NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,397
- Thread starter
- #41
Baba Oman mama Tanga na zanzibar..@NIMPENDENANI wewe ni kabila gani?
Baba Oman mama Tanga na zanzibar..@NIMPENDENANI wewe ni kabila gani?
Mkuu sio kwa ubaya ni kwa Mapenzi na hua napenda kumuona amevaa kanga sio avae kivuani anavaa kama vile Kikoi..
Mkuu unajua wanaume wa sikuizi tuu mbona zamani wazee wetu wanavaa? mfano my Dad akiwa nyumbani anavaa kikoi na flana ata vaa kanzu kama kuna mgeni,sasa huyu wangu mie Lahaullah,hanielewi kabisaaaaaaaaaaaa..Cku waenda kumtembelea mshkaji wako mara pap wamkuta kavaa sare ya dera![]()
![]()
au khanga imeandikwa ...nampa papa
![]()
Nakuhitaj sana mtt mzurHahaaaaa marehemu baba Angu alikuwa anapenda Sana kuvaa khanga au msuli siku za weekend akishinda Nyumbani umefanya nimkumbuke
Mkuu nadhani hujanielewa,kikoi unakijua? if yes kuna tofauti gani baina ya kikoi na kanga?Huyo ni mwanaume. Sasa kama unapenda kumuona hivyo, basi hata mtoto wenu wa kiume naye utamwambia avae tu, halafu badae utaona kitakachotokea.
Kuna vitu hupaswi kabisa kumwambia mumeo. Tena shukuru huyo anakwambia Kwa maneno, wengine utachezea makofi ya kutosha.
Inshallah asitoe..hahahahah, sijaona bado mtu wa kunishawishi nitoke JF hahahahahhahahahha, Nakupenda JF, nitakufia JF hahahahahaha raha sana
Mkuu nadhani hujanielewa,kikoi unakijua? if yes kuna tofauti gani baina ya kikoi na kanga?
Sio akuelewi kumbuka nivigumu xnaa mwanaume kuvaa mavazi ya kike tofaut na nyie mnaweza vaa mavazi ya kiumeMkuu unajua wanaume wa sikuizi tuu mbona zamani wazee wetu wanavaa? mfano my Dad akiwa nyumbani anavaa kikoi na flana ata vaa kanzu kama kuna mgeni,sasa huyu wangu mie Lahaullah,hanielewi kabisaaaaaaaaaaaa..
Mkuu Napenda tuu avae,kama kunipenda najua hasa kama ananipenda sina shaka kwa hilo Alhamdulillah..Kwani kuvaa kanga ya mke ndo itaonesha unampenda,
We Dada una lako jambo
Ipo siku utataman avae chupi yako, shanga na mazaga mengine
Mkuu hapo ndio mwisho wa mawazo yako eeh? ebu isome vizuri habari uielewe kwa hisani yako...Ipo siku utataman avae chupi yako, shanga na mazaga mengine
unataka uone nn? Hiyo khanga ndio ile ulopewa na mganga wako??Haviwezi kuwa sawa,ni sawa na ulinganishe baibui na kanzu kwa kuwa vyote vina mikono mirefu.Mkuu wala usitoa povu,sikua na maana mbaya baada ya kuva kikoi avae kanga kwani si sawa na kikoi tuu au?
Mkuu sijawambia avae atoke njee,na sio kwamba kikoi havai ila baada ya kuvaa kiko why asivae kanga?Sio akuelewi kumbuka nivigumu xnaa mwanaume kuvaa mavazi ya kike tofaut na nyie mnaweza vaa mavazi ya kiume
Daah! Mkuu hata mimi sijui nabaki kutazama tu...mwingine et anapenda kuniona nina Cheka Cheka si kutiana uchizi huku?Wanawake wa siku hizi sijui wanawaza Kwa kutumia nini?
matani