Mwanaume Kuvaa Kanga...

Mwanaume Kuvaa Kanga...

Ni kweli kwa ndani inaweza isiwe shida!
Ila si Kuna tofauti ya kanga Na kitenge?
Kama ataridhika hebu mpe kitenge bhana......
nadhani kitenge kizito kidogo! au nimekosea?
Mkuu Wallah hata kitenge hatakiiii,yani mbona ningefurahi anagekubali kitenge yani chochote nnacho vaa mie mfano hata viatu vya chooni havai,Taulo sawa Perfume pia ana chagua sijui anaonaje kitu cha kike...
 
Pole. unajua kumbadilisha pia inahitaji muda sana maana hakuwa na tabia hio au umnunulie vikoi vyepesi mithili ya khanga!.
Hua anavyaa vikoi vyeupe tena akivaa kanzu akirudi tuu home anaenda kuvua anava suruali kipande na ile flana ya ndani kamalizaaa,na vile anakwenda GYM sijui anajionaje.
 
Anachohofia baadae utakujakumwambia avae na Pichu zk cku za week end so anakataa mapema
hahahaha yani mkuu unadhani naweza kufanya hivyo? huyu mbishi tuu na akisema kitu hataki huna lakumwambia..
 
Wala usikereke mkuu kila mtu ana kitu chake anacho kipenda sasa huenda na wewe una kitu sikipendi ila ntaheshimu na kama sina chakuongea hata kuka kimnya pia nikuchangia...
Natumaini hili ndo jibu unalotakiwa kuwa nalo kutoka kwa mumeo,yeye kuna vitu anapenda ila kuvaa khanga hapendi...

Nadhan nimekujibu...ukiendelea kumlazimisha mtaingia kwenye malumbano kisa vitu vya kijinga
 
Natumaini hili ndo jibu unalotakiwa kuwa nalo kutoka kwa mumeo,yeye kuna vitu anapenda ila kuvaa khanga hapendi...

Nadhan nimekujibu...ukiendelea kumlazimisha mtaingia kwenye malumbano kisa vitu vya kijinga
Ahsante mkuu nimekuelewa..
 
Sasa huoni hapo umetoa Option sasa huyu bwana hata kitenge hatakii.
Unajua Ivi Vitu Ni Vya Tamadum

Taulo Si Utamadum Mwa Mwafrica

Kanga Au Vitenge Iv Ni Utamadum Wa Kiafrika

All In All Inategemea Na Malezi Ya Mtu

Kiviere Wa Usangi
 
kweli mkuu nakuelewa,ila sometimes nakua mbishi mie lol.......
Mimi tangia udogoni ilikuwa kawaida sababu mama na baba walinizoesha hivyo sasa kwangu imekuwa kama tabia na Imani ukiwa unamzoesha hasahasa muda wa kwenda kuoga jaribu na trick hiyo
 
Shosti havai akienda dukani,ikiwa kikoi unakijua nadhani utakua umenielewa naongelea nini...
kama ni chumbani tu sawa ila kwetu hata akikutwa sebuleni mtaani hata akipita amevaa tu suruali hapakaliki
Nahisi haya mambo yako pwani zaidi mpendwa sisi wa kule uchagani watakucheka hadi uone aibu,
naelewa ni desturi ya sehemu fulani dear wala usiwaze
 
Mimi tangia udogoni ilikuwa kawaida sababu mama na baba walinizoesha hivyo sasa kwangu imekuwa kama tabia na Imani ukiwa unamzoesha hasahasa muda wa kwenda kuoga jaribu na trick hiyo
Mkuu kwa mume wangu mie hua hana jokes kama kitu hapendi,ni 17yrs sasa ila ndio kama janaaaaa hata sijui anajionaje lakini hodari wa kuivua kama umeivaa...lol...........
 
Back
Top Bottom