Jua hiyo ni ishu ya urembo kwa akina dada!Umesema wanavaa heleni kwa "kuwaangalia wasanii wa USA"
bado ulisema kuvaa heleni ni ushoga
kwahiyo hao wasanii wa USA ni mashoga?
Hii ya mwanaume kufuga kucha,kutoboa sikio, kuvaa heleni, kuchoma nywele n.k.TUSITAFUTE UHALALI WAKE!!!mbona umewataja wanaume wenye pesa ambao hawavai heleni tu?
Je, hao ndio watu pekee wenye pesa unaowajua?
Vipi kuhusu wale wenye hela
na heleni wanavaa? wengine hata zaidi heleni!
Au ulikuwa unatafuta pakuanzia ili umalizie kwa hoja ya pedi?
Ndio nashangaa mbona sisi hatuvai? Na tuna fedha za kutosha tu. Kuwa na vipesa mbuzi then kujisifia una hela ni ubwege. Sisi wenye hela tunakuwa tunawa-enjoy sana.Mimi, Dangote, Bakhresa, Mengi mbona hatuvai?
hao wenye mbwembwe za pesa kuna siku wataanza kuvaa pedi,na tutawetetea hivihivi
Kwahiyo mtu akivaa hereni ya elfu tano ni kuonyesha jeuri ya pesa? Mbwembwe za kikeUvaaji wa hereni kwa wanaume mara nyingi ni kwa ajili ya mbwembwe na kuonyesha jeuri ya fedha. Hizo habari za kupumuliwa, ni mawazo yako tu, so jitathmini pia kwanini unakuwa na mawazo kama hayo.
Muongeze na Ben Kinyaiya naye ni Baba wa familiaBinafsi Sivai hereni, sintovaa hereni coz sioni sababu na sina hobby hiyo
ILA, Naamini wanaume wanaovaa ni swagaz tu na kuonesha uclass flani
Mfano mzuri unamfahamu vizuri huyo Diamond, ni baba wa familia...je ulishawahi kusikia habari ya kutaka kupumuliwa?
Je Mr. Blue?
Je Young Killer?
Je P.Didy?
Ni swaggaz tu naona.
Duuu sasa kama yote hayo unafanya, ukitembea njiani na mkeo, mluzi ukipigwa, utajua anapigiwa mkeo au wew???Kuvaa hereni kwa mwanaume ni jambo la kawaida mno.
Nakumbuka mwaka 2013 nyumbani & ndugu zangu walinipiga vita sana na kutaka kunitenga eti kisha navaa hereni masikio yote mawili, nimetoboa pua, nina kikuku mguuni mwa kushoto na nimechora tattoo, kuvaa cheni pia kifuani, na kupaka rangi kucha zangu, kushuka dread & kuweka dawa nywele, ila sikujali hilo mpaka sasa bado navaa hivyo na nina mke na watoto wawili......
Ni kuishi jinsi unavyotaka wala usiangalie jamii itakufikiriaje na kujikubali.. Na kujitambua wewe ni nani.
Duuu sasa kama yote hayo unafanya, ukitembea njiani na mkeo, mluzi ukipigwa, utajua anapigiwa mkeo au wew???
Sasa si wote mmepaka rangi, mmeweka dawa kwenye nywele, mmevaa hereni, etc watahisi wote ni ke
Bila shaka mke wangu atageuka....
Na kwanini wapige mluzi wanatutakia nini hasa......
chochote kisichokuhusu kwa asili, ukikifanya kitatafsiliwa kilivyo kwa asili yake.Binafsi Sivai hereni, sintovaa hereni coz sioni sababu na sina hobby hiyo
ILA, Naamini wanaume wanaovaa ni swagaz tu na kuonesha uclass flani
Mfano mzuri unamfahamu vizuri huyo Diamond, ni baba wa familia...je ulishawahi kusikia habari ya kutaka kupumuliwa?
Je Mr. Blue?
Je Young Killer?
Je P.Didy?
Ni swaggaz tu naona.
Kwa hiyo, hujui kutofautisha mambo ya asili na ya kujipachika?Hujanijibu kuhusu wanaume wamasai wanaovaa heleni?
JESHINI WATU WA AINA HII HAWATAKIWI KWANI WOTE WANAINEKANA TEKETEKESasa si wote mmepaka rangi, mmeweka dawa kwenye nywele, mmevaa hereni, etc watahisi wote ni ke