Hatukatai kuja kwa michango negative, lakini tuangalie na lugha tunayotumia.Wahuni nao ni watu.
Ulinapoleta jambo humu ndani basi tegemea kupata michango tofauti iwe Negative au Positive.
Kinyume na hapo basi print ubandike Gheto kwako usome mwenyewe.
Kwaiyo ndugu,mtu kutype neno mahala hapa kama vile unaf@@r ww, hii nayo tuipokee tu kwa Moyo mmoja et kwamba ni matazamio negative ambayo ni kawaida kwa jfWahuni nao ni watu.
Ulinapoleta jambo humu ndani basi tegemea kupata michango tofauti iwe Negative au Positive.
Kinyume na hapo basi print ubandike Gheto kwako usome mwenyewe.
Kwaiyo ndugu,mtu kutype neno mahala hapa kama vile unaf@@r ww, hii nayo tuipokee tu kwa Moyo mmoja et kwamba ni matazamio negative ambayo ni kawaida kwa jf
Cheki page ya kwanza hapo juuSijaona palipoandikwa hilo neno.
Labda wamefuta au kuedit.
Kuna kitu kinaitwa aibu za kiume! Yaani jambo ambalo hata kwa kisu huwezi mhadithia mwanaume mwenzako. Unatoa wapi ujasiri wa kueleza ndoto ati una mimba? Huwezi kuota kitu ambacho hujawahi kukifikiria! Tuangalie nini tunaandika na mengine si lazima uyalete katika hadhira hii!Comments za wachangiaji zinatosha kuonyesha kuwa Jf imepoteza credibility, sio Jf ile tena ambayo ilikuwa kisima cha maarifa na ushauri wenye tija! Kwani kuna shida gani mtu ukipita kimya kama hauna ushauri juu ya kilichoulizwa, je ni azima kukoment ujinga ili uonekane upo? Badilikeni wadau ama nendeni huko fb ndio pamejaa jamii ya vilaza. Asante
No ni jambo ambalo sio LA kawaida inabidi upate mawazo ya watu kulikalia kimya sio utatuzi wala ujasiri unaouzungumzia wew ujasiri ni pale unapoweka jambo hadharani kuhitaji msaada na sio kujifichaKuna kitu kinaitwa aibu za kiume! Yaani jambo ambalo hata kwa kisu huwezi mhadithia mwanaume mwenzako. Unatoa wapi ujasiri wa kueleza ndoto ati una mimba? Huwezi kuota kitu ambacho hujawahi kukifikiria! Tuangalie nini tunaandika na mengine si lazima uyalete katika hadhira hii!
"Huwezi ota kitu ambacho hujakifikiria" mkuu ajabu liko hapo ndio maana kaona si jambo la kawaida ashirikishe watu. Yeye imemtokeaKuna kitu kinaitwa aibu za kiume! Yaani jambo ambalo hata kwa kisu huwezi mhadithia mwanaume mwenzako. Unatoa wapi ujasiri wa kueleza ndoto ati una mimba? Huwezi kuota kitu ambacho hujawahi kukifikiria! Tuangalie nini tunaandika na mengine si lazima uyalete katika hadhira hii!
Cheki page ya kwanza hapo juu
Jamaa sio wa kiume ni mwanaume, wewe kama ni wa kiume na unaona aibu ni sawa ila kama ni mwanaume na una aibu, sina la kusema zaidi ya holalaaaaKuna kitu kinaitwa aibu za kiume! Yaani jambo ambalo hata kwa kisu huwezi mhadithia mwanaume mwenzako. Unatoa wapi ujasiri wa kueleza ndoto ati una mimba? Huwezi kuota kitu ambacho hujawahi kukifikiria! Tuangalie nini tunaandika na mengine si lazima uyalete katika hadhira hii!
Kutoa matusi ama lugha zisizo na staha ilikuonekana mjanja/ muhuni ni ujinga.Wahuni nao ni watu.
Ulinapoleta jambo humu ndani basi tegemea kupata michango tofauti iwe Negative au Positive.
Kinyume na hapo basi print ubandike Gheto kwako usome mwenyewe.
Its true,JF has lost direction nowadays,ndio maana wegi wamebakia kuwa wasomaji kuliko kuchangia...Comments za wachangiaji zinatosha kuonyesha kuwa Jf imepoteza credibility, sio Jf ile tena ambayo ilikuwa kisima cha maarifa na ushauri wenye tija! Kwani kuna shida gani mtu ukipita kimya kama hauna ushauri juu ya kilichoulizwa, je ni azima kukoment ujinga ili uonekane upo? Badilikeni wadau ama nendeni huko fb ndio pamejaa jamii ya vilaza. Asante
Hizi ni dalili mbaya kwa mtoto wa kiume!!!!!!!!!!!Jamaa sio wa kiume ni mwanaume, wewe kama ni wa kiume na unaona aibu ni sawa ila kama ni mwanaume na una aibu, sina la kusema zaidi ya holalaaaa