Mwanaume kubeba mimba

Mwanaume kubeba mimba

Hiyo ni ndoto tu mkuu kama unavoweza kuota upo na yesu unamzuia asitende maovu
 
Comments za wachangiaji zinatosha kuonyesha kuwa Jf imepoteza credibility, sio Jf ile tena ambayo ilikuwa kisima cha maarifa na ushauri wenye tija! Kwani kuna shida gani mtu ukipita kimya kama hauna ushauri juu ya kilichoulizwa, je ni azima kukoment ujinga ili uonekane upo? Badilikeni wadau ama nendeni huko fb ndio pamejaa jamii ya vilaza. Asante
Ila mwisho wa siku ktk comments 100, kuna comments kama 30 au 40 unakuta mleta mada anakuwa kapewa jibu angalau akaridhika. Yaani comments za ile jf yenyewe.
 
Ulishawahi kwenda kwa waganga wa kienyeji kabla ya Ndoto hizo? Tuanzie hapo ukijibu kuna majibu
 
Jf umejawa na watoto wadogo mno saivi hasa nyakati hizi,
Watu wanakosa maarifa kabisa.mleta madam yuko seriously lakini comment za ajabu ajabu duh!
Pia tatizo ni mods kuwa watoto watoto.
Sijui nitapigwa ban hapa!
 
Ndoto ni maono ya mambo yaliyopita, yaliopo na yatakayokuja. Ndoto huweza kuakisi mawazo,i mtizamo, falsafa, mitindo ya maisha ya mhusika. Pia huweza kuwa matokeo na dalili ya ugonjwa fulani uliomo mwilini, kula chakula kingi kupita kiasi, kulala sehemu isiyo rafiki na kuwa na mkojo mwingi kwenye kibofu.

Ndoto ni mawasiliano baina ya roho na mwili, ndio kitu pekee ambacho kinauunganisha nafsi, mwili na roho.

Si kawaida ndoto kujirudia, na hii ikitokea basi lazima kunataarifa ya msingi inatolewa na ndoto husika.

Kulingana na ndoto yako, lazima uwe na wasi wasi kwani si kawaida kwa mtu wa jinsia kama yako kuota kitu kama hicho.
Umesema umeota unaujauzito ambao ni mapacha.

je unakumbuka ulikuwa na nguo za rangi ipi?
je ni nguo za kiume au za kike?
Ulipofika Leba, je wauguzi walikuwa wangapi na wamevaa nguo gani?
Je, walikuwa wa jinsia moja?
Ulipokuwa unashikwa tumbo wauguzi walisimama katika nafasi(position) zipi?
Unakumbuka lugha iliyotumika?
Unaweza hisi mazingira ya tukio?
Je kuna tofauti yoyote ya ndoto ya kwanza na ya pili?
Kama jibu ni "ndio" taja tofauti hizo

Je umeoa/hujaolewa?
Je unamchumba/mpenzi?
kwenu mmezaliwa wanaume na wanawake wangapi?

Mambo ya kufanya:
1.Epuka kukaa mwenyewe na kuangalia picha zisizofaa
2. Epuka kulala ukiwa umepaka marashi, manukato,mafuta na vitu vyovyote vya kunukia
3. Sali,omba, au piga dua kuomba ulinzi wakati ulalapo
4. Epuka mawazo yanayokinzana na jinsia yako

Ni jibu alafu tuone nini tatizo.
 
Habari za asubuhi mabibi na mabwana. Kichwa cha hbr cha husika.
Naombeni msaada, usiku wa kuamkia Leo kuna jambo limenitokea ambalo nashindwa kbsa kulielewa japo sio Mara ya kwanza ni Mara ya pili sasa. Jambo lenyewe liko hivi
Usiku nimeota kuwa nimebeba mimba yaani ni mjamzito tena cha kushangaza kbsa mimba mapacha ilihali mm ni jinsia ya kiume. Hili jambo limenisikitisha kabsa mpka na kukosa usingizi baada ya kushtuka kutoka usingizini
Ndoto hii ilinikuta majira ya saa kumi alfajiri ya kuamkia Leo. Kimsingi ndoto ya aina hii ilishawahi kunitokea mwaka juzi miezi kama hii lakini mwaka huo ndoto haikuwa ya mapacha nilichukulia kama jambo LA kawaida tu kuota lakini Leo limenishtua sana sijui kwa nini. Ikiwa usiku naota niligusa tumbo nikakuta kitu kimetuna ambacho kinacheza, Mara nikajikuata Niko wodi ya wazazi huku hao mapacha wakicheza na wale wamama pale wodin wakasema mimba yangu ni mapacha
Lakini cha kushangaza ni pale wanapocheza wanatoa mikia nje ya tumbo ndipo niliposhtuka na kujiuliza ni viumbe gani hawa ndani ya tumbo langu kama ni watoto wa kawaida inakuwaje wanamikia? Kiukweli niliogopa sana ndipo usingizi ukashtuka kutoka usingizini. Binafsi nahisi sio jambo LA kawaida kwa mwanume kuota ndoto za aina hii. Nahisi ni jambo LA kiiman zaidi
MSAADA. Najua humu jf kuna wajuvi wenge wa haya mambo wenye uwezo wa kutafsiri ndoto wanisaidie na kuniondolea hofu kama kuna jambo linaloendelea pasipo mm kujua mpka sasa nawaza sipata jibu hasa ni kitu gani kinachoashiria ndoto za aina hii hasa kwa jinsia ya kiume ingekuwa wa kike may be ingesound kidgo sasa wa kiume?mmmmmh hapna NAOMBENI MSAADA
Wahi clinic mapema
 
