Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,955
- 122,239
Hivi jamani sifa za mwanaume kamili ni zipi? Kwanini wanaume wa dar wapo hivi?
Kifo cha mende
Mkijua kufinya kwa ndani ndio mtawatambua hao wanaume
Hivi jamani sifa za mwanaume kamili ni zipi? Kwanini wanaume wa dar wapo hivi?
Kifo cha mende
Mkijua kufinya kwa ndani ndio mtawatambua hao wanaume
wanaume wa dar hovo kabisa hata kutafuna miwa hawawezi hadi wakamuliwe juice.... hopeless kabisa
Hata tukiwa tunaenda kazini, tunapanda gariwanaume wa dar hovo kabisa hata kutafuna miwa hawawezi hadi wakamuliwe juice.... hopeless kabisa
wakati huo sisi huku mikoani tunakimbia, yyan ni mbio from kimara to postaHata tukiwa tunaenda kazini, tunapanda gari
Hata tukiwa ofisini tunakaa kwenye viti vinavyorotate, tunaandika taarifa/ripoti mbalimbali kwa kutumia Computer, kalamu inatumika kidogo sana(kusaini tu)wakati huo sisi huku mikoani tunakimbia, yyan ni mbio from kimara to posta
Hata tukiwa ofisini tunakaa kwenye viti vinavyorotate, tunaandika taarifa/ripoti mbalimbali kwa kutumia Computer, kalamu inatumika kidogo sana(kusaini tu)
Kwa kweli wanaume wa Dar tupo dhaifu sana
Sasa jamaa kwani ni sabuni ya kuogea au kufulia??..Mwanaume wa Dar amezoea kuogea imperial leather akikuta kipande cha jamaa bafuni anatoka na kuomba sabuni ya kuogea
Huku mkoani jamaa ni sabuni, tunaoshea vyombo, kuogea na tunafulia. Jiwe moja huua zaidi ya ndege mmoja.
Ya kuoshea vyombo kufua ni Omo.
Sasa mtu unauwezo wa kununua protex..kwa nini uogee sabuni za kufulia au kuoshea vyombo??Huku mkoani jamaa ni sabuni, tunaoshea vyombo, kuogea na tunafulia. Jiwe moja huua zaidi ya ndege mmoja.
Tena ukiniletea imperial leather ninajipaka jioni baada ya kuoga ni manukato yale
Protex ni nini mkuu sisi tunajua jamaa baadabya mbuni na mahela yetu tunayo baada ya kuuza ng’ombeSasa mtu unauwezo wa kununua protex..kwa nini uogee sabuni za kufulia au kuoshea vyombo??
Labla useme mtu hana uwezo wa kuafford kununua hizo sabuni ndo atumie jamaa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha wamikoani ndo wanafinyaMkijua kufinya kwa ndani ndio mtawatanbua hao waaume
haaaaaah umefikiria mbali mzeeeHata tukiwa tunaenda kazini, tunapanda gari