Na ndo nataka hayo matusi ati
hahahahahahahaha....wengine tukimpuuza mtu yani asahau kama aliwahi kukutana na mimi kwenye maisha yake..najipenda mwenyewe kuliko kitu chochote ndio maana nikiwa kwenye mahusiano naambiwa najisikia sana yote nakataa tabu kama hizo tukiachana