Habari za asubuhi mabibi na mabwana. Kichwa cha hbr cha husika.
Naombeni msaada, usiku wa kuamkia Leo kuna jambo limenitokea ambalo nashindwa kbsa kulielewa japo sio Mara ya kwanza ni Mara ya pili sasa. Jambo lenyewe liko hivi
Usiku nimeota kuwa nimebeba mimba yaani ni mjamzito tena cha kushangaza kbsa mimba mapacha ilihali mm ni jinsia ya kiume. Hili jambo limenisikitisha kabsa mpka na kukosa usingizi baada ya kushtuka kutoka usingizini
Ndoto hii ilinikuta majira ya saa kumi alfajiri ya kuamkia Leo. Kimsingi ndoto ya aina hii ilishawahi kunitokea mwaka juzi miezi kama hii lakini mwaka huo ndoto haikuwa ya mapacha nilichukulia kama jambo LA kawaida tu kuota lakini Leo limenishtua sana sijui kwa nini. Ikiwa usiku naota niligusa tumbo nikakuta kitu kimetuna ambacho kinacheza, Mara nikajikuata Niko wodi ya wazazi huku hao mapacha wakicheza na wale wamama pale wodin wakasema mimba yangu ni mapacha
Lakini cha kushangaza ni pale wanapocheza wanatoa mikia nje ya tumbo ndipo niliposhtuka na kujiuliza ni viumbe gani hawa ndani ya tumbo langu kama ni watoto wa kawaida inakuwaje wanamikia? Kiukweli niliogopa sana ndipo usingizi ukashtuka kutoka usingizini. Binafsi nahisi sio jambo LA kawaida kwa mwanume kuota ndoto za aina hii. Nahisi ni jambo LA kiiman zaidi
MSAADA. Najua humu jf kuna wajuvi wenge wa haya mambo wenye uwezo wa kutafsiri ndoto wanisaidie na kuniondolea hofu kama kuna jambo linaloendelea pasipo mm kujua mpka sasa nawaza sipata jibu hasa ni kitu gani kinachoashiria ndoto za aina hii hasa kwa jinsia ya kiume ingekuwa wa kike may be ingesound kidgo sasa wa kiume?mmmmmh hapna NAOMBENI MSAADA
ndoto za majini hizi! nenda kaokoke! doto za majini zikiambatana na roho za kishoga!
 
Hiyo ni ishara ya utajiri wa maajabu jiandae na ongeza juhudi kwenye kazi zako
 
Ndoto ni maono ya mambo yaliyopita, yaliopo na yatakayokuja. Ndoto huweza kuakisi mawazo,i mtizamo, falsafa, mitindo ya maisha ya mhusika. Pia huweza kuwa matokeo na dalili ya ugonjwa fulani uliomo mwilini, kula chakula kingi kupita kiasi, kulala sehemu isiyo rafiki na kuwa na mkojo mwingi kwenye kibofu.

Ndoto ni mawasiliano baina ya roho na mwili, ndio kitu pekee ambacho kinauunganisha nafsi, mwili na roho.

Si kawaida ndoto kujirudia, na hii ikitokea basi lazima kunataarifa ya msingi inatolewa na ndoto husika.

Kulingana na ndoto yako, lazima uwe na wasi wasi kwani si kawaida kwa mtu wa jinsia kama yako kuota kitu kama hicho.
Umesema umeota unaujauzito ambao ni mapacha.

je unakumbuka ulikuwa na nguo za rangi ipi?
je ni nguo za kiume au za kike?
Ulipofika Leba, je wauguzi walikuwa wangapi na wamevaa nguo gani?
Je, walikuwa wa jinsia moja?
Ulipokuwa unashikwa tumbo wauguzi walisimama katika nafasi(position) zipi?
Unakumbuka lugha iliyotumika?
Unaweza hisi mazingira ya tukio?
Je kuna tofauti yoyote ya ndoto ya kwanza na ya pili?
Kama jibu ni "ndio" taja tofauti hizo

Je umeoa/hujaolewa?
Je unamchumba/mpenzi?
kwenu mmezaliwa wanaume na wanawake wangapi?

