Twilumba
Platinum Member
- Dec 5, 2010
- 13,476
- 16,179
kivip mkuu
Mapenzi kwao Tanga!
kivip mkuu
Sungura Toto try me.... kukanusha kauli yako utatoa ulimi kama mbwa mwenye kiu.... omba radhi mkuu
ndiyo siyo kuweka tu na kwenda kama kata upepo loh!!!!!!!!
KWANINI UNAANZISHA MADA MBILIMBILI?
https://www.jamiiforums.com/mahusia...zi-wangu-anataka-tukatike-wote-kitandani.html
Toka lini mchaga akajua mapenzi?
Zinaitwa fujo za kitandani, mtu akisikia kukata kiuno anafikiri ni kazi rahisi kuna ufundi na step zake, kuna timing zake wakati gani upeleke kushoto na wakati gani upeleke kulia, wakati gani uzame deepsea na wakati gani ukwangue ukuta...cheza kwa step usimkarahishe mwenzio
kwa hiyo unataka kusema tunazalianaje kaa hatujui mapenzi...... mushi, munisi na ufoo
Ha ha ha ha bila shaka demu wa bob junia na muke ya H.father wanakereka kama wewe
Hahahaaaaa uuuuwiii...! Kwa wengine raha kwa wengine kero!!ama kweli kila mtu na ladha yake
Kuna mwingine kasema mpenzi wake anamtaka akate hayo mauno watch out akikutana na wanaopenda hayo maujanja ndo basi tena,mwambie tu kuwa haupendi akukatie mauno au ameona wewe haukati emeona akuambie kwa vitendo!Wana MMU habari zenu.
Nijulishen ulazima au umuhimu wa mwanaume kukata kiuno kwenye game . Mim binafsi naona anazingua na kuniondolea mood in short nakereka kwa kweli
Sungura Toto try me.... kukanusha kauli yako utatoa ulimi kama mbwa mwenye kiu.... omba radhi mkuu
Mwanaume hakat kiuno kaz yake n ku pumping 'in n out'
kaz ya mwanamke ndo kuzungusha kiuno in 'circle motion'