.Bufa na wewe unavaa hereni nini? mimi mwenyewe navaaVipi kuhusu ambao tamaduni zao zinaruhusu wao kuvaa heleni kama wamasai?
Kimjaacho mtu ndiyo kimtokacho kama wewe mawazo yako yapo kishoga Lazima wewe ndiyo unapumuliwa.
Wavaa heleni wengi lazima wa like comment hii.Vipi kuhusu ambao tamaduni zao zinaruhusu wao kuvaa heleni kama wamasai?
Kimjaacho mtu ndiyo kimtokacho kama wewe mawazo yako yapo kishoga Lazima wewe ndiyo unapumuliwa.
Mkuu Kwahiyo umeoana dada zako wanafaidi sana ?!Kuvaa hereni kwa mwanaume ni jambo la kawaida mno.
Nakumbuka mwaka 2013 nyumbani & ndugu zangu walinipiga vita sana na kutaka kunitenga eti kisha navaa hereni masikio yote mawili, nimetoboa pua, nina kikuku mguuni mwa kushoto na nimechora tattoo, kuvaa cheni pia kifuani, na kupaka rangi kucha zangu, kushuka dread & kuweka dawa nywele, ila sikujali hilo mpaka sasa bado navaa hivyo na nina mke na watoto wawili......
Ni kuishi jinsi unavyotaka wala usiangalie jamii itakufikiriaje na kujikubali.. Na kujitambua wewe ni nani.