Mwanaume kutegemea mshahara ni kujidhalilisha

Mwanaume kutegemea mshahara ni kujidhalilisha

Acha bana,
mtu anayepata salary ya 4M+ plus other benefits unataka ategemee nn zaidi,
kuna wengine mishahara inawatosha kbsaaaa.
Mleta mada nadhani anaongelea wale ambao mishahara haiwatoshi na haongelei labda wafanye Nini itoshe iwe kwa kujiendeleza kimasomo.labda ili wapande vyeo nk Hiyo concept ya kusema wafanye nayo Nina mashaka nayo .Mtu ambaye mshahata hautoshi sijui hako kaziada ka mtaji wa biashara ya kueleweka atakapata vipi? .Labda auze karanga
 
Mimi ni wa kuungia mchuzi tu a.k.a baba watoto, nikijbu swali lako la mwisho kwenye uzi wako.
 
Peer pressure ya kufanya biashara kwa waajiriwa ni kubwa sana. Yani wewe kama umeajiriwa na huna ka biashara hata ka kuuza juice utadharauliwa sana kuanzia na wafanyakazi wenzio mpaka watu wengine wanao kuzunguka.muda mwingine hujui ufanye biashara gani, au unafanya biashara hata faida haieleweki ilimradi tu na wewe uwe mjasiria mali. Nonsense!
 
Mkuu Mwenyezi Mungu kaweka mgawanyo wa maisha ili kila binafamu apate riziki Yake na kipato.Kuwa wewe Kama una kipato Cha mshahara Kipato Cha biashara unatakiwa umwachie mwingine.Wafanyakazi wote wakianzisha biashara hao wa mitaani kipato chao watatoa wapi?

Mshahara uchukue wewe Banda la mkaa uuze wewe ,genge uuze wewe nk hao wanunuzi wako kipato chao unataka kitoke wapi? Wewe una mshahara kanunue mkaa kwa mwingine asiye na mshahara anayetegemea kipato kwa kuuza mkaa tu
Kwenye haya maisha hakuna huruma za kijinga hivo! Hata kama una mshahara mkubwa vipi ukiona gepu la kuuza ascrimu na mwenzako amezubaa UZA !
 
i
Kwenye haya maisha hakuna huruma za kijinga hivo! Hata kama una mshahara mkubwa vipi ukiona gepu la kuuza ascrimu na mwenzako amezubaa UZA !
Sawa tu wewe SI una pesa chukua biashara zote fanya wewe wengine wakose.Wabakie Vibaka na panya road wa kukupora ukichouza

Wengine wakikuwangia kea kuwanyima riziki kwa kupora fursa zao wanyonge usipige yowe.Kuna maduka mitaani ya wafanyakazi watu hawaendi kununua wanasema kazidi uroho wa hela wanaenda nunua mbali kwa mnyonge mwenzao
 
Mi bado natafakari tu tofauti ya mshahara na kamshahara😁😁😁 nadhani mtoa mada kawalenga zaidi wenye kamshahara japo wakazichangechange hata kwenye kuosha magari huko! Lakini pia wenye mshahara wakawe wajasiliamali pia mfano mzuri hardware investment ambayo mwenye kamshahara hawezi.
 
Ukweli ni kwamba maisha ya kutegemea mshahara pekee hasa kwa sisi wenye mishahara ya milioni mbili kushuka chini ni magumu sana na yana stress sana hasa inapotokea kuna jambo limejitokeza kinyume na bajeti yako na mshahara umechelewa,ni vizuri kuwa na vyanzo vingine vya mapato japo wakatishaji tamaa huwa hawakosekani ktk kila biashara,ukifikiria kufanya hiki kuna mtu atakwambia hakifai kwa sababu hii au ile,ukifikiria kufanya kile kuna mtu atakwambia hakifai kwasababu hii au ile yani kila kitu kina mjuaji wake wa kukidiscourage so wakati mwingine usisikilize sana maneno ya watu wasiofanya biashara unayotaka kufanya na kwakweli maisha ya kutegemea mshahara tu ni magumu na yamejaa stress
 
Hapo kwenye kubet simshauri ajaribu kabisa
Wakuu ,

Maisha ya kutegemea mshahara ni ya kitumwa sana.

Mwanaume una mke na watoto halafu huna jinsi yoyote ya kupata pesa eti mpaka mshahara mwisho wa mwezi !

Katikati ya mwezi mifuko imetoboka japo unavaa suti na kujiita baba / mwanaume.

Umeshindwa kuuza mkaa ?

Umeshindwa kuuza ice cream ?

Umeshindwa kuosha magari ?

Umeshindwa kulima , kufuga , kubet ?

Hata kuendesha bodaboda umekwama ?


We wa kazi gani sasa ?
 
Point ya msingi ni kuwa mshahara hautoshi....labda kwa wachache wanaopata mamilioni na hawana tegemezi
 
Motiveshno spika ameshakuharibu akili yako bado kuharibiwa marinda tu
 
Hahaaaaaaa
Wakuu ,

Maisha ya kutegemea mshahara ni ya kitumwa sana.

Mwanaume una mke na watoto halafu huna jinsi yoyote ya kupata pesa eti mpaka mshahara mwisho wa mwezi !

Katikati ya mwezi mifuko imetoboka japo unavaa suti na kujiita baba / mwanaume.

Umeshindwa kuuza mkaa ?

Umeshindwa kuuza ice cream ?

Umeshindwa kuosha magari ?

Umeshindwa kulima , kufuga , kubet ?

Hata kuendesha bodaboda umekwama ?


We wa kazi gani sasa ?
 
Wakuu ,

Maisha ya kutegemea mshahara ni ya kitumwa sana.

Mwanaume una mke na watoto halafu huna jinsi yoyote ya kupata pesa eti mpaka mshahara mwisho wa mwezi !

Katikati ya mwezi mifuko imetoboka japo unavaa suti na kujiita baba / mwanaume.

Umeshindwa kuuza mkaa ?

Umeshindwa kuuza ice cream ?

Umeshindwa kuosha magari ?

Umeshindwa kulima , kufuga , kubet ?

Hata kuendesha bodaboda umekwama ?


We wa kazi gani sasa ?
We jamaa siku hizi bana ..
 
Haya mambo acheni kujidanganya. Ajira isikie tu kwa mwenzio ajira tamu saaana. Biashara hizi mwenzako akifungua mgahawa tu pembeni akapika vizuri ujue hapo mnagawana wateja na sales inapungua. Hapa ungeshauri kwa kua kipato kidogo tupunguze idadi ya kuzaa watoto, alafu ukiona kipato chako hakizidi laki 7 kwa mwezi usioe kabisa uishi single hadi unakufa maana utashindwa kuitunza familia yako. Mshahara sio tatizo, tatizo familia nyingi zinautegrmezi wa kiwango cha SGR. Hata mleta mada unaweza kukuta umesomeshwa na kutunzwa na shemeji yako mwalimu au askari hadi umejikuta umefungua biashara yako. Acha dharau
 
Mi bado natafakari tu tofauti ya mshahara na kamshahara😁😁😁 nadhani mtoa mada kawalenga zaidi wenye kamshahara japo wakazichangechange hata kwenye kuosha magari huko! Lakini pia wenye mshahara wakawe wajasiliamali pia mfano mzuri hardware investment ambayo mwenye kamshahara hawezi.
wenye mshahara unaotosha ni wachache sana,nao wakiumwa magonjwa ya maana wanabaki kulialia tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom