NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,380
Habari ya Leo Waungwana naomba kuuliza wanaume ni hivi napenda sana kumuona mume wangu amevaa Kanga yangu baada ya kikoi,mfano on weekend yuko nyumbani anavaa kanga yake ya kiuno chumbani ila.
huyu wangu mimi ni 17yrs sasa tangu amenioa hajawahi kuvaa kanga,kama atavaa basi ni kikoi na pia akiwa anakwenda msikitini Ijumaa,au kifupi atavaa anapo vaa kanzu ila sio eti ame relax.
Nimemuomba wapi anakwambia sasa unataka kunichefua eeeh mwisho utanambia nivae Bra yani ongea yote atakufanyia mwambie natamani unipikie atapika ila kuvaa kanga hata sijui anajisikiaje...
Nyumbani havai hata sijui nimfanyeje nimejitahidi wapiiiiiii wenzangu wenye waume zenu ebu nipeni maujanja,yote nimeweza ila hili limenishindaaa
Yani hata watoto anawafundisha the same wakitoka msikitini haya nendeni mka change vueni Vikoi ananikeraaaaaaaaaa ila nanyamaza tuu
huyu wangu mimi ni 17yrs sasa tangu amenioa hajawahi kuvaa kanga,kama atavaa basi ni kikoi na pia akiwa anakwenda msikitini Ijumaa,au kifupi atavaa anapo vaa kanzu ila sio eti ame relax.
Nimemuomba wapi anakwambia sasa unataka kunichefua eeeh mwisho utanambia nivae Bra yani ongea yote atakufanyia mwambie natamani unipikie atapika ila kuvaa kanga hata sijui anajisikiaje...
Nyumbani havai hata sijui nimfanyeje nimejitahidi wapiiiiiii wenzangu wenye waume zenu ebu nipeni maujanja,yote nimeweza ila hili limenishindaaa
Yani hata watoto anawafundisha the same wakitoka msikitini haya nendeni mka change vueni Vikoi ananikeraaaaaaaaaa ila nanyamaza tuu