thebogo055
Member
- Jun 22, 2020
- 19
- 176
Katika vitu ambavyo sikubaliani navyo ni huu msemo!! Jamani maisha yanapiga nyiee! Maisha yanachapa kama fimbo.
Ukiona by that age uko kwako unajimudu mambo ya maana mshukuru Mungu.
Kuna watu wame hustle sana lakini wapiii, wamepambana sana lakini wapi.. washasalitiwa na marafiki, wapenzi, mitaa so the only option ni kukaa home kuchora ramani za kutoboa kimaisha.
Siamini wamekaa home bila mipango kwa miaka 30.
Na wengi wanaopenda kuwa bully watu wa hivyo ujue hawajawahi kuwa katika hali hiyo.. ndugu yangu usiombe yakukute.. maisha sio fair kabisa..
Shukuru Mungu, shukuru kwa kila jambo acha kukebehi wenye maisha mabovu.
By the way nyumbani is the only safe place ya kutulia kama mambo yatakuendea kombo.
Maana marafiki watakuchoka ukiishi kwao na huna msaada, mwanamke atakukimbia au kukufukuza kama mambo sio mambo.
Lakini ukiwa home ndugu zako wa nyumbani hawatakuchoka na watakuvumilia wakiona focus yako.
Tupambane sana mpaka wale ma age mate zako wakuite MKUU, KIONGOZII, na majina mengine.
Ukiona by that age uko kwako unajimudu mambo ya maana mshukuru Mungu.
Kuna watu wame hustle sana lakini wapiii, wamepambana sana lakini wapi.. washasalitiwa na marafiki, wapenzi, mitaa so the only option ni kukaa home kuchora ramani za kutoboa kimaisha.
Siamini wamekaa home bila mipango kwa miaka 30.
Na wengi wanaopenda kuwa bully watu wa hivyo ujue hawajawahi kuwa katika hali hiyo.. ndugu yangu usiombe yakukute.. maisha sio fair kabisa..
Shukuru Mungu, shukuru kwa kila jambo acha kukebehi wenye maisha mabovu.
By the way nyumbani is the only safe place ya kutulia kama mambo yatakuendea kombo.
Maana marafiki watakuchoka ukiishi kwao na huna msaada, mwanamke atakukimbia au kukufukuza kama mambo sio mambo.
Lakini ukiwa home ndugu zako wa nyumbani hawatakuchoka na watakuvumilia wakiona focus yako.
Tupambane sana mpaka wale ma age mate zako wakuite MKUU, KIONGOZII, na majina mengine.