Mwanaume Kuvaa Kanga...

Mwanaume Kuvaa Kanga...

Tatizo la akina mama ukitimiza ombi lake moja linafuatia jingine, naona ipo siku jamaa ataombwa avae bikini au vile vikambakamba ili mamsap afurahi
kwani mkuu kumfurahisha mkeo mara moja moja shida ipo wapi?
 
Sio shida kabisa na ndivyo inavyotakiwa, ishu ni kwamba unamfurahisha katika mambo gani!
lakini sijaomba pesa wala roho yake anipe nimeomba kitu kiduchu sanaaaaaaaaa,lakini haya hamna neno..
 
Ww bidada unawashwa na nini aiseee!!!!! Yaani mwanaume avae kanga moko
Duuuuu!!! Hawa wanawake wa pwani wanaweza hata kukuogesha uwanjani mbele za watu etiii mahaba
Potelea mbali hakuna huo unyumbu huku kiumeni
 
Ww bidada unawashwa na nini aiseee!!!!! Yaani mwanaume avae kanga moko
Duuuuu!!! Hawa wanawake wa pwani wanaweza hata kukuogesha uwanjani mbele za watu etiii mahaba
Potelea mbali hakuna huo unyumbu huku kiumeni
Kwani mtu akisema Kanga hua ametukana eeh?
 
Hajatukana lakini kwann mwanaume avae khanga alafu nyie wadada wa pwani
Mnafika time watu wanatembea wananukia viungo vya pilau
 
Hata mimi siwezi kufanya huo upuuzi wa kuvaa kanga!! Kwani track suit na mapajama hayapo madukani au
 
Hahaha nimeipenda hii..


Heri yako unatafuta namna ya kumfanya avae kuliko kumtafuta mwingine anaevaa
 
Back
Top Bottom