Mwanaume Kuvaa Kanga...

Mwanaume Kuvaa Kanga...

sijaelewa unataka avae hiyo kanga ugundue nini, uone kitu kinavyojimwaya mwaya ama unataka umtazame makalio yake, sis tunapenda tuwaangalie hizo sehemu zenu za nyuma zilivyobarikiwa, sasa kwa mwanaume cjui unataka ugundue nini we mwanamke, afu mna watoto, avae khanga mbele ya wanae, mimi ningekunasa kofi
 
WEW KWEL NI MUSLIM?
Umesoma TAALIM LI BANATI? Jamaa ana bonge la hasara KAMA UMESOMA HIZO SHERIA
 
sijaelewa unataka avae niyo kanga ugundue nini, uone kitu kinavyojimwaya mwaya ama unataka umtazame makalio yake, sis tunapenda tuwaangalie hizo sehemu zenu za nyuma zilivyobarikiwa, sasa kwa mwanaume cjui unataka ugundue nini we mwanamke, afu mna watoto, avae khanga mbele ya wanae, mimi ningekunasa kofi
Mkuu,mie nilivyo mpole wala hata kidole huwezi kuninyooshea nini kunipiga makofi,kanga sijasema atoke nayo njee yuko ndani kwake na mkewe why not? sijui wanaume wengine wanainaje ila sioni mbaya ila nyie baadhi ya wanaume mna fikiria vibaya...
 
Mkuu,mie nilivyo mpole wala hata kidole huwezi kuninyooshea nini kunipiga makofi,kanga sijasema atoke nayo njee yuko ndani kwake na mkewe why not? sijui wanaume wengine wanainaje ila sioni mbaya ila nyie baadhi ya wanaume mna fikiria vibaya...

tuambie basi unataka ugundue nini mmeo kumvesha khanga, we utakuwa una kamchezo unapenda afu mmeo hajaelewa somo c bure...mwenyeji wa pwani nini
 
WEW KWEL NI MUSLIM?
Umesoma TAALIM LI BANATI? Jamaa ana bonge la hasara KAMA UMESOMA HIZO SHERIA
Aymatu,Kipimo gani umetumia kuni judge imani yangu? ebu soma vizuri uelewe halafu jibu usijibu kwakua unataka kujibu, kwani kusema napenda mumewangu avae kanga baada ya kuvaa kikoi shida iko wapi? rudia tena na tena ili uielewe...
 
Mkuu kwa mume wangu mie hua hana jokes kama kitu hapendi,ni 17yrs sasa ila ndio kama janaaaaa hata sijui anajionaje lakini hodari wa kuivua kama umeivaa...lol...........
No jokes around by the way hakuna kigumu Kwa mwanaume kama siku yake ya kwenda jando vingine vyote anaweza Kwa ushawishi Mkubwa wa mwanamke still have a faith you can do,
 
Hakuna maajabu mkuu chini ya jua,ila itakua ajabu kama kwenu hayapo na huenda na mie nikiona kitu kwenu naweza kushanga pia..
Unamletea mmeo dalili za kishoga mkuu,kwani huna vazi zingine?? Waislam bwana
 
Aymatu,Kipimo gani umetumia kuni judge imani yangu? ebu soma vizuri uelewe halafu jibu usijibu kwakua unataka kujibu, kwani kusema napenda mumewangu avae kanga baada ya kuvaa kikoi shida iko wapi? rudia tena na tena ili uielewe...
Huenda umenielewa vibaya shem!
Uislam una mafunzo juu ya kila kitu ndo maana nkakuuliza je umezisoma hizo sheria?
Nkasema kama umezisoma ndo upo ktk hasara.
Kama hukusoma hizo sheria haupo ktk makosa.
Nadhan utaniona nakukosea sana ila sikukosea bali natetea sheria shem angu kama si dadangu.
 
Kwan wew unafaidika nn mmeo akivaa kanga?mm sion faida ya kuvaa kanga kabsa na siwez ipuuz huo wa kushindaa na kanga duuu wanawake bna tafuta bc mchepuko uwe unauvalisha kanga kama ukiwa na.mvaa kabga huwa unajiskia raha
 
Mkuu ebu tulia uisome pole pole nadhani umeielewa vibaya,kwani kikoi si sawa na kanga tuu?
so unataka nikusapoti ama!!!!

nimekwambia mwanaume kuvaa kanga iwe chumbani ama wapi ni ajabu lingine la dunia na linahitaji watalii.

Na kusema kwamba kikoi ni sawa na khanga huo ni mtazamo wako tu!!!
 
so unataka nikusapoti ama!!!!

nimekwambia mwanaume kuvaa kanga iwe chumbani ama wapi ni ajabu lingine la dunia na linahitaji watalii.

Na kusema kwamba kikoi ni sawa na khanga huo ni mtazamo wako tu!!!
Sawa..
 
Kwan wew unafaidika nn mmeo akivaa kanga?mm sion faida ya kuvaa kanga kabsa na siwez ipuuz huo wa kushindaa na kanga duuu wanawake bna tafuta bc mchepuko uwe unauvalisha kanga kama ukiwa na.mvaa kabga huwa unajiskia raha
Haya Ahsante pia si haba umetoa mchango na wewe..
 
Back
Top Bottom