Mwanaume Kuvaa Kanga...

Mwanaume Kuvaa Kanga...

Hatari sana hata kujifutia tu hapana sembuse kuvaa
 
Dah ungevaa sketi sijui ingekuwaje man,,,hilo dis lingeanza kukushukia mzee ingefikia steji unafulishwa nguo mwenyewe.
Dah! Matatizo haya. Kuna mmoja alianza kuniambia nijaribu sketi yake. Nikamwambia kuanzia siku hiyo sitaki ujinga kama huo, hakurudia tena. Nilitaka mpaka kumpiga, hakurudia tena, ukiwachekea wao wanaona kawaida tu.
A
 
Anajaribu kuwazia ghafla kama mmevamiwa na watu wabaya itakuwa ngumu kumgundua nani mwanaume na nani mwanamke,ukichukulia wanaume wa siku hizi wananyoa ndevu zote na sura ukute kafana na mama ake basi inakuwa tabu tupu...
 
maajabu hayatakwisha kwenye hii dunia na hili ni mojawapo ya lingine na linahitaji watalii kuja kuongeza mapato kwa nchi yetu!!!

mwanaume avae khanga!!! ili iweje!!!!!

harafu akisha vaa umwambie ageuke umuone tako!!!

kwa kweli hata mbuyu ulianza kama mchicha.
 
Hilo ni limbwata la kanga kapigwa na mke wake hasa hasa akisafiri anamkabidhi hiyo kanga eti awe anasikia harufu yake asiweze kutamani mwanamke mwingine
 
Labda kitenge bwana!
khanga laini mno.....
kule kwetu wakiona mwanaume amevaa kanga sidhani kama atapita mtaani akiwa na amni
hii dunia ina maajabu kila kona, hili nalo ni jambo la kumsumbua mtu akili duuuuh
 
Hilo ni limbwata la kanga kapigwa na mke wake hasa hasa akisafiri anamkabidhi hiyo kanga eti awe anasikia harufu yake asiweze kutamani mwanamke mwingine
Mkuu mie hiyo style sina kabisaa ila yes namfungashie mie nguo zake Perfume Al Oud na kila kitu chake..
 
Back
Top Bottom