Mwanaume KAMILI

Tafiti za wapi hizi? Real define of a man is he must poses penis baaasi mengne ni njama tu za kununua wapinzani kwenda CCM
 
Mwanaume kamili ni yule anaejiamini. .
Anaelewa thamani ya mwanamke na kumthamini!

Mwanaume kamili ni yule anaefahamu majukumu yake. .
Aliye tayari kusaidia, bila kusubiri mpaka atake!

Mwanaume kamili ni yule anaejielewa. .
Anaerudi nyumbani bila ya kulewa!

Mwanaume kamili anajua muda wa kurudi nyumbani. .
Hasubiri mama na wana wakamtafute kilabuni!

Mwanaume kamili anajua anapohitajika. .
Hujitahidi 'kuwepo' hata akichoka!

Mwanaume kamili anatambua umuhimu wake katika malezi. .
Anajua kuzaa pekee hakumfanyi mzazi!

Mwanaume kamili anajitahidi kuwa mwaminifu. .
Na hamwachi mwenzie atoke bila kumsifu!

Mwanaume kamili hufikiri kabla ya kutenda. .
Hafanyi makusudi kuumiza anaowapenda!

Mwanaume kamili hutumia neno 'samahani'. .
Hana makuu na kujikweza asilani!

Mwanaume kamili hupendeka. .
Hufanya iwe rahisi kwa mwenzi kucheka!!

Hongereni "wanaume kamili" wote ndani ya JF na uraiani. Kwa niaba ya wote wanaowakubali TUNAWAPENDA SANA. . Y'all are deeply appreciated!
Hizo mbwembwe ulizoandika hapo juu sio kwa wanaume wa dunia ya Leo. Kwanza mwanaume ni muda mwingi hutumia akili sana na hapendi kuumiza mwanamke na nini ndoto na matarajio ya wanaume wengi kabla ya kuoa kufanya yote uliyoyaandika hapo juu,shida huja pale mambo aliyoyatarajia yote sio matokeo yake anakuwa na stress kibao na njia pekee no kutafuta kitu cha kumpunguzia stress.

Hujafikiria tu kwa nini mwanaume alikuwa anakujali sana na sasa kabadilika?jibu in kwamba mwanamke ni chanzo cha mabadiliko ya mwanaume yeyote. Kwa hiyo mtuache wanaume kabisaa tulilax. Wengi wameamua kuanza kuchelewa kurudi nyumbani na kuanza kunywa ili kujipa faraja.
Mwisho,niwakumbushe ninyi viumbe(wanawake) kuwa katika dunia hii kiumbe kinachoongoza kuwa kipole,amani na upendo wa kweli ni Mwanaume pekee kama unabisha muulize baba yako.
 
Hizo mbwembwe ulizoandika hapo juu sio kwa wanaume wa dunia ya Leo. Kwanza mwanaume ni muda mwingi hutumia akili sana na hapendi kuumiza mwanamke na nini ndoto na matarajio ya wanaume wengi kabla ya kuoa kufanya yote uliyoyaandika hapo juu,shida huja pale mambo aliyoyatarajia yote sio matokeo yake anakuwa na stress kibao na njia pekee no kutafuta kitu cha kumpunguzia stress.

Hujafikiria tu kwa nini mwanaume alikuwa anakujali sana na sasa kabadilika?jibu in kwamba mwanamke ni chanzo cha mabadiliko ya mwanaume yeyote. Kwa hiyo mtuache wanaume kabisaa tulilax. Wengi wameamua kuanza kuchelewa kurudi nyumbani na kuanza kunywa ili kujipa faraja.
Mwisho,niwakumbushe ninyi viumbe(wanawake) kuwa katika dunia hii kiumbe kinachoongoza kuwa kipole,amani na upendo wa kweli ni Mwanaume pekee kama unabisha muulize baba yako.
Kulilax ni haki yako ya msingi kabisa beevenom so go ahead and lilax!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom