faru john junior
JF-Expert Member
- Dec 26, 2016
- 1,596
- 1,717
Habari za asubuhi mabibi na mabwana. Kichwa cha hbr cha husika.
Naombeni msaada, usiku wa kuamkia Leo kuna jambo limenitokea ambalo nashindwa kbsa kulielewa japo sio Mara ya kwanza ni Mara ya pili sasa. Jambo lenyewe liko hivi
Usiku nimeota kuwa nimebeba mimba yaani ni mjamzito tena cha kushangaza kbsa mimba mapacha ilihali mm ni jinsia ya kiume. Hili jambo limenisikitisha kabsa mpka na kukosa usingizi baada ya kushtuka kutoka usingizini
Ndoto hii ilinikuta majira ya saa kumi alfajiri ya kuamkia Leo. Kimsingi ndoto ya aina hii ilishawahi kunitokea mwaka juzi miezi kama hii lakini mwaka huo ndoto haikuwa ya mapacha nilichukulia kama jambo LA kawaida tu kuota lakini Leo limenishtua sana sijui kwa nini. Ikiwa usiku naota niligusa tumbo nikakuta kitu kimetuna ambacho kinacheza, Mara nikajikuata Niko wodi ya wazazi huku hao mapacha wakicheza na wale wamama pale wodin wakasema mimba yangu ni mapacha
Lakini cha kushangaza ni pale wanapocheza wanatoa mikia nje ya tumbo ndipo niliposhtuka na kujiuliza ni viumbe gani hawa ndani ya tumbo langu kama ni watoto wa kawaida inakuwaje wanamikia? Kiukweli niliogopa sana ndipo usingizi ukashtuka kutoka usingizini. Binafsi nahisi sio jambo LA kawaida kwa mwanume kuota ndoto za aina hii. Nahisi ni jambo LA kiiman zaidi
MSAADA. Najua humu jf kuna wajuvi wenge wa haya mambo wenye uwezo wa kutafsiri ndoto wanisaidie na kuniondolea hofu kama kuna jambo linaloendelea pasipo mm kujua mpka sasa nawaza sipata jibu hasa ni kitu gani kinachoashiria ndoto za aina hii hasa kwa jinsia ya kiume ingekuwa wa kike may be ingesound kidgo sasa wa kiume?mmmmmh hapna NAOMBENI MSAADA
Naombeni msaada, usiku wa kuamkia Leo kuna jambo limenitokea ambalo nashindwa kbsa kulielewa japo sio Mara ya kwanza ni Mara ya pili sasa. Jambo lenyewe liko hivi
Usiku nimeota kuwa nimebeba mimba yaani ni mjamzito tena cha kushangaza kbsa mimba mapacha ilihali mm ni jinsia ya kiume. Hili jambo limenisikitisha kabsa mpka na kukosa usingizi baada ya kushtuka kutoka usingizini
Ndoto hii ilinikuta majira ya saa kumi alfajiri ya kuamkia Leo. Kimsingi ndoto ya aina hii ilishawahi kunitokea mwaka juzi miezi kama hii lakini mwaka huo ndoto haikuwa ya mapacha nilichukulia kama jambo LA kawaida tu kuota lakini Leo limenishtua sana sijui kwa nini. Ikiwa usiku naota niligusa tumbo nikakuta kitu kimetuna ambacho kinacheza, Mara nikajikuata Niko wodi ya wazazi huku hao mapacha wakicheza na wale wamama pale wodin wakasema mimba yangu ni mapacha
Lakini cha kushangaza ni pale wanapocheza wanatoa mikia nje ya tumbo ndipo niliposhtuka na kujiuliza ni viumbe gani hawa ndani ya tumbo langu kama ni watoto wa kawaida inakuwaje wanamikia? Kiukweli niliogopa sana ndipo usingizi ukashtuka kutoka usingizini. Binafsi nahisi sio jambo LA kawaida kwa mwanume kuota ndoto za aina hii. Nahisi ni jambo LA kiiman zaidi
MSAADA. Najua humu jf kuna wajuvi wenge wa haya mambo wenye uwezo wa kutafsiri ndoto wanisaidie na kuniondolea hofu kama kuna jambo linaloendelea pasipo mm kujua mpka sasa nawaza sipata jibu hasa ni kitu gani kinachoashiria ndoto za aina hii hasa kwa jinsia ya kiume ingekuwa wa kike may be ingesound kidgo sasa wa kiume?mmmmmh hapna NAOMBENI MSAADA