Tzabway
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 262
- 171
Haviwezi kuwa sawa,ni sawa na ulinganishe baibui na kanzu kwa kuwa vyote vina mikono mirefu.
Au ziwa na bahari kwa kuwa vyote vinaweza beba meli.
Anataka ushauri Ila ni mbishi.
Haviwezi kuwa sawa,ni sawa na ulinganishe baibui na kanzu kwa kuwa vyote vina mikono mirefu.
Au ziwa na bahari kwa kuwa vyote vinaweza beba meli.
Hahahaaaa. Jirani kama mambo yenyewe ndio kama haya na yale ya jana kweli kuna raha aiseee.
Mpe likizo aende mombasa week mbili tu, akirudi atapaka hata lipstick na wanja zako, tena atarudi akiwa amevaa hereni kwenye kitovu na vikuku mguuni.Habari ya Leo Waungwana,
Naomba kuuliza Wanaume ni hivi Napenda sana kumuona mume wangu amevaa Kanga yangu baada ya kikoi,mfano on weekend yuko nyumbani anavaa kanga yake ya kiuno chumbani,ila
huyu wangu mimi ni 17yrs sasa tangu amenioa hajawahi kuvaa kanga,kama atavaa basi ni kikoi
na pia akiwa anakwenda msikitini Ijumaa,au kifupi atavaa anapo vaa kanzu ila sio eti ame relax
nimemuomba wapi anakwambia sasa unataka kunichefua eeeh mwisho utanambia nivae Bra,
yani ongea yote atakufanyia mwambie natamani unipikie atapika ila kuvaa kanga hata sijui anajisikiaje...
nyumbani havai hata sijui nimfanyeje nimejitahidi wapiiiiiii,
Wenzangu wenye waume zenu ebu nipeni maujanja,yote nimeweza ila hili limenishindaaa..
Yani hata watoto anawafundisha the same wakitoka msikitini haya nendeni mka change vueni Vikoi ananikeraaaaaaaaaa ila nanyamaza tuu ....
Sijapata point yako mpaka mda huu,lengo LA kupenda mmeo avae kanga lipi hasa mana kila kitu kina sababu ata kama ni ya kijinga,Mkuu Napenda tuu avae,kama kunipenda najua hasa kama ananipenda sina shaka kwa hilo Alhamdulillah..
Kiswahili cha fantasy sikijui....Sijapata point yako mpaka mda huu,lengo LA kupenda mmeo avae kanga lipi hasa mana kila kitu kina sababu ata kama ni ya kijinga,
Funguka mamaa
Kikoi cha kiume na huvaliwa na watu wa pwani ..huezi kiita khangaMkuu sijawambia avae atoke njee,na sio kwamba kikoi havai ila baada ya kuvaa kiko why asivae kanga?
Katika habari yako si umeeleza jinsi mmeo anavyo kujibu? Kuna tofauti hilo swala gumu nduguMkuu hapo ndio mwisho wa mawazo yako eeh? ebu isome vizuri habari uielewe kwa hisani yako...
mshawishi lakin labda atakuelewa siku moja ninyi si viumbe vyenye ushawishi kwetuHeshima ni kitu cha bure sana,na hata kukaa kimnya pia ungekua umejibu,ebu rudia kuisoma tena huenda ukaelewa labda umesoma haraka haraka ili upate kujibu..Mpe likizo aende mombasa week mbili tu, akirudi atapaka hata lipstick na wanja zako, tena atarudi akiwa amevaa hereni kwenye kitovu na vikuku mguuni.
Daah! Mkuu hata mimi sijui nabaki kutazama tu...mwingine et anapenda kuniona nina Cheka Cheka si kutiana uchizi huku?![]()
![]()
matani
Inshallah.Katika habari yako si umeeleza jinsi mmeo anavyo kujibu? Kuna tofauti hilo swala gumu ndugu![]()
![]()
mshawishi lakin labda atakuelewa siku moja ninyi si viumbe vyenye ushawishi kwetu
Sawa, humu ndo JF mama, we kuwa teyari kwa lolote.Heshima ni kitu cha bure sana,na hata kukaa kimnya pia ungekua umejibu,ebu rudia kuisoma tena huenda ukaelewa labda umesoma haraka haraka ili upate kujibu..
Mmeo avae kanga ili atikisike tako? Unamfundisha tabia ganiHabari ya Leo Waungwana,
Naomba kuuliza Wanaume ni hivi Napenda sana kumuona mume wangu amevaa Kanga yangu baada ya kikoi,mfano on weekend yuko nyumbani anavaa kanga yake ya kiuno chumbani,ila
huyu wangu mimi ni 17yrs sasa tangu amenioa hajawahi kuvaa kanga,kama atavaa basi ni kikoi
na pia akiwa anakwenda msikitini Ijumaa,au kifupi atavaa anapo vaa kanzu ila sio eti ame relax
nimemuomba wapi anakwambia sasa unataka kunichefua eeeh mwisho utanambia nivae Bra,
yani ongea yote atakufanyia mwambie natamani unipikie atapika ila kuvaa kanga hata sijui anajisikiaje...
nyumbani havai hata sijui nimfanyeje nimejitahidi wapiiiiiii,
Wenzangu wenye waume zenu ebu nipeni maujanja,yote nimeweza ila hili limenishindaaa..
Yani hata watoto anawafundisha the same wakitoka msikitini haya nendeni mka change vueni Vikoi ananikeraaaaaaaaaa ila nanyamaza tuu ....
Jomonii si sawa na kanga tuu,wewe naweeeeeeeeee mbishi kama huyu bwana sijui mkoje..Kikoi cha kiume na huvaliwa na watu wa pwani ..huezi kiita khanga
Hawa viumbe aisee! Sijui hua wanawaza vipDah! Matatizo haya. Kuna mmoja alianza kuniambia nijaribu sketi yake. Nikamwambia kuanzia siku hiyo sitaki ujinga kama huo, hakurudia tena. Nilitaka mpaka kumpiga, hakurudia tena, ukiwachekea wao wanaona kawaida tu.
Rudia mkuu kuisoma tena ili uelewe kwahisani yako...Mmeo avae kanga ili atikisike tako? Unamfundisha tabia gani
Baba Oman mama Tanga na zanzibar..