Mwanaume Kuvaa Kanga...

Mwanaume Kuvaa Kanga...

Habari ya Leo Waungwana,
Naomba kuuliza Wanaume ni hivi Napenda sana kumuona mume wangu amevaa Kanga yangu baada ya kikoi,mfano on weekend yuko nyumbani anavaa kanga yake ya kiuno chumbani,ila
huyu wangu mimi ni 17yrs sasa tangu amenioa hajawahi kuvaa kanga,kama atavaa basi ni kikoi
na pia akiwa anakwenda msikitini Ijumaa,au kifupi atavaa anapo vaa kanzu ila sio eti ame relax
nimemuomba wapi anakwambia sasa unataka kunichefua eeeh mwisho utanambia nivae Bra,
yani ongea yote atakufanyia mwambie natamani unipikie atapika ila kuvaa kanga hata sijui anajisikiaje...

nyumbani havai hata sijui nimfanyeje nimejitahidi wapiiiiiii,
Wenzangu wenye waume zenu ebu nipeni maujanja,yote nimeweza ila hili limenishindaaa..

Yani hata watoto anawafundisha the same wakitoka msikitini haya nendeni mka change vueni Vikoi ananikeraaaaaaaaaa ila nanyamaza tuu ....
Mpe likizo aende mombasa week mbili tu, akirudi atapaka hata lipstick na wanja zako, tena atarudi akiwa amevaa hereni kwenye kitovu na vikuku mguuni.
 
Mpe likizo aende mombasa week mbili tu, akirudi atapaka hata lipstick na wanja zako, tena atarudi akiwa amevaa hereni kwenye kitovu na vikuku mguuni.
Heshima ni kitu cha bure sana,na hata kukaa kimnya pia ungekua umejibu,ebu rudia kuisoma tena huenda ukaelewa labda umesoma haraka haraka ili upate kujibu..
 
Daah! Mkuu hata mimi sijui nabaki kutazama tu...mwingine et anapenda kuniona nina Cheka Cheka si kutiana uchizi huku? matani

Dah! Matatizo haya. Kuna mmoja alianza kuniambia nijaribu sketi yake. Nikamwambia kuanzia siku hiyo sitaki ujinga kama huo, hakurudia tena. Nilitaka mpaka kumpiga, hakurudia tena, ukiwachekea wao wanaona kawaida tu.
 
Heshima ni kitu cha bure sana,na hata kukaa kimnya pia ungekua umejibu,ebu rudia kuisoma tena huenda ukaelewa labda umesoma haraka haraka ili upate kujibu..
Sawa, humu ndo JF mama, we kuwa teyari kwa lolote.
 
Habari ya Leo Waungwana,
Naomba kuuliza Wanaume ni hivi Napenda sana kumuona mume wangu amevaa Kanga yangu baada ya kikoi,mfano on weekend yuko nyumbani anavaa kanga yake ya kiuno chumbani,ila
huyu wangu mimi ni 17yrs sasa tangu amenioa hajawahi kuvaa kanga,kama atavaa basi ni kikoi
na pia akiwa anakwenda msikitini Ijumaa,au kifupi atavaa anapo vaa kanzu ila sio eti ame relax
nimemuomba wapi anakwambia sasa unataka kunichefua eeeh mwisho utanambia nivae Bra,
yani ongea yote atakufanyia mwambie natamani unipikie atapika ila kuvaa kanga hata sijui anajisikiaje...

nyumbani havai hata sijui nimfanyeje nimejitahidi wapiiiiiii,
Wenzangu wenye waume zenu ebu nipeni maujanja,yote nimeweza ila hili limenishindaaa..

Yani hata watoto anawafundisha the same wakitoka msikitini haya nendeni mka change vueni Vikoi ananikeraaaaaaaaaa ila nanyamaza tuu ....
Mmeo avae kanga ili atikisike tako? Unamfundisha tabia gani
 
Dah! Matatizo haya. Kuna mmoja alianza kuniambia nijaribu sketi yake. Nikamwambia kuanzia siku hiyo sitaki ujinga kama huo, hakurudia tena. Nilitaka mpaka kumpiga, hakurudia tena, ukiwachekea wao wanaona kawaida tu.
Hawa viumbe aisee! Sijui hua wanawaza vip
 
Back
Top Bottom