Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,578
- 126,111
Shemeji habari za asubuhiAise
Shemeji habari za asubuhiAise
hahahaaa ukiyachukulia serious kila matukio yanayotokea humu au kwenye hiz social network utakuja kudata ..ishi maisha yako mkuuDuu mmetoka kwenye nguvu za kiume hadi sasa hivi magari
Tunaomba mlegeze vigezo jamani mnatuathiri kisaikolojia [emoji23][emoji23]
Hii inaonyesha vigezo vyako vya maendeleo kwa upeo wako!Za leo ndg zangu.
Mwanaume kuishi bila gari inawezekanaje kwa mfano?
Unapanda ngarangara za ngongo la mboto unaning'inia kwenye chuma upo na watoto jamani. Unaenda kanisani mvua inanyesha unakimbia na familia.
Aibu sana.
hahaaaaKwavile siendi Kanisani wala haisumbui. Mi ndio Mchungaji wa familia yangu.
Mie kuna baadhi ya watu humu,nadhani hawana sifa za kuwa JF, unasoma post mpk unajiuliza huyu nae ni GT?yaani Niko nae forums moja?Kuna watu mtasababisha neno "great thinker" kufutwa kwa sababu ya vipost vya ajabu ajabu
Umetoka shamba wazazi wako hawakua gari sasa umenunua mkweche unajiona mjanja.Za leo ndg zangu.
Mwanaume kuishi bila gari inawezekanaje kwa mfano?
Unapanda ngarangara za ngongo la mboto unaning'inia kwenye chuma upo na watoto jamani. Unaenda kanisani mvua inanyesha unakimbia na familia.
Aibu sana.
Hivi huyu ndo yule jamaa aliyesema yuko pori Gari linachemsha hana maji, aweke mkojo?Vipi ulifanikiwa kuweka mkojo kwenye radiator?
Inaonyesha gari ndo ilikuwa ndoto yako ya maisha......hongera sana
Hivi huyu ndo yule jamaa aliyesema yuko pori Gari linachemsha hana maji, aweke mkojo?
Inaonekana ni mshamba sana
Hiyo ni kufuruZa leo ndg zangu.
Mwanaume kuishi bila gari inawezekanaje kwa mfano?
Unapanda ngarangara za ngongo la mboto unaning'inia kwenye chuma upo na watoto jamani. Unaenda kanisani mvua inanyesha unakimbia na familia.
Aibu sana.
Hapa ndipo waTanzania mnapoonyesha uchumi wetu utaendelea kushuka na kuukuza wa mataifa ya nje.Za leo ndg zangu.
Mwanaume kuishi bila gari inawezekanaje kwa mfano?
Unapanda ngarangara za ngongo la mboto unaning'inia kwenye chuma upo na watoto jamani. Unaenda kanisani mvua inanyesha unakimbia na familia.
Aibu sana.
Kusema unamiliki miti mitatu ya maembe (nyumba tatu) halafu huna embe hata moja (gari) kwangu naona ni kwamba hizo nyumba ni za urithi.Baba yangu alifariki akimiliki baiskeli nzee na aliheshimika mpaka nje ya vijiji jirani, mimi sina gari na sijawahi miliki gari lakini nina nyumba tatu. Gari na nyumba kipi mhimu kwako? Kuning'inia kwenye dala ni kitu cha kawaida ndugu. Hata fast train huwa zinajaa watu mnabanana kama ndizi ingawa wote mna uwezo wa kumiliki gari ila priority kwanza. Hata wenye magari wanayapark wanapanda usafiri wa umma kama wabunge UK unafikiri hawawezi endesha magari au hawana madriver? Nyinyi ndo mnapinga climate changes sababu hamjui hasara ya kuwa na gari tena huku kwetu ambapo exhaust hazipimwi kama zinatoa moshi. Pole ndugu.