Baada ya shanga atataka avae kikukuAkianza kukuridhisha kwa kuvaa khanga baadae utajikuta unatamani avae na shanga,mwishoe...!

Wallah na enjoy sanaaaaaaaaa nikiona ila jimwanamme bishiiiiiiiiiii,sijui ndio ujanaaa..Hahaaaaa marehemu baba Angu alikuwa anapenda Sana kuvaa khanga au msuli siku za weekend akishinda Nyumbani umefanya nimkumbuke
Baada ya shanga atataka avae kikuku![]()
![]()



...Wala usikereke mkuu kila mtu ana kitu chake anacho kipenda sasa huenda na wewe una kitu sikipendi ila ntaheshimu na kama sina chakuongea hata kuka kimnya pia nikuchangia...Nikajua walau una hoja ya msingi sasa we kanga unanufaika nini na wewe
Mkuuu nimechekaaaaaaaaaaaa,ivi kweli ulimwengu huu kweli kuna limbwataaaaaaaaaaaa?Hawa wake wengine mungu niepushe nao maana waaanzaga hiv hivi pale wanapokupa libwata kuona kama linafanya kazi
Mwisho wanakuvalisha dera
Sina maaana mbaya mkuu ivoo......
Mdada sijui hata anataka kumpeleka wapi kamanda!
Hayo wanaweza wanaume wa pwaniii kushinda na vitenge na khanga makabila mengine anaweza kukutia ngumi akizani unamfundisha ushoga pwani rahaaaaa banaWallah na enjoy sanaaaaaaaaa nikiona ila jimwanamme bishiiiiiiiiiii,sijui ndio ujanaaa..
Subiri likukute ndo utajua mkuuMkuuu nimechekaaaaaaaaaaaa,ivi kweli ulimwengu huu kweli kuna limbwataaaaaaaaaaaa?
Mkuu sio kwa ubaya ni kwa Mapenzi na hua napenda kumuona amevaa kanga sio avae kivuani anavaa kama vile Kikoi..Ipo siku utamwambia avae PICHU yako.
Huu ujinga sasa, yaani unamwambia mumeo avae kanga! Ili iweje?
Mkuu wala usitoa povu,sikua na maana mbaya baada ya kuva kikoi avae kanga kwani si sawa na kikoi tuu au?Wanawake mnapendaga stress ya vitu vya kijinga,,,kwahio mumeo akishavaa kanga ndo utapata faida gani au basi tu.
Mwisho wa siku utatamani avae na wigi aende nalo ofisini ili akuridhishe,,, kweli mungu hakukosea aliposema "Ishini nao kwa akili" mwanamke kama wewe ndio wale ukiwaendekeza mwisho anakupanda kichwani kabisa.