Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,725
- 40,932
Wapi Madame B!
mmh! mm natafuta wa kulala nae hpa kwangu sijui nani atajitokeza lol!
atapewa ze dudu?
kwani sukari hii useme kila mtu lazima aonjeshwe??
Jamani ogopeni sana kuvunja amri ya sita ya Musa! Haijalishi kama inavunjiwa kwa msichana au kwa mvulana.
Nadani labda pengine alikusudia "dudu washa"!:biggrin1::biggrin1::biggrin1:wanawake wana dudu siku hizi?
una bf wako anachumba chake na wewe unachumba chako na mnapendana sana akitaka dudu anakuja kulala kwako ikitokea kodi imeisha na umebanana hakuchangiii hata 10 unabangaiza unalipa anakuja kutaka tena dudu kwako hiii imekaaje wadada wenzangu japo mnapendana sana.
wanawake wana dudu siku hizi?
hee,mi mwanaume kwangu hawezi kuja wala ku do!km hatuendi kwake,twende hotel na alipe,full stop!
Yaan dudu umpe ukiwa kwako,na kodi asilipe!?khaa!,kweli we a differ
mi nadhani kila mtu alale kwake.......
kwani uke unaitwaje hasa ikiwa unamwelezea mtoto mdogo??