Povu continuing.....Kuna kilaza wa kike wakuitwa mdoghosho hatakuelewa
Povu continuing.....Kuna kilaza wa kike wakuitwa mdoghosho hatakuelewa
Ushathibitisha kuwa wewe ni kilazaPovu continuing.....
Huyo kama mtoa mada.Climate changes hata trump anaipinga mkuu.
Take it easy Man...Ushathibitisha kuwa wewe ni kilaza
Acha tu mkuu ile ya kibamia haijaisha.Duu mmetoka kwenye nguvu za kiume hadi sasa hivi magari
Tunaomba mlegeze vigezo jamani mnatuathiri kisaikolojia
KeWewe ni ke!? Samahani lkn hii ni jf
Haha okay lucky banana, maana!
Khadija lucky BananaHaha okay lucky banana, maana!
Haha sawa Asante!Khadija lucky Banana
Lucky meaans bahati
maisha mipango tutakutana uzeeni tuombeane uzimaZa leo ndugu zangu,
Mwanaume kuishi bila gari inawezekanaje kwa mfano?
Unapanda ngarangara za Gongo la mboto unaning'inia kwenye chuma upo na watoto jamani. Unaenda kanisani mvua inanyesha unakimbia na familia.
Aibu sana.
Zumbukuku mkubwa gari na uanaume vinakutana wapi??Za leo ndugu zangu,
Mwanaume kuishi bila gari inawezekanaje kwa mfano?
Unapanda ngarangara za Gongo la mboto unaning'inia kwenye chuma upo na watoto jamani. Unaenda kanisani mvua inanyesha unakimbia na familia.
Aibu sana.