Mambo ya kufanya:
1.Epuka kukaa mwenyewe na kuangalia picha zisizofaa
2. Epuka kulala ukiwa umepaka marashi, manukato,mafuta na vitu vyovyote vya kunukia
3. Sali,omba, au piga dua kuomba ulinzi wakati ulalapo
4. Epuka mawazo yanayokinzana na jinsia yako

Ni jibu alafu tuone nini tatizo.
Sikumbuki nimevaa nguo gani
Nilikuwa nimevaa nguo za kiume
Nilimuona mama mmoja tu akiwa amejifunga kanga kwenye maziwa mama mnene sana
Sikushikwa tumbo bali nililishika mwenyewe
Lugha iliyotumika ni kiswahili
Tofauti ya mazingira kiukweli sikumbuki vzri kwa ndoto ya kwanza Ila hii ya pili nilihis hilo tukio nikiwa njian natembea nikiwa na mdada ambaye simjui lakini nilienda naye mpka wodini
 
Ndoto ni maono ya mambo yaliyopita, yaliopo na yatakayokuja. Ndoto huweza kuakisi mawazo,i mtizamo, falsafa, mitindo ya maisha ya mhusika. Pia huweza kuwa matokeo na dalili ya ugonjwa fulani uliomo mwilini, kula chakula kingi kupita kiasi, kulala sehemu isiyo rafiki na kuwa na mkojo mwingi kwenye kibofu.

Ndoto ni mawasiliano baina ya roho na mwili, ndio kitu pekee ambacho kinauunganisha nafsi, mwili na roho.

Si kawaida ndoto kujirudia, na hii ikitokea basi lazima kunataarifa ya msingi inatolewa na ndoto husika.

Kulingana na ndoto yako, lazima uwe na wasi wasi kwani si kawaida kwa mtu wa jinsia kama yako kuota kitu kama hicho.
Umesema umeota unaujauzito ambao ni mapacha.

je unakumbuka ulikuwa na nguo za rangi ipi?
je ni nguo za kiume au za kike?
Ulipofika Leba, je wauguzi walikuwa wangapi na wamevaa nguo gani?
Je, walikuwa wa jinsia moja?
Ulipokuwa unashikwa tumbo wauguzi walisimama katika nafasi(position) zipi?
Unakumbuka lugha iliyotumika?
Unaweza hisi mazingira ya tukio?
Je kuna tofauti yoyote ya ndoto ya kwanza na ya pili?
Kama jibu ni "ndio" taja tofauti hizo

Je umeoa/hujaolewa?
Je unamchumba/mpenzi?
kwenu mmezaliwa wanaume na wanawake wangapi?

Mambo ya kufanya:
1.Epuka kukaa mwenyewe na kuangalia picha zisizofaa
2. Epuka kulala ukiwa umepaka marashi, manukato,mafuta na vitu vyovyote vya kunukia
3. Sali,omba, au piga dua kuomba ulinzi wakati ulalapo
4. Epuka mawazo yanayokinzana na jinsia yako

Ni jibu alafu tuone nini tatizo.
Sijaoa Ila ninampenzi
 
Sikumbuki nimevaa nguo gani
Nilikuwa nimevaa nguo za kiume
Nilimuona mama mmoja tu akiwa amejifunga kanga kwenye maziwa mama mnene sana
Sikushikwa tumbo bali nililishika mwenyewe
Lugha iliyotumika ni kiswahili
Tofauti ya mazingira kiukweli sikumbuki vzri kwa ndoto ya kwanza Ila hii ya pili nilihis hilo tukio nikiwa njian natembea nikiwa na mdada ambaye simjui lakini nilienda naye mpka wodini

ndoto ya kwanza uliota mwaka gani?
unamiaka mingapi na mpnz wako?
wodini ulivaa suruali au bukta?
 
Kuna kitu kinaitwa aibu za kiume! Yaani jambo ambalo hata kwa kisu huwezi mhadithia mwanaume mwenzako. Unatoa wapi ujasiri wa kueleza ndoto ati una mimba? Huwezi kuota kitu ambacho hujawahi kukifikiria! Tuangalie nini tunaandika na mengine si lazima uyalete katika hadhira hii!
Kaka tumelelewa tofouti sehemu mbalimbali...... kwangu ata mke angu siwezi kumsimlia ndoto kama hiyo naka nayo mpaka nakufa nao.... kwetu mwana ume ni mwana ume tu
 
Hongera mwanangu unakaribia kuvunja ungo
8a7ab07b-99e8-474c-9a5f-1f19caf58aa9.jpg
 
Kiimani....
Kuna mzigo wa dhambi mkuubwa saana unao, na Mungu anakukumbusha kua utubu.
Omba saana sali sana kwa iman yako ukitubu kwa kulia hutoota tena ndoto hiyo na kemea pia.
 
Pole sana Mkuu ushauri Zaidi muone kiongozi wa dini umuueleze pia mwombe Mungu saba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom