Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
I that case kutoa namba ya simu au kuuza sehemu apendapo kwenda sio ukuwadi......
...mnh, RR kwani kutongozwa unakutafsiri vipi mydear?
I that case kutoa namba ya simu au kuuza sehemu apendapo kwenda sio ukuwadi......
Hivi arranging a blind date for a friend nayo ni ukuwadi? Coz I thought ukuwadi is for benefits only...
Mbu...utakimbiza watu...lol....hebu swear kama hujawahi kuwadiwa (kwa hiari na kwa matakwa yako)
Kama mjumbe hauwawi, hebu jaribu kumkuwadia mke wa Tripo H au Shawn Michael au The Stongret Man.
Mbona mjumbe anachagua pa kutumwa?
Yeah lazima facilitator apewe mchemsho, biya bure na vocha juu kufanikisha zoezi.
Mbu...utakimbiza watu...lol
Kuwadi hawezi kuwa mshenga...Hahahaha!!!!!
Kuwadi = Mshenga....Source: Mbu
Unawatafuta sisiem ubaya MBU ...lol!....hahaha....umeona ee? Mswahili mpe 'pilau' auze utu wake...
Kuwadi hawezi kuwa mshenga...
Nishawishi kwa mamlaka husika labda lakini kwa kiswahili changu hiki lita na nusu naona sio sahihi
Hahahahaha!!! Una balaa wewe nikitolewa nduki...kwanza una shilingi ngapi ili twende sawa?TF nenda arusha maeneo ya unga ltd,ukifika nipigie simu kuna mdada mmoja hapo nataka unikuwadie.
Wala usihofu mmewe hayupo yuko majuu anabeba mabox.
....lol, huu unaouongelea hapa ni mdahalo mpya, tena ukiweza ufungulie thread...nitakufundisha JOHARI window linavyo play part kwenye mapenzi....
Ukiskia 'love is blind' waweza ji limit kwa matakwa yako, lakini tulio nje ya boksi twaona huko unapoekea 'shimoni!' nasi tutamtuma "mshenga akutahadharishe...
Hahahahaha!!! Una balaa wewe nikitolewa nduki...kwanza una shilingi ngapi ili twende sawa?
Nilianza kukushuku nikaona mmh mbona unauremba remba ukuwadi kuna nini nyuma ya pazia....lol!....TF ananitafutia kesi huyo....mie huo ushenga nimeuweka kwenye " "....lol...
Larry King live, modern msutano.
Hahahaa kweli kuwadi wa TF kanichefua sana...aisee basi tu wallahSidhani kama ni mjadala mpya, ila ntautafutia siku nianzishe sred.
Ngoja tumalizane na kuwadi wa TF kwanza maana kamuudhi bht sana.