toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,626
Kijana wa kiume una miaka 30 bado unaishi kwenu sikatai lakini huna mbele wa nyuma umekaa tu huna hata godoro na kitanda jua unaenda kufa masikini tu hii ni aibu
Kuna vijana wanakaa tu nyumbani wanakula bure na kulala bure hadi vocha anapewa na bi mkubwa wake acheni hiyo mnatia aibu jitegemeeni sana au hata kama upo kwenu ni sawa tu lakini jitume uwe unachangia income nyumbani sio unakaa tu unakula na kulala ni aibu
Mtu ana miaka 30 kajiridhikia tu kwao hana hili wala lile wala hana mpango wa kuwaza atatoka je kimaisha huko ndo kufa masikini sasa
Na hizi tabia zipo sana hapa dar sana wanaume wa dar ndo zao hizi sijui kawaloga nani
Una miaka kuanzia 22 upo kwenu jitafakari sana aisee jitafakari sana unamiliki simu ya iphone na nyingine za zaidi ya laki 8 hadi milioni 2 wakati hata kitanda huna my dear wewe ni mzigo wa taifa jitafakari sana unaelekea pabaya
Unakuta kijana wa miaka 30 hapa dar anakaa kwao anakula bure na kulala bure tu anamiliki iphone au samsung ya milioni moja hadi milioni 2 lakini hana hata godoro la kununuwa kwa jasho lake hivi hamuwazagi maisha nyie watu?yaani simu ya milioni 2 hata kitanda chako mwenyewe huna?,duuh
Wengine ni vijana wakubwa wao kazi ni kukesha tu gym kutengeneza six pack na kula protein powder wanapiga machuma gym tu hakuna shughuli yoyote ya kipato wanayo kazi kutesa wazazi wao tu wagharamikie na kuilishia mibaba mizima ya gym mario wa dar wazazi wengine mna kazi kweli kweli, hawa wa gym ndo wale kutwa kucha kupost masix pack mtandaoni kudangia majimama na kuzunguka na vibegi vyao vya Gucci's sijui unajikuta kama nani wewe wao kazi yao ni kuwaomba wanawake pesa mtandaoni tu hivi hujiulizi kwamba utatoboa lini?hayo maisha ya umario na kula kwenu bure huchangii hata kitunguu ni hadi lini yaani umejiridhikia tu.
Yaani nyie brothers ambapo tayari mna 30 na zaidi bado mmekomaa na kwenu na hakuna kitu mmewahi fanya maishani andika umeumia na nikwambie ukweli mimi huwa sio mnafiki, hautotoboa kamwe maana kwa age hiyo ya 30 na zaidi upo tu kwenu mtoto wa kiume huna hata godoro au chochote ulonunua kwa hela yako ya jasho jiandae tu kufa masikini na kuishia pabaya.
Acheni kutesa na kuwabebesha wazazi mizigo ya kuwalea ilhali mshakua wakubwa
Acheni kutesa na kuwabebesha wazazi mizigo ya kuwalea ilhali mshakua wakubwa
Acheni kutesa na kuwabebesha wazazi mizigo ya kuwalea ilhali mshakua wakubwa
Acheni kutesa na kuwabebesha wazazi mizigo ya kuwalea ilhali mshakua wakubwa*
MTANISAMEHE LAZIMA TUAMBIANE UKWELI
Kuna vijana wanakaa tu nyumbani wanakula bure na kulala bure hadi vocha anapewa na bi mkubwa wake acheni hiyo mnatia aibu jitegemeeni sana au hata kama upo kwenu ni sawa tu lakini jitume uwe unachangia income nyumbani sio unakaa tu unakula na kulala ni aibu
Mtu ana miaka 30 kajiridhikia tu kwao hana hili wala lile wala hana mpango wa kuwaza atatoka je kimaisha huko ndo kufa masikini sasa
Na hizi tabia zipo sana hapa dar sana wanaume wa dar ndo zao hizi sijui kawaloga nani
Una miaka kuanzia 22 upo kwenu jitafakari sana aisee jitafakari sana unamiliki simu ya iphone na nyingine za zaidi ya laki 8 hadi milioni 2 wakati hata kitanda huna my dear wewe ni mzigo wa taifa jitafakari sana unaelekea pabaya
Unakuta kijana wa miaka 30 hapa dar anakaa kwao anakula bure na kulala bure tu anamiliki iphone au samsung ya milioni moja hadi milioni 2 lakini hana hata godoro la kununuwa kwa jasho lake hivi hamuwazagi maisha nyie watu?yaani simu ya milioni 2 hata kitanda chako mwenyewe huna?,duuh
Wengine ni vijana wakubwa wao kazi ni kukesha tu gym kutengeneza six pack na kula protein powder wanapiga machuma gym tu hakuna shughuli yoyote ya kipato wanayo kazi kutesa wazazi wao tu wagharamikie na kuilishia mibaba mizima ya gym mario wa dar wazazi wengine mna kazi kweli kweli, hawa wa gym ndo wale kutwa kucha kupost masix pack mtandaoni kudangia majimama na kuzunguka na vibegi vyao vya Gucci's sijui unajikuta kama nani wewe wao kazi yao ni kuwaomba wanawake pesa mtandaoni tu hivi hujiulizi kwamba utatoboa lini?hayo maisha ya umario na kula kwenu bure huchangii hata kitunguu ni hadi lini yaani umejiridhikia tu.
Yaani nyie brothers ambapo tayari mna 30 na zaidi bado mmekomaa na kwenu na hakuna kitu mmewahi fanya maishani andika umeumia na nikwambie ukweli mimi huwa sio mnafiki, hautotoboa kamwe maana kwa age hiyo ya 30 na zaidi upo tu kwenu mtoto wa kiume huna hata godoro au chochote ulonunua kwa hela yako ya jasho jiandae tu kufa masikini na kuishia pabaya.
Acheni kutesa na kuwabebesha wazazi mizigo ya kuwalea ilhali mshakua wakubwa
Acheni kutesa na kuwabebesha wazazi mizigo ya kuwalea ilhali mshakua wakubwa
Acheni kutesa na kuwabebesha wazazi mizigo ya kuwalea ilhali mshakua wakubwa
Acheni kutesa na kuwabebesha wazazi mizigo ya kuwalea ilhali mshakua wakubwa*
MTANISAMEHE LAZIMA TUAMBIANE UKWELI