Hahahahahaha Kongosho bana..nimekumiss Konnie, heri ya mwaka mpya.hobby za kike ni za kike tu
iwe kusuka, kuvaa hereni,
kike ni kike na kiume ni kiume tu