Mwanaume KAMILI

kama ambavyo hamna mwanaume kamili na ndivyo ambavyo hamna mwanamke kamili na hapo ndipo ulipo ubinaadamu wenyewe.
 
Safi sana Lizzy. Ungekuwa msanii ungetoa single na Prof. J. Mashairi makali.
 
Hahahaha kiungwana bila shoku ummm hapana.
ameona unashusha mapoint anahisi una utamu wa kipekee sasa anaweweseka,kwa jinsi ulivyotiririka kila mwanaume atahisi kuna la ziada kwako,kama ni hivyo hongera sana ila isiwe unataka wenzako wawe kamili halafu wewe huna chochote.
 
mbona si jaona ukisema mwanaume libamia, mwanaume mwendo kasi......au sio uanaume huo...
Hahahaaaa umenifurahisha sana hapo mkuu ila haka ka cm hakana kitufe cha like ningekupa bana maana hawa dada zetu hawa wanapenda kuongelea bamia kana kwamba ndo mwanaume eti.
 
Mwanamme kamili is a figment of imagination and fantasies, a Selassian illusion, to be pursued but never attained.
 
Lizzy, hayo yoote uliyoandika hata mwanamke anaweza kuwa nayo so, Mwanamme Kamili ni Yule anayeweza Kile mwanamke asichoweza kufanya na mwanamke akaridhika. Hayo mengine ni by the way
 
hohoooooooooooo

Dreamers.... dont factor time, space, situation, etc in their dreams
 
FB_IMG_1521753523491.jpeg
 

Similar Discussions

37 Reactions
Reply
Back
Top Bottom