Mwanaume kukata kiuno hii ikojee?

Mwanaume kukata kiuno hii ikojee?

Ktk huu mjadala nimepata mawazo tofauti na kile nilichouliza sasa naomba mnijibu ulazima wa hii kitu au umuhimu wake pllllzzzzzzz
 
duh,huyo anazungusha ili nini kiingie?wanaume wengine majanga,haha
 
duh,huyo anazungusha ili nini kiingie?wanaume wengine majanga,haha

kwa upande wako haukubaliani na hilo suala si ndio manake au nikuelewa ndivyo sivyo
 
aaaah watu wa hivo kero tu badala wakomae kupiga p*mb* wao wanakomaa kukatika
mi nikipata njemba wa hivo muda wa game namuwekea CD yenye masongi kama "oyoyo""segere" "alaji"
n.k akatike hadi akome

Tatizo lenu mnapenda mabishoo(wauza sura),wakishanyoa viduku na kuvaa nguo za kike mnawaona ndo wanauume!ndo matokeo yake hayo,kila kitu wenyewe usharobaro tu hamna kitu.
 
Tatizo lenu mnapenda mabishoo(wauza sura),wakishanyoa viduku na kuvaa nguo za kike mnawaona ndo wanauume!ndo matokeo yake hayo,kila kitu wenyewe usharobaro tu hamna kitu.

wengine sio masharobaro lakin basi tu sijui ndio ulimbukeni au usharobaro mwingi au ndio maujuzi unakuta anakata kiuno kama yuko field anachukua uzoefu sijui sasa hiyo hali sijui manake nin sasa harafu kwani kuna ulazima gan hapo au mbwembwe tu
 
Katika katika mpaka chini..... Tukunyema ndio mpango mzima lolest.
 
Tulia mama ufundishwe ujuzi,rahaa ya mapenzi mshugulike nyote siyo wengine kulala km gogo.
 
Sasa ulitaka akisha kuchomeka!! Afanye nn??? Agande Kama sanamu!!!
 
pole manka m njo kwangu hakuna kero ndogo ndogo,hapa raha tupu,mapenzi ni kusikilizana bhana na kuridhishana:smile-big:
 
Ktk huu mjadala nimepata mawazo tofauti na kile nilichouliza sasa naomba mnijibu ulazima wa hii kitu au umuhimu wake pllllzzzzzzz
Umuhimu upo hivi
1. Ili mtu aweze ku-feel sensasion wakati wa kugegedana linahitajika joto na msuguano
2. Msuguano unapatikana kwa uume kugusa kuta za uke. Sasa kama uke ni mkubwa kuliko uume (kibamia), msuguano unakuwa kama haupo kwa kiasi hitajika.
3. mnapokata mauno wote wawili, uwezekano wa msuguano unakuwa mkubwa sana, na hivyo kupelekea ile feel ya sensasion kuwa kubwa na hatimaye mtu ku-enjoy. Kutest hili, fanya hivi jamaa akiingiza wewe tulia na yeye atulie halafu muone kama mtaona raha ya kugegedana

 
Back
Top Bottom