mwanaume kulala kwa mwanamke

mwanaume kulala kwa mwanamke

Ndio aliowaimba jide akisema ni 'wanaume kama mabinti'
 
Kwanza sio tabia nzuri mwanaume kulala kwa mwanamke wake, kwa sisi wamatumbi mara nyingi inaleta maana kama msichana ndo atalala kwa bf wake bwana, kuhusu kulipa kodi kwani ni lazima mpenzi wako akulipie kodi? mapenzi hayahusiani na kodi kabisaaa, if mnapendana kikubwa hapo ni mapenzi then fanya kazi kwa bidii utimize malengo yako, then kama kuku support afanye kwa kupenda, japo pesa kidogo inahusika kwenye mapenzi ila sio lazima kisa analala kwako basi akulipie kodi, kwani na wewe ukilala kwake utamsaidia? Hiyo nayo nikama una mcharge mtoto wa mwanamke mwenzio bana.
 
Kwanza sio tabia nzuri mwanaume kulala kwa mwanamke wake, kwa sisi wamatumbi mara nyingi inaleta maana kama msichana ndo atalala kwa bf wake bwana,lakini kuhusu kulipa kodi kwani ni lazima mpenzi wako akulipie kodi? mapenzi hayahusiani na kodi kabisaaa, waschana tuanatakiwa kulijua hilo. If mnapendana kikubwa hapo ni mapenzi then fanya kazi kwa bidii utimize malengo yako sio kumtegemea mwanaume kumbuka kutoa ni moyo unaweza kua na millionea na asikusaidie hata senti na kwako akalala vilevile, fanya mambo yako mwenyewe kisha kama ni support afanye kwa moyo na umuombe pale ambapo umekwama sana sio mpaka pesa ya bulb unaomba heee, japo pesa kidogo inahusika kwenye mahusiano ila sio lazima kisa analala kwako basi akulipie kodi, kwani na wewe ukilala kwake utamsaidia? Hiyo nayo nikama una mcharge mtoto wa mwanamke mwenzio bana.
 
una bf wako anachumba chake na wewe unachumba chako na mnapendana sana akitaka dudu anakuja kulala kwako ikitokea kodi imeisha na umebanana hakuchangiii hata 10 unabangaiza unalipa anakuja kutaka tena dudu kwako hiii imekaaje wadada wenzangu japo mnapendana sana.

kama wanapendana kwanini wasiishi pamoja?kuepuka gharama!
 
Yaani mnapendana muda woote huo hadi kodi inaisha mnalipa na kuendelea tu,heri kama mnapendana mmoja ajiunge kwa mwenzake muendeleze libeneke la maisha maana mkiwa wa 2 mnasonga kuliko kila mmoja kivyake!ukiona hamuwezi kuungana ujue kuna mmoja anamchezea na kumpotezea muda mwenzake!
 
Back
Top Bottom