Duh, hatari! Yaani sasa tunapimwa uanaume wetu kwa magari. Kuna mmoja alidai mwanaume mashine, wewe unaangalia magari!Za leo ndg zangu.
Mwanaume kuishi bila gari inawezekanaje kwa mfano?
Unapanda ngarangara za ngongo la mboto unaning'inia kwenye chuma upo na watoto jamani. Unaenda kanisani mvua inanyesha unakimbia na familia.
Aibu sana.
Kwavile siendi Kanisani wala haisumbui. Mi ndio Mchungaji wa familia yangu.Za leo ndg zangu.
Mwanaume kuishi bila gari inawezekanaje kwa mfano?
Unapanda ngarangara za ngongo la mboto unaning'inia kwenye chuma upo na watoto jamani. Unaenda kanisani mvua inanyesha unakimbia na familia.
Aibu sana.
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana, Badala ya kushauri serikali iboreshe public transport Ww unahimiza watu wamiliki magari??Za leo ndg zangu.
Mwanaume kuishi bila gari inawezekanaje kwa mfano?
Unapanda ngarangara za ngongo la mboto unaning'inia kwenye chuma upo na watoto jamani. Unaenda kanisani mvua inanyesha unakimbia na familia.
Aibu sana.
Umenena watoto wa siku hizi haangalii maisha endelevu,yaliyo na uthabiti,lazima maisha yawe na kanuni ,yakichagizwa na kipaumbele.Unakuta hapo anakaa kwao hata baiskeli hana. Jitegemee utapata picha ya hayo yote. Labda kama una undugu na sheikh wa dar unafaidi vya kina gullam.