MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,008
mi nadhani kila mtu alale kwake.......
Sasa wataunganishaje vinanihii mama mdogo?
mi nadhani kila mtu alale kwake.......
sio hivyo nimaisha ya mahusiano tu ndio hana kipato kikubwa bt kwann yeye alipe kwake miezi 6 ww uhangaikie kodi na asikusaidie hata mwezi mmoja wakati huwa anakuja kulala kwangu???????
kama unaenjoy service komaa kama hamna kitu mtimue!
wanawake wana dudu siku hizi?
mama pita huyu mwanaume una mbona kuwa ana kasoro nyingi hivi,kwanini humwambii na muachane!
the same guy hakuridhishi kimapenzi
the same guy hakujali unapokuwa na matatizo
the same guy hutaki alale kwako
MAPENZI SI KUONEKANA TU NA WE UNA MWANAUME!ah[/QU
stil nampenda
Humpendi!
huwezi kuwa unampenda kisha ukafanya haya unayofanya!
ni penzi la aina gani unampenda huyu mwanaume ambaye hutaki kumkubali alivyo!
ni penzi la aina gani unampenda ilhali hujivunii naye!
ndo mana mimi na mwenzangu BADILI TABIA tunakushangaa kuwa bado tu unalalamikia the same guy!
kama huna furaha na hilo penzi mwambie huyo kaka ukweli upate mwanaume wa aina yako!yule hasa akisimama na wanaume wenzie na we na wanawake wenzio hutaona haya kumtambushsa kuwa ni mpenzi wako!
yule utakayefurahia vile alivyo
yule atakayeweza kukuhudumia
MAANA HUYO NDIYO TAFSIRI SAHIHI YA MWANAUME KWAKO!
mama pita huyu mwanaume una mbona kuwa ana kasoro nyingi hivi,kwanini humwambii na muachane!
the same guy hakuridhishi kimapenzi
the same guy hakujali unapokuwa na matatizo
the same guy hutaki alale kwako
MAPENZI SI KUONEKANA TU NA WE UNA MWANAUME!ah[/QU
stil nampenda
Ungempenda kweli usingelalamika na kitu kidogo kama kulala kwako. Pia usingelalamika hakuridhishi kimapenzi hapa jf, ungemwambia mwenyewe, maana they say ' no trust no love'
Jaman kutoa dudu na kulipiana kodi za nyumba kunahusiana vipi?je ni part of agreement au ndo mambo ya TAKRIMA ya kutoa DUDU?
mi nadhani kila mtu alale kwake.......
he he heeeeeeeeeee wengine tuliolewa kabla hata hatujawa na nyumba za ku-accommodate hao wakaka
lakini kama ningepata hiyo nafasi, mimi naona kwangu ningekuwa comfortable zaidi.
ingawa kwake pia tungekuwa tunaenda mara chache chache ku-make sure kwamba hakuna mtu anayeishi huko.....maana usipoangalia unaweza ukawa unampumzisha tu mtu wakati alishatwaliwa kitaaaambo.....
una bf ....na mnapendana sana akitaka dudu anakuja kulala/QUOTE]
kama unampenda umeshindwaje kumwambia? mi naona hiyo invoice ya room haijakaa sawa,
ukweli ni kuwa "dudu" yako itumike au isitumike ndani kwako, hiyo room inabaki kuwa ni ya kwako hivyo lazima uilipie, acha kuwa irresponsible!
mama pita.. laleni mchana siyo usiku kwamaana mkilala usiku ndo unakuwa na machungu ya kutochangiwa kodi. ukilala nae mchana angalau utamshawishi hata anunue chips mayai.... lunch?.....easy...una bf wako anachumba chake na wewe unachumba chako na mnapendana sana akitaka dudu anakuja kulala kwako ikitokea kodi imeisha na umebanana hakuchangiii hata 10 unabangaiza unalipa anakuja kutaka tena dudu kwako hiii imekaaje wadada wenzangu japo mnapendana sana.
kwani uke unaitwaje hasa ikiwa unamwelezea mtoto mdogo??
Mhhh!! yangu macho kamanda...