Hahhahaha. Anayetapika mara nyingi huwa anainesha kuumizwa na hali hiyo. Hivyo kumfanya awe dilemma aliyekuacha bora kukaa kimya.Mi ukinikalia kimya ndo ntazidi kukuchokoza. Bora unitapikie tu
Ni heri hata uniblock na nijue umeniblock kuliko unikalie kimya aise. Ukishanitapikia nakua mwepesi sanaHahhahaha. Anayetapika mara nyingi huwa anainesha kuumizwa na hali hiyo. Hivyo kumfanya awe dilemma aliyekuacha bora kukaa kimya.
Kuna mmoja alifumaniwa akichepuka,mumewe hakumsemesha vibaya wala kuonyesha tofauti yoyote wala kumuuliza lolote. Mwanamke alivoona vile baada yasiku3 akasepa kwaoUkimya Unauma sanaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tunafanana...
Juzikati tulishindwa kuelewana na bae...alinikalia kimya.
No text yani hakunisemesha kabisa.
Uwiiiii nilihisi kufa [emoji22][emoji22][emoji22].
Mimi bora unisemeshe,haijalishi unanisemesha nini.[emoji135]
ha ha ha ha kumbe eeh, na ntaongeza dozi we si unajifanyaga mjanja!Tunafanana...
Juzikati tulishindwa kuelewana na bae...alinikalia kimya.
No text yani hakunisemesha kabisa.
Uwiiiii nilihisi kufa [emoji22][emoji22][emoji22].
Mimi bora unisemeshe,haijalishi unanisemesha nini.[emoji135]
Thubutuuuu...hiyo huwa inatokea kwa siku za mwanzo tu.ha ha ha ha kumbe eeh, na ntaongeza dozi we si unajifanyaga mjanja!
Hahahahaha...Nimeipenda sana hii, ..Ila tusubiri waje. Huu
Uzi nikama Kokoro utabeba wengi mno,..
Hapo umenena mbaba...kimya kingi kina mshindo mkuuuu.Dawa ya mwanamke ni kumlia Buyu tu...Atakoma kuringa mbona yani fata mambo yako nO texts...nO calls...nO talks!
Mwanzo mwisho ndani ya week ya kwanza tu ya hio dozi kama ni mke/mpenzi aliekuwa analeta mazoea utashuhudia adabu ya kiwango cha lami na kujikanyaga kanyaga kusiko isha!
Usicheze na nguvu ya hili neno "ATTENTION" mbele ya mtoto wa kike, akiikosa endlessly huwa anajihisi kudata wazimu!
Mambo Nifa?Thubutuuuu...hiyo huwa inatokea kwa siku za mwanzo tu.
Lakini baada ya hapo namove on like I never mate you
[emoji23][emoji23][emoji23].
duhMimi namtukana matusi yakiungana yanafika kutoka mwenge mpaka goba,
Ila siimpigi coz sasa hivi watu wanatembea wamekufa kasoro roho kutoka tu.
Kumbe ndio dawa eti???[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] sasa ni kimyaaaaTunafanana...
Juzikati tulishindwa kuelewana na bae...alinikalia kimya.
No text yani hakunisemesha kabisa.
Uwiiiii nilihisi kufa [emoji22][emoji22][emoji22].
Mimi bora unisemeshe,haijalishi unanisemesha nini.[emoji135]
Mi ukinikalia kimya ndo ntazidi kukuchokoza. Bora unitapikie tu
Na ndo nataka hayo matusi atihahahahahahahaha...vale utakuwa na hamu ya kutukanwa sio bure aiseee