Mwanaume Miaka 30 bado unakaa kwenu!

Mwanaume Miaka 30 bado unakaa kwenu!

Tatizo hii mada watu wanachanga vitu viwili
1)Kuishi nyumbani
2)utegemezi/kujitegemea

Kuna wanaoishi nyumbani mpaka miaka 40 na wengine mpaka wanazeeke ila wanajitegemea na zaidi kutegemewa na wengine.

Kuna wasioishi nyumbani na tegemezi kwa wazazi wake.

Malanyingi hivi vitoto vinavyomaliza form 4 na chuoni huko havina majukumu ya kuhudumia wazazi vinakimbilia kupanga na kuanzisha mada za kitoto kama hizi.
 
Tatizo hii mada watu wanachanga vitu viwili
1)Kuishi nyumbani
2)utegemezi/kujitegemea

Kuna wanaoishi nyumbani mpaka miaka 40 na wengine mpaka wanazeeke ila wanajitegemea na zaidi kutegemewa na wengine.

Kuna wasioishi nyumbani na tegemezi kwa wazazi wake.

Malanyingi hivi vitoto vinavyomaliza form 4 na chuoni huko havina majukumu ya kuhudumia wazazi vinakimbilia kupanga na kuanzisha mada za kitoto kama hizi.
Inaonekana unakaa kwenu wewe[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Mwaka huu umekuwa mgumu sana kwangu mambo karibia yote hayajakaa vzr. Uzuri nilikuwa nimeandaa shamba langu la miti la kutosha Lina miaka nane kwahyo bado miaka miwili nivune na nikivuna sikosi ata milioni 15 Ila nawaza mpaka miaka miwili ije kuisha nitakuwa nafanya nini? nimejenga nyumba thamani Kama milioni 50 sijaoa nawaza sibora niuze hii nyumba nifanye michakato ya maisha kuliko kukaa kusubiri miaka miwili ya kuvuna miti wakati umri wangu ndo Kwanza miaka 30?
mit ni risk unaw3za vuna 3m endapo ikiungua
 
katika vitu ambavyo sikubaliani navyo ni huu msemo!! Jamani maisha yanapiga nyiee! Maisha yanachapa kama fimbo.

Ukiona by that age uko kwako unajimudu mambo ya maana mshukuru Mungu.

Kuna watu wame hustle sana lakini wapiiii, wamepambana sana lakini wapi.. washasalitiwa na marafiki, wapenzi, mitaa so the only option nikukaa home kuchora ramani za kutoboa kimaisha.

Siamini wamekaa home bila mipango kwa miaka 30.

Na wengi wanaopenda kuwa bully watu wa hivyo ujue hawajawahi kuwa katika hali hiyo.. ndugu yangu usiombe yakukute.. maisha sio fair kabisa..

Shukuru Mungu, shukuru kwa kila jambo acha kukebehi wenye maisha mabovu.

By the way nyumbani is the only safe place yakutulia kama mambo yatakuendea kombo.

Maana marafiki watakuchoka ukiish kwao na huna msaada, mwanamke atakukimbia au kukufukuza kama mambo sio mambo.

Lakini ukiwa home ndugu zako wa nyumbani hawatakuchoka na watakuvumilia wakiona focus yako.

Tupambane sana mpaka wale ma age mate zako wakuite MKUU, KIONGOZII, na majina mengine.
Mimi kukaa kwetu, wewe inakuhusu nini ?
 
Inategemea na mila na desturi
Kwa wahindi na waarabu ni kawaida sana
Hata Mo bado anaishi kwa wazazi wake
 
Hapana bwana acheni kutetea ubovu! miaka thelathini hapana. nitakuelewa kama labda ulikuwa na mishe flani ikabuma so umerudi home ukitegemea within short period uamshe. but ka hujawahi ondoka kabisa utakuwa bado hujazijua changamoto za maisha na mipango yako inaeza kuwa legelege
 
Kuna wimbo mmoja wa bongo fleva Kuna mstari Ulikuwa unasema "una miaka 40 bado unaishi nyumbani" kwa kipindi hicho nikiwa na miaka 12 nilikuwa naona kama haiwezekan kuwa na umri huo afu bado uko nyumban,lakin kilichotokea nmeanza kuamin inaweza fika 40 npo nyumban maana sasa nna 30
 
Aisee bora kukaa kwa wazazi wako kuliko kukaa kwa mwanamke.
 
Mwaka huu umekuwa mgumu sana kwangu mambo karibia yote hayajakaa vzr. Uzuri nilikuwa nimeandaa shamba langu la miti la kutosha Lina miaka nane kwahyo bado miaka miwili nivune na nikivuna sikosi ata milioni 15 Ila nawaza mpaka miaka miwili ije kuisha nitakuwa nafanya nini? nimejenga nyumba thamani Kama milioni 50 sijaoa nawaza sibora niuze hii nyumba nifanye michakato ya maisha kuliko kukaa kusubiri miaka miwili ya kuvuna miti wakati umri wangu ndo Kwanza miaka 30?
Huku na huku shamba linawaka moto
 
Inaonekana unakaa kwenu wewe[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Kama Mazingira yanuruhusu hakuna shida,kuna watu mpaka wanazeeka wanaishi Ukweni na Maisha yanakwenda!!
 
Hakuna anaependa kukaa home akiwa na miaka 30 lkn ni maisha tuuu ndo yanafanya hvyoo unakuta channel zote hazisomi mitaji hakuna nchi inasera mbovu katka ajira baas ni stress tuu
 
Back
Top Bottom