NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,397
- Thread starter
- #201
Kwani ulitaka nimwache eeh?Sasa kelele za nini kama kmwacha huwez ndo hivo tena mwenzio hapendi kuvaa kanga
Kwani ulitaka nimwache eeh?Sasa kelele za nini kama kmwacha huwez ndo hivo tena mwenzio hapendi kuvaa kanga
Hana tabia hiyo na hajawahi hata siku moja kuninyooshea mkono daima nikimkosea nakua mwepesi sana wakuomba msamaha na maisha yetu sio yakupigana mkuu..Khanga!???yaaniii Kivipi yani!???
unakaribia kuchezea kichapo kizito mno aisee!
Endelea kumlazimisha kuvaa hayo madera yenu afu utakuja kutoa ushuhuda hapa!!Hana tabia hiyo na hajawahi hata siku moja kuninyooshea mkono daima nikimkosea nakua mwepesi sana wakuomba msamaha na maisha yetu sio yakupigana mkuu..
Oooh now i know..Yeye mwembamba,na haijalishi si yuko ndani jamani,huyu mbishi tuu akiamua lake ndio hilo hilo..
Mkuu kwa mume wangu mie hua hana jokes kama kitu hapendi,ni 17yrs sasa ila ndio kama janaaaaa hata sijui anajionaje lakini hodari wa kuivua kama umeivaa...lol...........
Ivi umesoma vizuri kweli? wapi nimesema madera? haya nimekuelewa..Endelea kumlazimisha kuvaa hayo madera yenu afu utakuja kutoa ushuhuda hapa!!
Yaani sijui huwa mna matatizo gani nyie walah!
Shosti nikwambie kitu eeh,mie napenda sanaaa kumridhia mume wangu kwa vitu vingi na hua hata vyengine its wrong ila kwake hua nafumba macho,sasa nilichoomba kwake sio kitu ambacho hakiwezekani,yeye most of the time mfano nimesha vaa dnakwenda harusini iwe na mamake au na my friends anakwambia tuu mke wangu please usiende baki na mimi,ivi unajua inavyokera? ila mimi Wallah sikasiriki mbele yake,ntafurahi kama kawaida yetu sasa yeye kumwambia hicho ndio hata kusikia hataki ila pia kwa mchango niloupata hapa nimepata ufumbuzi...
Fanya hivi, leo kabla hamjalala fanya kuloweka nguo zako zote na zake alaf bakiza kanga moja na dera moja. Kesho mkiamka wewe toka nje alaf rudi ndani mwambie tairi mbili za gari zimetolewa......( kama mna milik gari) Atatoka na mbio nyingi sana, utaona mwenyewe atakacho chukua kati ya dera au kanga![]()
![]()
![]()

Mkuu ivi nimeomba kitu kikubwa? na pia nimeileta hapa ili nijue vipi kuitoa kichwani kwangu ni 17yrs sasa nimeona hapa ndio tunaweza kubadilishana muonekano labda mie naangalia kwa upande wangu..Watu wa Pwani mna shida sio bure
By the way mapenzi ni ubunifu na hisia pamoja na upendeleo wa vitu flanMkuu ivi nimeomba kitu kikubwa? na pia nimeileta hapa ili nijue vipi kuitoa kichwani kwangu ni 17yrs sasa nimeona hapa ndio tunaweza kubadilishana muonekano labda mie naangalia kwa upande wangu..
Wala usiogope,kawaida tuu..Kumbe ndoa ngumu Hivyo!! Nasubiri kwanza!!
Mkuu wewe umekubali kitenge huyu hataki hata kitenge..Me mwenyewe siwezi labda kitenge
lolyani anakufanyia kila kitu yatizo amekataa kuvaa kanga tu
Naposema hawa wanawake bado hawajui wanachohitaji Nikuishi nao kwa akili na umakini wa hali ya juu