Mwanaume fanya hivi unapoachwa

Mwanaume fanya hivi unapoachwa

Mwanamke akikuacha kwa nyodo, mbwembwe na matusi, wala usimjibu kwa kupanic, utampa kichwa, atajifeel amekuweza kaa kimya, mwanaume na mdomo wapi na wapi.

Penzi jipya kidonda, penzi jipya ni kama jipu, ukilikuna unasikia utamu, kosea ulitumbue ndo utajua kwa nini linaitwa jipu.

Siku zote kuachwa hakuzoeleki lakini, jibu la kelele ni ukimya na sio kelele kwa kelele, tutashindwa kujua nani anajitetea na nani analia.

Ikikugusa pia kaa kimya!
...Nimeipenda sana hii, ..Ila tusubiri waje. Huu
Uzi nikama Kokoro utabeba wengi mno,..
 
Mimi namtukana matusi yakiungana yanafika kutoka mwenge mpaka goba,
Ila siimpigi coz sasa hivi watu wanatembea wamekufa kasoro roho kutoka tu.

Eeeh natumaini mwisho wa hayo hauhumii wewe zaidi🙂
 
unakaa kimyaa ukimsemesha atajikweza wee achaa atukane weeee afu wee kimyaa baada ya hasira zake kwisha ipo siku atakutafta tuu tunawajuaga hawa viumbee walivyo wasengerema
..fafanua kidogo Kwenye Usengelema hapo,..
 
Ilishanitokea akamaind weee nikauchuna bila kuongea akaondoka kwa hasira ndo ikawa ivyo kama wk ivi sipokei cm.yake wala sms sijibu, akatukia frind wake aongee na mm, nikafanya hainaga ushemeji nikalaa
 
Sasa mwanamke unamkalia kimya anaongea hadi anachoka anaona humjibu tu aibu inamshika anatamani umuongeleshe lakini njemba ndo ushakaza hivyo usiku muda ya kulala analala uchi afu anakugusagusa kwa makusudi aisee hapo mtaongea tu tena kiungwana zaidi.
 
Niliachwa na mtu niliyeamini kwamba angekuwa mke wangu tumekuwa katika mahusiano kwa Miaka 8, aliniachia na watoto wawili waliotoka tumboni mwake.

Alifanya mbwembwe nyingi, picha nyingi na status nyingi nyingi zinazomuhusu yeye na huyo aliyekuwa mpya kwake lakini nikasema na nafsi yangu nikaisihi ikubali ukweli ikae kimya kwa kweli Mungu ni muaminifu Sana nilimudu vishindo sikuropoka sikuwa provoked na Tambo zake.

Siku zimeyoyoma napata taarifa zake kupitia watu wa karibu yake akihangaika kujua yangu wakati mimi Sina Muda na yake. Life goes on.
 
ukae kimya ndio,lakini mimi kwenye huu uzi nilitegemea utazungumzia ni jinsi gani kurecover kisaikolojia maana kupigwa chini na manzi ni bonge moja la mpasuko wa moyo.nikajua utaongelea vitu vya kufanya ili uweze kufight ile situation hadi urudi normal,sasa umeongelea kitu kimoja cha mwanzo kabisa halaf bas.
 
Ilishanitokea akamaind weee nikauchuna bila kuongea akaondoka kwa hasira ndo ikawa ivyo kama wk ivi sipokei cm.yake wala sms sijibu, akatukia frind wake aongee na mm, nikafanya hainaga ushemeji nikalaa
Kubabeki... Muhuni sio mtu mzuri.... Yani ulijitega kama simba vile, ile kuku amemuagiza njiwa Tu..., kwishnehi
 
Sasa mwanamke unamkalia kimya anaongea hadi anachoka anaona humjibu tu aibu inamshika anatamani umuongeleshe lakini njemba ndo ushakaza hivyo usiku muda ya kulala analala uchi afu anakugusagusa kwa makusudi aisee hapo mtaongea tu tena kiungwana zaidi.
 
Sasa mwanamke unamkalia kimya anaongea hadi anachoka anaona humjibu tu aibu inamshika anatamani umuongeleshe lakini njemba ndo ushakaza hivyo usiku muda ya kulala analala uchi afu anakugusagusa kwa makusudi aisee hapo mtaongea tu tena kiungwana zaidi.
Hahahaha.... Hahahha hapo lazima muongee
 
Niliachwa na mtu niliyeamini kwamba angekuwa mke wangu tumekuwa katika mahusiano kwa Miaka 8, aliniachia na watoto wawili waliotoka tumboni mwake.

Alifanya mbwembwe nyingi, picha nyingi na status nyingi nyingi zinazomuhusu yeye na huyo aliyekuwa mpya kwake lakini nikasema na nafsi yangu nikaisihi ikubali ukweli ikae kimya kwa kweli Mungu ni muaminifu Sana nilimudu vishindo sikuropoka sikuwa provoked na Tambo zake.

Siku zimeyoyoma napata taarifa zake kupitia watu wa karibu yake akihangaika kujua yangu wakati mimi Sina Muda na yake. Life goes on.
Life is Goes On.... Huo ndo uanaume
 
ukae kimya ndio,lakini mimi kwenye huu uzi nilitegemea utazungumzia ni jinsi gani kurecover kisaikolojia maana kupigwa chini na manzi ni bonge moja la mpasuko wa moyo.nikajua utaongelea vitu vya kufanya ili uweze kufight ile situation hadi urudi normal,sasa umeongelea kitu kimoja cha mwanzo kabisa halaf bas.
Mwanaume ni kukaa kimya na kuseto kwenye mishe za hela...baaaass... Hayo mambo ya kuanza kufundishana eti ukajipoze na filamu, sijui uwe unaskiza muziki laini laini ili ukufariji, ni mambo ya watoto wa primary
 
Sio mwanaume tu, hata mwanamke kukaa kimya ni jibu lenye maana kuliko kuanza kupayuka mwishowe utatoa siri za mwenzio kwa hasira. Nyamaza hasira zenu zikitulia kuna namna ya kuombana msamaha kiutu uzima, hata kama mtaachana. Maisha yenyewe haya hamna sababu ya kuongeza idadi ya maadui
 
Sio mwanaume tu, hata mwanamke kukaa kimya ni jibu lenye maana kuliko kuanza kupayuka mwishowe utatoa siri za mwenzio kwa hasira. Nyamaza hasira zenu zikitulia kuna namna ya kuombana msamaha kiutu uzima, hata kama mtaachana. Maisha yenyewe haya hamna sababu ya kuongeza idadi ya maadui
Kumbe mnayajua lakini mnajitoa ufahamu tu sometimes
 
akisema sikutaki
una mwambia poa[emoji23]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom