Mwanaume KAMILI

Mwanaume KAMILI

Akarudi Kigoma?
Vinci njooo mwonyeshe huyu hakujui vizur
Huyo dogo namjua.
Akaanzisha uzi analamika maisha ya Dar magumu kauziwa mswaki elfu tatu.

Wakina Thomaso wakaomba picha ya mswaki picha kutumwa kumbe ni ule mswaki unakaa kwenye dawa ya meno ya whitedent ya 2500
 
Huyo dogo namjua.
Akaanzisha uzi analamika maisha ya Dar magumu kauziwa mswaki elfu tatu.

Wakina Thomaso wakaomba picha ya mswaki picha kutumwa kumbe ni ule mswaki unakaa kwenye dawa ya meno ya whitedent ya 2500
Tulia boya ww mswaki ulikua na. Waranty ya mwaka kama sim yangu..
 
Sifa ya mwanaume ni uwezo wa kutunza na kulinda familia yako .Hata siku moja hutasifiwa kwa idadi ya wanawake ulitembea nao. Hutasifiwa kwa idadi kubwa ya bia unazokunywa na kuweka heshima bar. Hutasifiwa kwa ubabe na ukorofi. Na watakaokusifia ujue wanakusifia ujinga.
 
Ni yule mwenye jinsia ya kike,mwenye kauli na tabia njema bila ya kujali ni mrefu ama mfupi,ni mnene ama mwembamba,ni mweusi ama mweupe, ana shepu ama hana huyo ndie mwanamke kamili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yani imebidi nicheke...wanaume wa mkoani sijui tawazeni na jiwe basi.....too defensive kwa ku attack kumbe hamna lolote..... by the way wa mkoani na wa dar ndio nini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom